24.6 C
Dar es Salaam

Uncategorized

Maandamano ya kumng’oa Rais yashika kasi Serbia

MAELFU ya wanafunzi na wanaharakati nchini Serbia wameandama wakishinikiza uchaguzi mkuu wa haraka ili kumng'oa madarakani Rais Aleksandar Vucic. Huu ni mwendelezo wa miezi mingi...

Tume ya Taifa ya Umwagiliaji yatakiwa kutanua wigo wa kazi

Na Mwandishi Wetu Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika na Umwagiliaji, Dk. Stephen Nindi, ameitaka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kutanua wigo wa...

Rais Samia: Hatutatoa nafasi kwa wanaotaka kuvuruga amani ya Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amezielekeza Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...

Tanzania, Zambia zakutana kujalidili  uimarishaji mpaka

Na Mwandishi Wetu Kikao cha Kamati ya pamoja cha wataalamu wa Tanzania na Zambia kimeanza mkoani Songwe , kujadili mpango kazi wa uimarishaji mpaka wa...

Nzali Next Level kuendelea kupambania Injili ya Kiswahili Marekani, Flora Mayala kutikisa Dallas

Na Mwandishi Wetu,Gazetini Mdau maarufu wa burudani nchini mwenye makazi yake nchini Marekani, Lonely Nzali, ameendelea kusapoti muziki wa Injili Afrika Mashariki kupitia majukwaa yake...

Watoto wanavyoyakabili mabadiliko ya tabianchi kwa kuotesha miti

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Watoto wa Tanzania wameonyesha juhudi kubwa katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, wakihusishwa moja kwa moja kupitia miradi ya mazingira inayotekelezwa...

IWPG Colombia Branch, Hosts Award Ceremony for the Preliminary Round of the International Loving Peace Art Competition

IWPG Colombia Branch (Branch Manager Ha Un) held the Award Ceremony for the Preliminary Round of the 6th International Loving Peace Art Competition, along...

DC agomea misaada ya madawati, vitanda Rorya

*Ni kutoka kwa wadau, mwenyewe avunja ukimya Na Mwandishi Wetu, Gazetini - Rorya KATIKA hali ya kushangaza Mkuu wa Wilaya ya Rorya mkoani Mara, Juma Chikoka...

Dk. Magembe: Wanasayansi fikisheni taarifa za utafiti kwa jamii

*Awataka kutumia lugha rahisi ziwafikie walengwa Na Nadhifa Omary, Morogoro SERIKALI imewataka wana sayansi nchini na wadau wa afya kufanya tafiti zitakazosaidia kuleta suluhisho juu ya...

Dk. Biteko: Serikali itaendelea kushirikiana na GGML, mpeni ushirikiano Mavunde

Na Mwandishi Wetu, Gazetini NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameahidi Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwamba Serikali itaendelea...

GGML yaelimisha wadau utekelezaji mpango wa CSR

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MAONESHO ya 47 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam, yanayofanyika katika viwanja vya SabaSaba, yamekuwa ni fursa adhimu kwa wadau...

Recent articles

spot_img