Na Mwandishi Wetu
Klabu ya Simba leo Julai 30, 2025, imemtambulisha Alassane Kante raia wa Senegal , akitokea CA Bizertin ya Tunisia.
Kiungo huyo mkabaji mwenye...
Na Mwandishi Wetu
Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Hersi Saidi ameshindwa kupenya katika uteuzi wa awali wa wagombea ubunge Jimbo la Kigamboni kupitia Chama...
Na Mwandishi Wetu
Hatimaye ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na wadau, wapenzi wa ngumi imefika ambapo kesho yatapigwa mapambano ya ngumi za kulipwa ‘Dar...
Na Mwandishi Wetu
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, imeahidiwa kiasi cha fedha shilingi bilioni moja kama zawadi, ikifanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya...
DOHA, QatarMABINGWA wa Ligi Kuu ya Qatar, Al Sadd, wamemsajili na kumpa mkataba wa miaka miwii mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Roberto Firmino.Nyota huyo...
MWANDISHI WETU, GazetiniNI rasmi sasa, kwamba benchi la ufundi la Yanga liko chini ya kocha mpya raia wa Ufaransa, Romain Folz.Ikielezwa kuwa amesaini mkataba...
LONDON, EnglandALIYEWAHI kuwa mchezaji wa Arsenal, Jay Emmanuel-Thomas, amejiunga na AFC Totton, zikiwa ni wiki chache tu tangu alipotoka jela.Jay alihukumiwa kifungo cha miaka...
LONDON, EnglandCHELSEA wanakaribia kukamilisha usajili wa kiungo wa RB Leipzig na timu ya taifa ya Uholanzi, Xavi Simons.Baada ya kumuuza Noni Madueke aliyejiunga na...
MADRID, HispaniaREAL Madrid wametenga Pauni milioni 100 (zaidi ya Sh bil. 348 za Tanzania) za kuibomoa Manchester City kwa kumchukua kiungo wao, Rodri.Kocha mpya,...
MUNICH, UjerumaniKOCHA wa Bayer Leverkusen, Erik ten Hag, ameweka wazi kuwa kiungo wake raia wa Uswis,Granit Xhaka, hauzwi.Xhaka aliyewahi kukipiga Arsenal, anahusishwa na mpango...
MANCHESTER, EnglandBAADA ya kutangazwa rasmi kuwa mchezaji mpya wa Barcelona, Marcus Rashford amesema anajisikia yuko nyumbani.Rashford mwenye umri wa miaka 27, amejiunga na Barca...
MANCHESTER, EnglandBEKI wa kati, Harry Maguire, hajaongozana na kikosi cha Manchester United kilichoelekea Chicago, Marekani, kwa ajili ya kambi ya maandalizi ya msimu ujao.Maguire...