LONDON, Uingereza
ARSENAL imefanikiwa kuinasa saini ya kipa wa Phoenix Blayney, ambaye pia alikuwa kwenye rada za Liverpool.
Kipa huyo mwenye umri wa miaka 16, amekuwa...
LISBON, Ureno
LEJENDARI wa timu ya soka ya Taifa ya Ureno, Bruno Alves, amewasikia wanaoponda kiwango cha Cristiano Ronaldo msimu huu wa fainali za Kombe...
MEXICO CITY, Mexico
NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe, amesema si sahihi kwa Ousmane Dembele kukosolewa kwa kiwango alichokionesha katika...
ACCRA, Ghana
MGANGA wa kienyeji raia wa Ghana ambaye alidai kumsababishia majeraha Cristiano Ronaldo wakati wa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2014, ameibuka na...
CALIFORNIA, Marekani
WINGA wa kimataifa wa Hispania, Lamine Yamal, amempiku Lionel Messi katika orodha ya wachezaji wenye umri mdogo zaidi kufunga bao kwenye mechi ya...
MIAMI, Marekani
KLABU ya Inter Miami ya Ligi Kuu ya Marekani (MLS) imethibitisha kuinasa saini ya kiungo wa kimataifa wa Brazil, Casemiro.
Casemiro amejiunga na timu...
LAGOS, Nigeria
MWIGIZAJI maarufu wa soko la filamu la Nigeria (Nollywood), Nancy Isime, amesema haoni kama anaweza kufurahia ndoa akiwa na mwanaume asiye na kipato...
LONDON, Uingereza
BAADA ya tetesi za muda mrefu, hatimaye Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu.
Kwa wiki kadhaa za hivi karibuni, Starmer amekuwa kwenye...
Na mwandishi wetu, Gazetini
INAWEZA kuumiza kichwa kukumbuka mechi ya aina hii; Yanga dhidi ya Azam, ambayo ilimalizika kwa jumla ya mabao matano na yote...
MEXICO CITY, Mexico
IVORY Coast ikiwa mbele kwa bao 1-0, kocha wa timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani, alimuinua kwenye benchi Deniz Undav aliyeingia...
Na Christopher Msekena
MWIMBAJI wa muziki wa Injili nchini, Bernard Mwambungu, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa ya albamu yake The Living Testimony.
Mwambungu ameanza kuachia nyimbo...