28.9 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Fahamu haya kabla ya kuanza masomo mtandaoni

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA miaka zaidi ya 20, mfumo wa vyuo vikuu na vile vya kati kuendesha baadhi ya kozi kupitia mtandao (e-learning), hasa...

Kocha Barcelona: Hatukustahili ushindi

CATALUNYA, Hispania KOCHA wa Barcelona, Hans Flick, amedai kuwa timu yake ilionesha kiwango kibovu katika mchezo dhidi ya Espanyol, hivyo haikistahili kupata ushindi wa mabao...

Tembo aliyekuwa balozi wa bia afariki

MOMBASA, Kenya TEMBO maarufu nchini Kenya amefariki akiwa na umri wa miaka 54, akikumbukwa kwa heshima aliyokuwa nayo ya ubalozi wa kampuni ya bia ya...

Baleba aingia rada za Liverpool

MERSEYSIDE, Uingereza LIVERPOOL imeungana na Manchester United na Tottenham katika mbio za kumsajili kiungo wa Brighton na timu ya taifa ya Cameroon, Carlos Baleba. Brighton haijakataa...

Chelsea kubeba kocha, kiungo Newcastle

LONDON, Uingereza MABOSI wa Chelsea wameripotiwa kuanza harakati za kumchukua kocha wa Newcastle United, Eddie Howe. Wakati huo huo, taarifa zinaeleza kuwa wanaitaka saini ya kiungo...

Iran: Hatuogopi, Marekani isitutishe

TEHRAN, Iran WAZIRI wa Mambo ya Nje ya Iran, Abbas Araghchi, ameitaka Marekani kuacha kusitishia nchi yake akisema vitisho pekee havitoshi. Hivi karibuni, Rais wa Marekani,...

Rodri aipasua kichwa Madrid

MADRID, Hispania BADO mabosi wa Real Madrid wanaumiza vichwa juu ya mpango wao wa kuinasa saini ya kiungo wa Manchester City na timu ya taifa...

Saka aifikia rekodi ya Fabregas

LONDON, Uingereza HATIMAYE mshambuliaji wa Arsenal, Bukayo Saka, ameungana na Cesc Fabregas katika orodha ya wachezaji waliochangia mabao mengi ya timu hiyo kwenye historia ya...

Rekodi ya Obi yavunjwa AFCON 2025

RABAT, Morocco TIMU ya soka ya taifa ya Senegal imetinga robo fainali ya msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) kwa kuifunga...

Chiesa aibukia AS Roma

ROMA, Italia KLABU ya AS Roma imemuweka kwenye rada zake kiungo wa pembeni wa Liverpool raia wa Italia, Federico Chiesa. Wakati huo huo, nyota huyo anahusishwa...

Wakazi Venezuela wakimbilia madukani baada ya Maduro kukamatwa

CARACAS, Venezuela  SAA chache baada ya Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, kukamatwa, Jumamosi Januari 3, 2026, na majeshi ya Marekani, wakazi wa mji mkuu Caracas...

Diarra kiboko, abeba tuzo akitinga robo AFCON

RABAT, Morocco PENALTI mbili alizookoa kipa wa Yanga, Djigui Diarra, zimeiwezesha timu yake ya taifa ya Mali kuing'oa Tunisia na kutinga hatua ya robo fainali...