Ads: info@gazetini.co.tz |
20.9 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Man United yavunja rekodi mapato ya mwaka

MANCHESTER, UingerezaLICHA ya kutokufanya vizuri uwanjani, klabu ya Manchester United imevunja rekodi ya mapato yake baada ya kukusanya Pauni milioni 666.5 kwa mwaka jana.Ndani...

Mechi tatu kuamua hatima ya Ruben Amorim?

MANCHESTER, UingerezaIMERIPOTIWA kuwa matokeo ya mechi tatu zijazo ndiyo yatakayoamua hatima ya kibarua cha kocha wa Manchester United, Ruben Amorim.Man United inasota msimu huu...

Mata wa Chelsea atua kwa wapinzani Australia

MELBOURNE, AustraliaKIUNGO wa zamani wa Chelsea na Manchester United, Juan Mata, amesajiliwa na Melbourne Victory inayoshiriki Ligi Kuu ya Australia.Msimu uliopita. Mata mwenye umri...

Yanga yafikisha mabao matano ya ‘derby’

Na Hassan MwashaKATIKA mechi sita za 'derby' ya Ngao ya Jamii, imekuwa ni mara ya tatu kwa Yanga kuibuka na ushindi wa bao 1-0...

Mgombea urais aahidi kumuajiri Klopp

BENFICA, UrenoHAITASHANGAZA kuona kocha wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp, akiajiriwa kuliongoza benchi la ufundi la Benfica.Ndiyo, mmoja ya wagombea wa nafasi ya urais...

Rooney asema Amorim ameshindwa kazi United

MANCHESTER, UingerezaKWA mujibu wa Wayne Rooney, Manchester United imekuwa mbovu zaidi chini ya kocha raia wa Ureno, Ruben Amorim.Man United, mabingwa mara 20 wa...

Sura mbili tofauti utawala wa Ibrahim Traore

Na mwandishi wetu, GazetiniKWA upande mmoja, Ibrahim Traore wa Ivory Coast anatajwa kuwa ni shujaa, akionekana kuwa ni mtetezi halisi wa Bara la Afrika...

Yamal, De Jong kuikosa Newcastle

CATALUNYA, HispaniaKOCH wa Barcelona, Hansi Flick, amefichua kuwa atamkosa mshambuliaji wake, Lamine Yamal, katika mchezo wa Alhamisi ya wiki hii dhidi ya Newcastle United.Wakati...

Makocha waliofungashiwa virago msimu huu

LONDON, UingerezaNI wiki chache tu zimepita tangu msimu huu (2025-26) wa soka la Ulaya ulipoanza lakini tayari baadhi ya makocha wameonja 'joto la jiwe'...

Waziri Mkuu azomewa Chelsea ikiambulia sare

LONDON, UingerezaWAKATI Chelsea ikilazimishwa sare ya mabao 2-2 na Brentford jana, hali ilikuwa mbaya kwa Waziri Mkuu wa Uingereza aliyekuwa uwanjani akifuatilia mchezo huo...

Simone Gbagbo: Mwanamama anayemtikisa Ouattara kiti cha urais Ivory Coast

Na mwandishi wetu, GazetiniMOJA ya vivutio vikubwa vya Uchaguzi Mkuu ujao wa Ivory Coast ni jina la mgombea wa urais, Simone Gbagbo, ambaye ni...

Martial aondoka Ugiriki, atua Mexico

ATHENS, UgirikiMSHAMBULIAJI wa zamani wa Manchester United, Anthony Martial, amekamilisha usajili wa kujiunga na Monterrey ya Mexico.Nyota huyo anaungana beki wa zamani wa Real...

Recent articles

spot_img