29.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Maduro afikishwa mahakamani New York, washirika wake wapinga

NEW YORK, Marekani RAIS wa Venezuela, Nicolás Maduro, aliyekamatwa katika operesheni ya kijeshi ya Marekani, amefikishwa katika mahakama ya Manhattan, New York, ambako leo Jumatatu...

Trump hajapoa! Asisitiza: ‘Tunaitaka Greenland’

NEW YORK, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amependekeza kwa mara nyingine mpango wa kuichukua Greenland, hatua iliyozua mvutano wa kidiplomasia baada ya uongozi wa...

Watu 10 wahukumiwa Paris kwa kumdhalilisha mke wa rais

PARIS, Ufaransa Mahakama ya Paris imewatia hatiani watu kumi kwa tuhuma za unyanyasaji wa mtandaoni dhidi ya mke wa Rais wa Ufaransa, Brigitte Macron, baada...

Manchester United yamfuta kazi Amorim, Fletcher akabidhiwa mikoba

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United imethibitisha kuachana na kocha wake mkuu, Ruben Amorim, katika uamuzi uliokuja kwa masikitiko lakini ukilenga maslahi ya baadaye ya...

Usiyoyajua kuhusu mimba zisizotarajiwa

Na mwandishi wetu, Gazetini MIMBA zisizotarajiwa ni janga linalopuuzwa, licha ya ukubwa wake duniani kote, kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi...

Siku 34 za msako wa Maduro, hatimaye Marekani imemtia mkononi

WASHINGTON DC, Marekani BAADA ya miezi mingi ya Marekani kuzishambulia kwa risasi na mabonu boti za Venezuela kwa madai ya kusafirisha dawa za kulevya, hatimaye...

Stars yang’olewa kibishi AFCON 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini TIMU ya soka ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imeondoshwa kwenye fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) lakini gumzo ni...

Fahamu haya kabla ya kuanza masomo mtandaoni

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA miaka zaidi ya 20, mfumo wa vyuo vikuu na vile vya kati kuendesha baadhi ya kozi kupitia mtandao (e-learning), hasa...

Kocha Barcelona: Hatukustahili ushindi

CATALUNYA, Hispania KOCHA wa Barcelona, Hans Flick, amedai kuwa timu yake ilionesha kiwango kibovu katika mchezo dhidi ya Espanyol, hivyo haikistahili kupata ushindi wa mabao...

Tembo aliyekuwa balozi wa bia afariki

MOMBASA, Kenya TEMBO maarufu nchini Kenya amefariki akiwa na umri wa miaka 54, akikumbukwa kwa heshima aliyokuwa nayo ya ubalozi wa kampuni ya bia ya...

Baleba aingia rada za Liverpool

MERSEYSIDE, Uingereza LIVERPOOL imeungana na Manchester United na Tottenham katika mbio za kumsajili kiungo wa Brighton na timu ya taifa ya Cameroon, Carlos Baleba. Brighton haijakataa...

Chelsea kubeba kocha, kiungo Newcastle

LONDON, Uingereza MABOSI wa Chelsea wameripotiwa kuanza harakati za kumchukua kocha wa Newcastle United, Eddie Howe. Wakati huo huo, taarifa zinaeleza kuwa wanaitaka saini ya kiungo...