24.8 C
Dar es Salaam

Michezo

Man City yamsogelea ‘mido’ Bayern

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester City imeanza mazungumzo ya kumsajili kiungo wa Bayern Munich, Aleksandar Pavlovic. Nyota huyo ana umri wa miaka 21 na ameshacheza mechi...

Evra awavaa Scholes, Neville kisa Carrick

MANCHESTER, Uingereza BEKI wa zamani wa Manchester, Patrice Evra, amewatolea uvivu wakongwe wenzake wa timu hiyo, Paul Scholes, Gary Neville na Roy Keane, akiwaambia waache...

Ronaldo nje Kombe la Dunia?

RIYADH, Saudi Arabia MSHAMBULIAJI wa Al-Nassr, Cristiano Ronaldo, atakuwa nje ya dimba kwa muda na hiyo imezua hofu kuwa huenda akazikosa fainali zijazo za Kombe...

‘Makomandoo’ wazitia hasara Simba na Yanga

Na Mwandishi Wetu,Gazetini KLABU za Simba na Yanga zimetozwa faini ta sh.5,000,000 kila moja kwa kosa la walinzi wake kugombana na kutoleana lugha za matusi...

Mwamuzi aliyekataa bao la Simba Zanzibar afungiwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MWAMUZI Kassim Mpanga Mpanga wa Dar es Salaam, amefungiwa miezi sita  kosa la kukataa bao halali la Simba wakati wa mchezo...

Vunjabei, Sara kuisaka heshima ya Tanzania One ulingoni

Na Winfrida Mtoi MABONDIA wa ngumi za kulipwa, Halima Ramadhani maarufu Vunjabei na Sara Alex wanatarajia kupanda ulingoni Machi 21, 2026 kusaka heshima ya Tanzania...

Julian Ryerson: Beki, mkali wa ‘asisti’ anayewatoa udenda Man United

MANCHESTER, Uingereza RADA za maskauti wa Manchester United zimemnasa beki wa pembeni wa Borussia Dortmund, Julian Ryerson. Anatakiwa Old Trafford kwa ajili ya msimu ujao. Ryerson...

Arsenal kumbakiza beki wa mkopo

LONDON, Uingereza KLABU ya Arsenal imeanza harakati za kumsajili moja kwa moja beki wake wa mkopo, Piero Hincapie. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 24, amekuwa...

Klopp ataibukia wapi msimu ujao?

LONDON, Uingereza AMEKIRI mara kadhaa kuwa ipo siku atarejea kwenye kazi ya ukocha. Kwa sasa, Jurgen Klopp ni Mkuu wa Maendeleo ya Soka wa Kampuni...

Mabosi wa Liverpool kumpa mikoba Alonso

MERSEYSIDE, Uingereza KUNA uwezekano mkubwa huu ukawa msimu wa mwisho kwa kocha raia wa Uholanzi, Arne Slot, kuliongoza benchi la ufundi la Liverpool. Wamiliki wa klabu...

CAF yaisogeza mbele WAFCON

CAIRO, Misri SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetangaza kuzisogeza mbele fainali za Mataifa Afrika kwa Wanawake (WAFCON). Awali, michuano hiyo ilitarajiwa kuanza Marchi 17, 2026, lakini...

Becker wa Liverpool awindwa Serie A

MILAN, Italia KLABU mbili za Ligi Kuu ya Italia (Serie A), Inter Milan na Juventus, zinapigana vikumbo kuiwania saini ya kipa wa Liverpool, Alisson Becker. Becker...

Recent articles

spot_img