Ads: info@gazetini.co.tz |
22.6 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Sheikh Hamad wa Qatar afariki

DOHA, Qatar KIONGOZI wa zamani wa Taifa la Qatar, Sheikh Hamad bin ⁠Khalifa Al Thani, ‌amefariki leo Julai 12, 2026, akiwa na umri wa miaka...

Kocha Senegal afungashiwa virago

DAKAR, Senegal KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Senegal, Pape Thiaw, ameondoshwa kwenye majukumu hayo zikiwa ni siku chache tu tangu walipotolewa Kombe...

Bellingham aandika historia akiichapa Norway

LONDON, Uingereza KIUNGO wa kimataifa wa England, Jude Bellingham, ameweka rekodi baada ya mabao yake mawili katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Norway katika robo...

Kiti cha Nabi hakikaliki Yanga?

Na mwandishi wetu, Gazetini TANGU Nasreddine Nabi alipoondoka mwaka 2023, kibarua cha benchi la ufundi la Yanga kimekuwa kigumu kwa kila kocha aliyeingia klabuni hapo. Kwa...

Afrika ya vipaji v Ulaya ya mifumo

MIAMI, Marekani AFRIKA haina mwakilishi katika hatua ya nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Ni timu za Bara la Ulaya pekee zilizobaki. Hata...

Vijana ndio wahusika wakuu wa Dira 2050, washauriwa kujipanga sasa

Na mwandishi wetu, Gazetni VIJANA wa Tanzania wametajwa kuwa kundi litakalobeba mafanikio makubwa ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, huku wakihimizwa kuanza kujijengea uwezo...

Kisa Haaland, Beckham atua kambini England

MIAMI, Marekani KUELEKEA robo fainali yao ya kesho dhidi ya Norway ya Erling Haaland, kambi ya timu ya soka ya Taifa ya England imetembelewa na...

Dira 2050 siyo ya Serikali pekee, kila Mtanzania ana nafasi ya kuijenga

Na mwandishi wetu, Gazetini WANANCHI wametakiwa kutambua kuwa utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 hauitegemei Serikali pekee, bali unahitaji ushiriki wa kila Mtanzania...

Haya sasa! Kocha mpya Yanga kupita njia za Guardiola, Klopp, Arteta

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-26, Yanga, wamempa kazi raia huyo wa Afrika Kusini kuwa kocha wao mpya. Taarifa...

Winga wa Ubelgiji aisikiliza Arsenal

LONDON, Uingereza KIUNGO wa pembeni wa Club Brugge ya Ubelgiji, Christos Tzolis, anataka kujiunga na Arsenal kupitia usajili wa majira haya ya kiangazi. Mwandishi wa habari...

Katie Price; Alikaribia kujinyonga baada ya kubakwa

LOS ANGELES, Marekani MAKALA ya maisha ya mwanamitindo Katie Price imejaa simulizi yenye huzuni juu ya maisha ya bibiye huyo mwenye jina kubwa katika tasnia...

Hispania, Ufaransa kuvaana nusu fainali

BOSTON, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Hispania imeifuata Ufaransa katika hatua inayofuata ya nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Hispania wamevuka...