28.9 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

HaloPesa yahitimisha kampeni ya “Tamba na Bonasi”, yawakabidhi zawadi

Na Imani Nathaniel, Gazetini HaloPesa imehitimisha rasmi kampeni yake ya 'Tamba na Bonasi' baada ya kuwazawadia wateja wake zawadi mbalimbali zikiwemo bonasi na fedha taslimu...

Marekani yaishambulia Venezuela, yamdaka Maduro

WASHINGTON DC, Marekani RAIS Donald Trump amethibitisha kuwa wanajeshi wake wameishambulia Venezuela na kumkamata kiongozi wa Taifa hilo, Nicolas Maduro. Wakati huo huo, Rais Trump amedai...

Trump atishia kuivamia Iran

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameionya Iran akiiambia ataingilia kati, ikiwamo kuivamia kijeshi, endapo itaendelea kuua waandamanaji. Watu nane wameripotiwa kupoteza maisha kwa...

Man City v Chelsea … Shoo ya kibabe Etihad

MANCHESTER Uingereza MANCHESTER City itakuwa nyumbani katika Uwanja wa Etihad kukaribisha Chelsea, mchezo wa Ligi Kuu ya England utakaochezwa wikiendi hii (Januari 5, 2026). Kwa upande...

Tetemeko la ardhi laua watu wawili Mexico

MEXICO CITY, Mexico WATU wawili wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na tetemeko la ardhi lililotokea Kusini mwa Mexico jana Januari 2, 2026. Kwa mujibu wa kile kikichoelezwa...

Dereva wa Joshua ashitakiwa

LAGOS, Nigeria DEREVA, Adeniyi Mobolaji Kayode (46) aliyekuwa akiendesha gari lililopata ajali iliyomjeruhi bondia wa uzito wa juu duniani, Anthony Joshua, amefunguliwa mashitaka. Akiwa Nigeria kwa...

OWM yakabidhi msaada kwa waathirika wa mafuriko Kilosa

KILOSA, Morogoro OFISI ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) kupitia Idara ya Menejimenti ya Maafa, leo Januari 2, 2026, imekabidhi vifaa mbalimbali...

Ayew atua Ligi Kuu ya Uholanzi

AMSTERDAM, Uholanzi MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Ghana, Andre Ayew, amejiunga na NAC Breda inayoshiriki Ligi Kuu ya Uholanzi (Eredivisie). Ayew mwenye umri wa miaka 36, amesaini...

Osimhen: Tumejipanga kuing’oa Msumbiji

RABAT, Morocco STRAIKA wa timu ya taifa ya Nigeria 'Super Eagles', Victor Osimhen, amesema wamejiandaa vizuri kwa mchezo wao wa Jumatatu ya wiki ijayo dhidi...

Slot alia na mwamuzi

MERSEYSIDE, Uingereza BAADA ya suluhu dhidi ya Leeds United katika mchezo wa jana Januari Mosi, 2026, kocha wa Liverpool, Arne Slot, ameelekeza lawama zake kwa...

Trump: Niko fiti, umri namba tu

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, hababaishwi na taarifa zinazodai kuwa afya yake haiko madhubuti kwa sasa, ikichagizwa na umri mkubwa alionao. Akiwa na...

Chelsea yamfuta kazi Enzo Maresca

LONDON, Uingereza KLABU ya Chelsea imetangaza rasmi kumfungashia virago kocha wake raia wa Italia, Enzo Maresca, ikielezwa kuwa chanzo ni uhusiano mbaya kati yake na...