Ads: info@gazetini.co.tz |
29.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Simba kuzima moto, rekodi ya Mighty Wanderers?

Na mwandishi wetu, Gazetini SIMBA iko ugenini mjini Blantyre, Malawi, ambako kesho Septemba 6, 2026, itaumana na Mighty Wanderers katika mchezo wa hatua ya awali...

Watoto wa wanasoka wanaofuata nyayo za wazee zao

LONDON, Uingereza MAJI hufuata mkondo! Ni msemo maarufu na uliojidhirisha wazi katika ulimwengu wa soka kwa baadhi ya wanasoka waliostaafu kurithisha vipaji kwa watoto wao. Kwa...

Unamlindaje mtoto wako dhidi unyanyasaji mitandaoni?

Na mwandishi wetu, Gazetini SHIRIKA la Watoto la Umoja wa Mataifa limefanya utafiti wake na kubaini ongezeko kubwa la vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia...

City yahamishia silaha kwa ‘mido’ Atletico

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester City imeripotiwa kuanza mapema mikakati ya kuinasa saini ya mshambuliaji wa Atletico Madrid, Alex Baena. Kwa mujibu wa ripoti, usajili wa...

Bissouma bado kidogo tu atue Chelsea

LONDON, Uingereza CHELSEA ilikuwa na nafasi ya kumsajili Yves Bissouma baada ya kiungo wake, Enzo Fernandez, kutimkia kwa washindano wao wa Ligi Kuu ya England,...

Vigogo wa Marekani waingia Urusi, Ukraine

WASHINGTON DC, Marekani VIGOGO wawili wa serikali ya Marekani, Steve Witkoff na Jared Kushner, wamezitembelea Urusi na Ukraine wikiendi hii. Ripoti zinaeleza kuwa ziara hiyo imelenga...

Mlipuko kambi ya jeshi waua wawili

LA PAZ, Bolivia WATU wawili wamepoteza maisha katika mlipuko uliotokea katika kambi ya jeshi nchini Bolivia, ingawa mamlaka zinadai kuwa huenda idadi ya vifo ni...

Mahakama yaagiza mwandishi kukamatwa

TUNIS, Tunisia MAHAKAMA nchini Tunisia imetoa agizo la kukamatwa na kushikiliwa kwa mwandishi wa habari maarufu, Mohamed Yousfi, jana Septemba 4, 2026. Aidha, mahakama ilieleza kuwa...

Andy Ruiz arejea kwa kichapo ulingoni

LOS ANGELES, Marekani ALIYEWAHI kuwa bingwa wa dunia kwa ngumi za uzito wa juu, Andy Ruiz Jr, amepoteza pambano lake la kwanza tangu alipopona majeraha. Andy...

Pellegrini aibuka kumjibu Mourinho

MADRID, Hispania KOCHA wa Real Betis, Manuel Pellegrini, hajafurahishwa na kauli ya Jose Mourinho baada ya mchezo wa La Liga wa jana Septemba 4, 2026. Baada...

Yamal hatihati kuivaa Valencia

CATALUNYA, Hispania MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Lamine Yamal, amekosekana katika mazoezi ya mwisho ya timu hiyo kuelekea mchezo wao dhidi ya Valencia. Timu hizo zitakwaana kesho Septemba...

Aliyeondoka Bayern kutua AS Roma

ROMA, Italia ZIPO taarifa zinazodai kuwa klabu ya AS Roma iko mbioni kumchukua beki aliyeachana na Bayern Munich, Raphael Guerreiro. Kwa mujibu wa ripoti, kocha wa...