33.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Chipukizi wa kuogelea kushindana ‘ East Africa Development Swimming Gala’

Na Mwandishi Wetu ZAIDI ya waogeleji 600 wanatarajiwa kushiriki katika mashindano ya kuogelea ya chipukizi kwa vijana wadogo ‘East Africa Development Swimming Gala’ yatakayoanza Aprili...

Simba yaipasua Fountain Gate

Na Mwandishi Wetu SIMBA imechukua alama zote tatu kwa Fountain Gate kufuatia ushindi wa 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa dimba la...

Simba yamtupia Sowah  U-20 kwa utovu wa nidhamu

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Uongozi wa Klabu ya Simba umeweka wazi hatua kali za kinidhamu zilizochukuliwa dhidi ya mshambuliaji wao, Jonathan Sowah, ikiwemo kuondolewa kwenye...

Mchezaji auawa na majambazi kwa risasi nchini Ghana

MCHEZAJI nchini Ghana, Dominic Frimpong, ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya jana Jumapili usiku  na majambazi wenye silaha kushambulia basi la timu yake ya...

Taliss IST yaendeleza ubabe Mashindano ya Taifa ya Kuogelea, nahodha afichua siri

Na Winfrida Mtoi, Gazetini KLABU ya Taliss IST imezidi kujikita kileleni mwa mchezo wa kuogelea nchini baada ya kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Mashindano ya Taifa...

Rekodi zaendelea kuvunjwa Mashindano ya Taifa ya Kuogelea, Crissa Dillip ang’ara

Na Winfrida Mtoi, Gazetini IKIWA ni siku ya pili ya Mashindano ya Taifa ya mchezo wa kuogelea,   waogeleaji  wa klabu mbalimbali wameendelea kuchuana vikali kufatuta...

Makonda asimamisha uongozi TOC, Rage kuongoza kwa muda

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesimamisha uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), pamoja na uongozi wa sasa...

Minziro akabidhiwa Fountain Gate FC

Na Mwandishi Wetu KLABU ya Fountain Gate FC imemtangaza Fred Felix Minziro kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, akichukua nafasi ya Mohamed Laizer ambaye amefutwa...

Okello awapa maneno matamu Wanayanga

Na Mwandishi Wetu Nyota wa Yanga, Allan Okello amewahakikishia mashabiki wa timu hiyo kuwa watamaliza kila kitu ndani ya dakika 90 katika mchezo wa hatua...

Klabu 16 kuchuana mashindano ya Taifa ya kuogelea kesho

Na Mwandishi Wetu JUMLA ya klabu 16 za mchezo wa kuogelea kutoka ndani na nje ya Tanzania zinatarajia kushiriki mashindano Taifa yatayoanza kesho Aprili 10-12,...

Rekodi ya Raul yavunjwa Madrid

MADRID, Hispania REKODI ya mkongwe Raul Gonzalez iliyodumu kwa miaka 30 katika klabu ya Real Madrid imevunjwa rasmi. Ni katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya...

Neuer afika ‘levo’ za Messi

MUNICH, Ujerumani MLINDA mlango wa Bayern Munich, Manuel Neuer, amefikisha mechi 136 akiwa kikosi cha kwanza cha timu hiyo. Idadi hiyo ni sawa na aliyokuwa nayo...