MADRID, HispaniaKLABU ya Liverpool inafuatilia kwa karibu hatima ya staa wa Real Madrid, Rodrygo.Kwa wiki za hivi karibuni, Rodrygo raia wa Brazil amekuwa akihusishwa...
LONDON, EnglandKITENDO cha mshambuliaji wa Brentford, Yoane Wissa, kuondoka katika kambi ya timu hiyo huko Ureno kimeibua tetesi kuwa huenda amerejea London kukamilisha usajili...
MERSEYSIDE, EnglandLIVERPOOL wamefanikisha usajili wa mpachikaji mabao Hugo Ekitike, huku dili hilo likigharimu Pauni milioni 79 (zaidi ya Sh bil. 277 za Tanzania).Ikumbukwe, nyota...
LONDON, EnglandMSHAMBULIAJI wa Arsenal, Gabriel Magalhaes, anaamini msimu ujao ni wao katika kunyakua mataji.Kwa miaka sita ya kocha Mikel Arteta, Arsenal wamebeba taji la...
Na Mwandishi Wetu
Timu ya Taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’ imejiondoa katika mashindano maalumu ya CECAFA yaliyopangwa kuanza leo Julai 21,2025 jijini Arusha kwa ajili ya maandalizi...
LAS VEGAS, MarekaniMKONGWE wa ndondi za uzito wa welter, Manny Pacquiao, amesema anatamani kuona akirudiana na bingwa wa WBC, Mario Barrios.Pacquiao mwenye umri wa...
LOS ANGELES, MarekaniMASTAA wa tenesi, Jannik Sinner na Novak Djokovic, hawatoshiriki michuano ijayo ya National Bank Open itakayofanyika Canada.Wawili hao walitarajiwa kushiriki mashindano hayo...
MERSEYSIDE, EnglandMABOSI wa Everton wanakaribia kutangaza mkataba mpya wa miaka minne mlinda mlango wao raia wa England, Jordan Pickford.Pickford mwenye umri wa miaka 31,...
MANCHESTER, EnglandIMERIPOTIWA kuwa mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford, atatimkia Barcelona kwa mkataba wa mkopo.Barca walifika mezani na ofa yao ya mkopo na Man...
LONDON, EnglandKOCHA mpya wa Tottenham, Thomas Frank, hajawahi kufukuzwa kazi lakini sasa anahofia kuipoteza rekodi hiyo.Frank raia wa Denmark, anakuwa kocha wa 14 kwa...
LONDON, EnglandKLABU ya Arsenal imefanikiwa kuinasa saini ya winga wa kimataifa wa England, Noni Madueke.Arsenal imemng'oa nyota huyo Chelsea, huku usajili huo ukiripotiwa kugharimu...