CATALUNYA, Hispania
KOCHA wa Barcelona, Hans Flick, amedai kuwa timu yake ilionesha kiwango kibovu katika mchezo dhidi ya Espanyol, hivyo haikistahili kupata ushindi wa mabao...
MOMBASA, Kenya
TEMBO maarufu nchini Kenya amefariki akiwa na umri wa miaka 54, akikumbukwa kwa heshima aliyokuwa nayo ya ubalozi wa kampuni ya bia ya...
MERSEYSIDE, Uingereza
LIVERPOOL imeungana na Manchester United na Tottenham katika mbio za kumsajili kiungo wa Brighton na timu ya taifa ya Cameroon, Carlos Baleba.
Brighton haijakataa...
LONDON, Uingereza
MABOSI wa Chelsea wameripotiwa kuanza harakati za kumchukua kocha wa Newcastle United, Eddie Howe.
Wakati huo huo, taarifa zinaeleza kuwa wanaitaka saini ya kiungo...
TEHRAN, Iran
WAZIRI wa Mambo ya Nje ya Iran, Abbas Araghchi, ameitaka Marekani kuacha kusitishia nchi yake akisema vitisho pekee havitoshi.
Hivi karibuni, Rais wa Marekani,...
LONDON, Uingereza
HATIMAYE mshambuliaji wa Arsenal, Bukayo Saka, ameungana na Cesc Fabregas katika orodha ya wachezaji waliochangia mabao mengi ya timu hiyo kwenye historia ya...
ROMA, Italia
KLABU ya AS Roma imemuweka kwenye rada zake kiungo wa pembeni wa Liverpool raia wa Italia, Federico Chiesa.
Wakati huo huo, nyota huyo anahusishwa...
CARACAS, Venezuela
SAA chache baada ya Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, kukamatwa, Jumamosi Januari 3, 2026, na majeshi ya Marekani, wakazi wa mji mkuu Caracas...
RABAT, Morocco
PENALTI mbili alizookoa kipa wa Yanga, Djigui Diarra, zimeiwezesha timu yake ya taifa ya Mali kuing'oa Tunisia na kutinga hatua ya robo fainali...