Na Imani Nathaniel, Gazetini
HaloPesa imehitimisha rasmi kampeni yake ya 'Tamba na Bonasi' baada ya kuwazawadia wateja wake zawadi mbalimbali zikiwemo bonasi na fedha taslimu...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS Donald Trump amethibitisha kuwa wanajeshi wake wameishambulia Venezuela na kumkamata kiongozi wa Taifa hilo, Nicolas Maduro.
Wakati huo huo, Rais Trump amedai...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameionya Iran akiiambia ataingilia kati, ikiwamo kuivamia kijeshi, endapo itaendelea kuua waandamanaji.
Watu nane wameripotiwa kupoteza maisha kwa...
MANCHESTER Uingereza
MANCHESTER City itakuwa nyumbani katika Uwanja wa Etihad kukaribisha Chelsea, mchezo wa Ligi Kuu ya England utakaochezwa wikiendi hii (Januari 5, 2026).
Kwa upande...
MEXICO CITY, Mexico
WATU wawili wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na tetemeko la ardhi lililotokea Kusini mwa Mexico jana Januari 2, 2026.
Kwa mujibu wa kile kikichoelezwa...
KILOSA, Morogoro
OFISI ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) kupitia Idara ya Menejimenti ya Maafa, leo Januari 2, 2026, imekabidhi vifaa mbalimbali...
AMSTERDAM, Uholanzi
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Ghana, Andre Ayew, amejiunga na NAC Breda inayoshiriki Ligi Kuu ya Uholanzi (Eredivisie).
Ayew mwenye umri wa miaka 36, amesaini...
RABAT, Morocco
STRAIKA wa timu ya taifa ya Nigeria 'Super Eagles', Victor Osimhen, amesema wamejiandaa vizuri kwa mchezo wao wa Jumatatu ya wiki ijayo dhidi...
MERSEYSIDE, Uingereza
BAADA ya suluhu dhidi ya Leeds United katika mchezo wa jana Januari Mosi, 2026, kocha wa Liverpool, Arne Slot, ameelekeza lawama zake kwa...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, hababaishwi na taarifa zinazodai kuwa afya yake haiko madhubuti kwa sasa, ikichagizwa na umri mkubwa alionao.
Akiwa na...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Chelsea imetangaza rasmi kumfungashia virago kocha wake raia wa Italia, Enzo Maresca, ikielezwa kuwa chanzo ni uhusiano mbaya kati yake na...