Ads: info@gazetini.co.tz |
22.6 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Vigogo walioangukia pua Kombe la Dunia 2026

BOSTON, Marekani NI timu nne pekee zilizobaki katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026). Kwamba timu 44 zimeshaaga mashindano hayo ya Shirikisho...

Kizazi cha dhahabu kilivyoifelisha Ubelgiji Kombe la Dunia

BOSTON, Marekani KICHAPO cha mabao 2-1 kutoka kwa Hispania katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Dunia kilihitimisha safari ya 'kizazi cha dhahabu' cha...

Argentina v England: Nusu fainali ya chuki, kisasi

LONDON, Uingereza NANI kutinga fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia katika mchezo huo wa Julai 15, 2026? Ni Argentina ya Lionel Messi au...

Ufaransa inazuilika kutwaa ubingwa?

PARIS, Ufaransa BAADA ya ubingwa wa mwaka 2018, safari hii timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa ipo tena kwenye nafasi ya kutwaa taji hilo...

Wachambuzi wanasemaje kuhusu Hormuz?

TEHRAN, Iran MASHAMBULIZI yanayoendelea kati ya Marekani na Iran yameripotiwa kupunguza kwa asilimia 50 idadi ya meli za mafuta na gesi zinazopita katika Mlango-Bahari wa...

Huyu Mbappe ni moto mwingine kabisa

BOSTON, Marekani MSIMU huu wa fainali za Kombe la Dunia umekuwa wa mafanikio makubwa kwa mshambuliaji wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Kylian...

Chelsea kuibomoa Madrid, kuchukua beki

LONDON, Uingereza KOCHA mpya wa Chelsea, Xabi Alonso, ameitaka klabu hiyo kumsajili beki wa klabu yake ya zamani ya Real Madrid, Alvaro Carreras. Alonso anataka mlinzi...

Miaka 30 ya Bongo Fleva ni zaidi ya ubunifu, burudani

Na Hassan Mwasha, Gazetini UNAWEZA kufikiria kuhusu shoo nyingi za muziki zilizowahi kufanyika hapa nchini lakini 'Miaka 30 ya Bongo Fleva' imekuja na upekee mkubwa. Ni...

Gazetini, Iwpg waingia makubaliano ya kukuza elimu ya amani Tanzania

Na mwandishi wetu, Gazetini GAZETINI Communication, kupitia chombo chake cha habari cha Gazetini, imeingia makubaliano ya ushirikiano na International Women's Peace Group (IWPG) ya Korea...

Iran yaweka tena ‘kufuli’ Hormuz

TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza rasmi kuufunga Mlango-Bahari wa Hormuz wakati huu jeshi lake likiendelea kushambuliana na Marekani. Hatua hiyo inaweza kuathiri bei ya mafuta,...

DIB ilivyojenga imani ya wananchi kwenye benki hata zinapofilisika

Na Esther Mnyika, Gazetini KWA Watanzania wengi, kuweka fedha benki ni njia salama ya kutunza akiba, kufanya miamala na kupanga mustakabali wa kifedha. Hata hivyo,...

Messi, England nusu fainali ya kihistoria

MIAMI, Marekani LICHA ya kucheza mechi zaidi ya 200 akiwa na timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi hajawahi kuikabili England. Safari hii, Messi atakutana kwa...