MILAN, Italia
IKIWA ni miaka 11 imepita tangu alipotangaza kustaafu, kiungo wa zamani wa Barcelona, Ronaldinho, amerejea dimbani.
Ronaldinho (46), amesajiliwa na klabu ya Ravenna inayoshiriki...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KOCHA wa Azam FC, Florent Ibenge, amegoma kuanika mbinu za kiufundi atakazozitumia katika mchezo wao dhidi ya Yanga.
Timu hizo zitakutana kesho...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
GEITA Gold haijatinga Ligi Kuu Bara kinyonge, na badala yake imetwaa ubingwa wa Ligi Daraja la Kwanza Bara (Championship) ikiwa na...
LONDON, Uingereza
RATIBA ya Ligi Kuu ya England (EPL) kwa msimu ujao wa 2026-27 iko hadharani. Je, lini mechi zitaanza na nani kufungua pazia?
AGOSTI 21,...
MANCHESTER, Uingereza
KIUNGO wa zamani wa Manchester United, Paul Scholes, amesema Cristiano Ronaldo hastahili kuwa kiongozi wa safu ya ushambuliaji ya timu ya soka ya...
LONDON, Uingereza
WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, klabu za soka, zikiwamo za Ligi Kuu ya England (EPL) zimeanza kujipanga kwa ajili ya...