NEW YORK, Marekani
RAIS wa Venezuela, Nicolás Maduro, aliyekamatwa katika operesheni ya kijeshi ya Marekani, amefikishwa katika mahakama ya Manhattan, New York, ambako leo Jumatatu...
NEW YORK, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, amependekeza kwa mara nyingine mpango wa kuichukua Greenland, hatua iliyozua mvutano wa kidiplomasia baada ya uongozi wa...
PARIS, Ufaransa
Mahakama ya Paris imewatia hatiani watu kumi kwa tuhuma za unyanyasaji wa mtandaoni dhidi ya mke wa Rais wa Ufaransa, Brigitte Macron, baada...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United imethibitisha kuachana na kocha wake mkuu, Ruben Amorim, katika uamuzi uliokuja kwa masikitiko lakini ukilenga maslahi ya baadaye ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MIMBA zisizotarajiwa ni janga linalopuuzwa, licha ya ukubwa wake duniani kote, kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi...
WASHINGTON DC, Marekani
BAADA ya miezi mingi ya Marekani kuzishambulia kwa risasi na mabonu boti za Venezuela kwa madai ya kusafirisha dawa za kulevya, hatimaye...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TIMU ya soka ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imeondoshwa kwenye fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) lakini gumzo ni...
CATALUNYA, Hispania
KOCHA wa Barcelona, Hans Flick, amedai kuwa timu yake ilionesha kiwango kibovu katika mchezo dhidi ya Espanyol, hivyo haikistahili kupata ushindi wa mabao...
MOMBASA, Kenya
TEMBO maarufu nchini Kenya amefariki akiwa na umri wa miaka 54, akikumbukwa kwa heshima aliyokuwa nayo ya ubalozi wa kampuni ya bia ya...
MERSEYSIDE, Uingereza
LIVERPOOL imeungana na Manchester United na Tottenham katika mbio za kumsajili kiungo wa Brighton na timu ya taifa ya Cameroon, Carlos Baleba.
Brighton haijakataa...
LONDON, Uingereza
MABOSI wa Chelsea wameripotiwa kuanza harakati za kumchukua kocha wa Newcastle United, Eddie Howe.
Wakati huo huo, taarifa zinaeleza kuwa wanaitaka saini ya kiungo...