BOSTON, Marekani
NI timu nne pekee zilizobaki katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026). Kwamba timu 44 zimeshaaga mashindano hayo ya Shirikisho...
BOSTON, Marekani
KICHAPO cha mabao 2-1 kutoka kwa Hispania katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Dunia kilihitimisha safari ya 'kizazi cha dhahabu' cha...
TEHRAN, Iran
MASHAMBULIZI yanayoendelea kati ya Marekani na Iran yameripotiwa kupunguza kwa asilimia 50 idadi ya meli za mafuta na gesi zinazopita katika Mlango-Bahari wa...
LONDON, Uingereza
KOCHA mpya wa Chelsea, Xabi Alonso, ameitaka klabu hiyo kumsajili beki wa klabu yake ya zamani ya Real Madrid, Alvaro Carreras.
Alonso anataka mlinzi...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
UNAWEZA kufikiria kuhusu shoo nyingi za muziki zilizowahi kufanyika hapa nchini lakini 'Miaka 30 ya Bongo Fleva' imekuja na upekee mkubwa.
Ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
GAZETINI Communication, kupitia chombo chake cha habari cha Gazetini, imeingia makubaliano ya ushirikiano na International Women's Peace Group (IWPG) ya Korea...
TEHRAN, Iran
MAMLAKA za Iran zimetangaza rasmi kuufunga Mlango-Bahari wa Hormuz wakati huu jeshi lake likiendelea kushambuliana na Marekani.
Hatua hiyo inaweza kuathiri bei ya mafuta,...
Na Esther Mnyika, Gazetini
KWA Watanzania wengi, kuweka fedha benki ni njia salama ya kutunza akiba, kufanya miamala na kupanga mustakabali wa kifedha. Hata hivyo,...
MIAMI, Marekani
LICHA ya kucheza mechi zaidi ya 200 akiwa na timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi hajawahi kuikabili England.
Safari hii, Messi atakutana kwa...