Ads: info@gazetini.co.tz |
22.7 C
Dar es Salaam

Michezo

Tunawataka! Simba yatangulia ikiisubiri Yanga fainali FA

Na mwandishi wetu, Gazetini SIMBA SC imekuwa ya kwanza kutanguliza mguu fainali ya Kombe la FA na sasa inasubiri mshindi kati ya Yanga na Azam...

Ronaldinho arudi uwanjani, asajiliwa Daraja la Tatu

MILAN, Italia IKIWA ni miaka 11 imepita tangu alipotangaza kustaafu, kiungo wa zamani wa Barcelona, Ronaldinho, amerejea dimbani. Ronaldinho (46), amesajiliwa na klabu ya Ravenna inayoshiriki...

Japan, Tunisia kufikisha mechi ya 1,000

MEXICO CITY, Mexico JAPAN na Tunisia zitavaana Jumapili ya Julai 21, 2026 katika mchezo wa Kundi F msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Upekee...

Nyuma ya Cristiano Ronaldo kuna mrembo Katia Aveiro

CALIFORNIA, Marekani BAADA ya timu ya soka ya Taifa ya Ureno kulazimishwa sare ya bao 1-1 na DRC, lawama zote zilielekezwa kwa nahodha wa kikosi,...

Ibenge aficha silaha za kuibana Yanga

Na mwandishi wetu, Gazetini KOCHA wa Azam FC, Florent Ibenge, amegoma kuanika mbinu za kiufundi atakazozitumia katika mchezo wao dhidi ya Yanga. Timu hizo zitakutana kesho...

Kocha Yanga: Kwa Azam tunataka fainali tu

Na mwandishi wetu, Gazetini MKUU wa benchi la ufundi la Yanga, Abdihamid Moallin, amesema kufika fainali ya FA ni moja ya mipango yao, licha ya...

Geita Gold ilivyovunja rekodi ikitinga tena Ligi Kuu Bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini GEITA Gold haijatinga Ligi Kuu Bara kinyonge, na badala yake imetwaa ubingwa wa Ligi Daraja la Kwanza Bara (Championship) ikiwa na...

Haiti yatangulia kung’oka Kombe la Dunia 2026

NEW YORK, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Haiti imekuwa ya kwanza kuaga msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia zinazofanyika Marekani, Mexico...

Mkeka wa ratiba Ligi Kuu ya England 2026-27

LONDON, Uingereza RATIBA ya Ligi Kuu ya England (EPL) kwa msimu ujao wa 2026-27 iko hadharani. Je, lini mechi zitaanza na nani kufungua pazia? AGOSTI 21,...

Aliyeitungua Ureno bado kidogo awe kipofu

HOUSTON, Marekani URENO ya Cristiano Ronaldo ingeweza kuibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mechi yao ya kwanza msimu huu wa Kombe la Dunia lakini...

Scholes: Ronaldo wa sasa labda acheze kipa

MANCHESTER, Uingereza KIUNGO wa zamani wa Manchester United, Paul Scholes, amesema Cristiano Ronaldo hastahili kuwa kiongozi wa safu ya ushambuliaji ya timu ya soka ya...

Dili zinazotolewa macho usajili wa kiangazi Ulaya

LONDON, Uingereza WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, klabu za soka, zikiwamo za Ligi Kuu ya England (EPL) zimeanza kujipanga kwa ajili ya...

Recent articles