Ads: info@gazetini.co.tz |
23.5 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Rekodi ya Misri yamuibua Salah

CAIRO, Misri WINGA wa timu ya soka ya Taifa ya Misri, Mohamed Salah, ameeleza kufurahishwa na rekodi waliyoiweka msimu huu wa fainali za Kombe la...

Arsenal yaipiga bao Liverpool ikinasa kipa

LONDON, Uingereza ARSENAL imefanikiwa kuinasa saini ya kipa wa Phoenix Blayney, ambaye pia alikuwa kwenye rada za Liverpool. Kipa huyo mwenye umri wa miaka 16, amekuwa...

Mkongwe aibuka, ataka Ronaldo asisumbuliwe

LISBON, Ureno LEJENDARI wa timu ya soka ya Taifa ya Ureno, Bruno Alves, amewasikia wanaoponda kiwango cha Cristiano Ronaldo msimu huu wa fainali za Kombe...

Mbappe acharuka akimkingia kifua Dembele

MEXICO CITY, Mexico NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe, amesema si sahihi kwa Ousmane Dembele kukosolewa kwa kiwango alichokionesha katika...

Mganga ‘aliyemkomesha’ Ronaldo ahamia kwa Harry Kane

ACCRA, Ghana MGANGA wa kienyeji raia wa Ghana ambaye alidai kumsababishia majeraha Cristiano Ronaldo wakati wa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2014, ameibuka na...

Yamal alivyoweka rekodi akimpiku Messi

CALIFORNIA, Marekani WINGA wa kimataifa wa Hispania, Lamine Yamal, amempiku Lionel Messi katika orodha ya wachezaji wenye umri mdogo zaidi kufunga bao kwenye mechi ya...

Casemiro rasmi kucheza na Messi

MIAMI, Marekani KLABU ya Inter Miami ya Ligi Kuu ya Marekani (MLS) imethibitisha kuinasa saini ya kiungo wa kimataifa wa Brazil, Casemiro. Casemiro amejiunga na timu...

Staa wa filamu: Mwanaume masikini hawezi kukupa furaha

LAGOS, Nigeria MWIGIZAJI maarufu wa soko la filamu la Nigeria (Nollywood), Nancy Isime, amesema haoni kama anaweza kufurahia ndoa akiwa na mwanaume asiye na kipato...

Yametimia! Waziri Mkuu Uingereza abwaga manyanga

LONDON, Uingereza BAADA ya tetesi za muda mrefu, hatimaye Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu. Kwa wiki kadhaa za hivi karibuni, Starmer amekuwa kwenye...

Yanga, Azam zaacha historia ya ‘vichwa’ CCM Kirumba

Na mwandishi wetu, Gazetini INAWEZA kuumiza kichwa kukumbuka mechi ya aina hii; Yanga dhidi ya Azam, ambayo ilimalizika kwa jumla ya mabao matano na yote...

Kibarua wa viwandani aliyefunga mabao mawili kuiokoa Ujerumani

MEXICO CITY, Mexico IVORY Coast ikiwa mbele kwa bao 1-0, kocha wa timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani, alimuinua kwenye benchi Deniz Undav aliyeingia...

The Living Testimony ya Bernard Mwambungu yazidi kupaa

Na Christopher Msekena MWIMBAJI wa muziki wa Injili nchini, Bernard Mwambungu, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa ya albamu yake The Living Testimony. Mwambungu ameanza kuachia nyimbo...