Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Mbwana Samatta ametangaza kustaafu kuichezea timu hiyo aliyoitumikia kwa zaidi ya miaka...
LONDON, Uingereza
NI rasmi sasa timu ya soka ya Taifa ya England itavaana na Norway katika hatua inayofuata ya robo fainali.
Ni michuano ya Kombe la...
LONDON, Uingereza
KIUNGO wa zamani wa klabu za Valencia, Manchester United na Chelsea, Juan Mara, yumo kwenye orodha hii, akiwa na Shahada (Digrii) mbili.
Digrii yake...
RIO, Brazil
UNAMKUMBUKA Alexandre Pato, kiungo wa zamani wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil 'Selecao'?
Alianza safari yake ya soka la kulipwa akiwa Internacional...
MIAMI, Marekani
NEYMAR ametangaza rasmi kustaafu kuitumikia timu ya soka ya Taifa ya Brazil, uamuzi uliokuja baada ya kikosi hicho kutolewa kwenye fainali za Kombe...
TORONTO, Canada
HERVE Renard ametangaza kujiuzulu katika kibarua chake cha kuinoa timu ya soka ya Taifa ya Tunisia.
Mfaransa huyo ametema kibarua zikiwa ni siku 18...
MIAMI, Marekani
FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zimeandaliwa na nchi tatu; Marekani, Mexico na Canada.
Tangu michuano hiyo ianze mwaka 1930, nchi...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
HIVI karibuni, Yanga iliachana na mshambuliaji wake raia wa Zimbabwe, Prince Dube, ambaye amejiunga na Hardrock ya Ligi Kuu nchini humo....
MIAMI, Marekani
AKITOKEA benchi, aliukuta mchezo ukiwa sare ya bao 1-1, kisha akafunga na kuiwezesha timu ya soka ya Taifa ya Ureno kupata ushindi wa...
MIAMI, Ujerumani
NUKSI ya timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani katika fainali za Kombe la Dunia imeendelea. Safari hii, waliishia hatua ya 32 Bora.
Ni...