DAKAR, Senegal
KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Senegal, Pape Thiaw, ameondoshwa kwenye majukumu hayo zikiwa ni siku chache tu tangu walipotolewa Kombe...
LONDON, Uingereza
KIUNGO wa kimataifa wa England, Jude Bellingham, ameweka rekodi baada ya mabao yake mawili katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Norway katika robo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TANGU Nasreddine Nabi alipoondoka mwaka 2023, kibarua cha benchi la ufundi la Yanga kimekuwa kigumu kwa kila kocha aliyeingia klabuni hapo.
Kwa...
MIAMI, Marekani
AFRIKA haina mwakilishi katika hatua ya nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Ni timu za Bara la Ulaya pekee zilizobaki.
Hata...
Na mwandishi wetu, Gazetni
VIJANA wa Tanzania wametajwa kuwa kundi litakalobeba mafanikio makubwa ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, huku wakihimizwa kuanza kujijengea uwezo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WANANCHI wametakiwa kutambua kuwa utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 hauitegemei Serikali pekee, bali unahitaji ushiriki wa kila Mtanzania...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HATIMAYE mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-26, Yanga, wamempa kazi raia huyo wa Afrika Kusini kuwa kocha wao mpya.
Taarifa...
LONDON, Uingereza
KIUNGO wa pembeni wa Club Brugge ya Ubelgiji, Christos Tzolis, anataka kujiunga na Arsenal kupitia usajili wa majira haya ya kiangazi.
Mwandishi wa habari...
LOS ANGELES, Marekani
MAKALA ya maisha ya mwanamitindo Katie Price imejaa simulizi yenye huzuni juu ya maisha ya bibiye huyo mwenye jina kubwa katika tasnia...
BOSTON, Marekani
TIMU ya soka ya Taifa ya Hispania imeifuata Ufaransa katika hatua inayofuata ya nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia.
Hispania wamevuka...