Ads: info@gazetini.co.tz |
23.5 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Arsenal, United vita nzito kisa kiungo

LONDON, Uingereza KLABU za Arsenal na Manchester United zimeingia kwenye vita ya kuiwania saini ya kiungo wa Bournemouth, Alex Scott, ambaye ana thamani ya Pauni...

Familia ya Rais Lungu yashinda kesi

LUSAKA, Zambia UKIWA ni mwaka mmoja tu tangu kifo cha Rais Edgar Lungu, familia yake imeshinda kesi baada ya Mahakama kuamuru ipewe mwili kwa ajili...

Mwanaharakati ahukumiwa kifungo cha maisha gerezani

ISLAMABAD, Pakistan MWANAHARAKATI wa haki za binadamu nchini Pakistan, Mahrang Baloch, amehukumiwa kifungo cha maisha. Baloch ameangukiwa na hukumu hiyo katika mashitaka ya ugaidi na kusababisha...

Neymar Jr ataja zitakazokutana fainali

TORONTO, Canada SUPASTAA wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil, Neymar, ametabiri watakutana na Hispania katika mchezo wa fainali msimu huu wa Kombe la...

Kuziona Yanga, Azam buku tano tu Zanzibar

Na mwandishi wetu, Gazetini YANGA imetangaza viingilio vya uwanjani katika mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam, huku bei ya chini ikiwa Sh...

England v Ghana: Refa wa kadi nyingi kusimamia shoo

NEW YORK, Marekani UKIWA ni mchezo wa Kundi L, timu ya soka ya Taifa ya England itaivaa Ghana leo Juni 23, 2026 kwenye Uwanja wa...

Duh! Huyu ni Lionel Messi au ‘AI’?

NEW YORK, Marekani LIONEL Messi ameendelea kuthibitisha upekee wake katika ulimwengu wa mchezo wa kandanda, licha ya umri mkubwa wa miaka 38 alionao. Katika mechi yao...

Haaland naye hacheki, hachekeshi Kombe la Dunia

MEXICO CITY, Mexico STRAIKA wa Manchester City, Erling Haaland, ameendeleza moto wake msimu huu wa Kombe la Dunia baada ya kufunga mara mbili katika ushindi...

Kiti hakikaliki nafasi ya Waziri Mkuu Uingereza

LONDON, Uingereza WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ameachia ngazi ikiwa ni miaka isiyotimia miwili tangu alipoingia madarakani kupitia Chama cha Labour. Hatua hiyo imekuja baada...

Mashabiki Atletico wachoma moto jezi ya Alvarez

TEXAS, Marekani Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Argentina, aliweka wazi nia yake ya kuondoka Atletico muda mfupi baada ya kuiongoza Argentina kupata ushindi wa mabao...

Ebola DRC yaua ndugu watano wa Mwimbaji Jonathan Budju

Na Christopher Msekena, Gazetini JANGA la ugonjwa wa Ebola limeendelea kuwa tishio nchini Kongo baada ya ndugu wa watano wa mwimbaji wa Injili Jonathan Budju,...

Watoto wa mitaani, ‘mateja’, machangudoa; mfupa uliozishinda mamlaka?

Na Hassan Mwasha, Gazetini UKIKATIZA mitaa miwili hadi mitatu, hasa katika majiji makubwa kama ilivyo kwa hapa Dar es Salaam, ni jambo lisilowezekana kukutana na...