Ads: info@gazetini.co.tz |
22.3 C
Dar es Salaam

Michezo

Liverpool yahamishia mtego kwa Rodrygo

MADRID, HispaniaKLABU ya Liverpool inafuatilia kwa karibu hatima ya staa wa Real Madrid, Rodrygo.Kwa wiki za hivi karibuni, Rodrygo raia wa Brazil amekuwa akihusishwa...

Wissa aondoka kambini, anukia Tottenham

LONDON, EnglandKITENDO cha mshambuliaji wa Brentford, Yoane Wissa, kuondoka katika kambi ya timu hiyo huko Ureno kimeibua tetesi kuwa huenda amerejea London kukamilisha usajili...

Liver yamnasa Ekitike kwa bil. 277/-

MERSEYSIDE, EnglandLIVERPOOL wamefanikisha usajili wa mpachikaji mabao Hugo Ekitike, huku dili hilo likigharimu Pauni milioni 79 (zaidi ya Sh bil. 277 za Tanzania).Ikumbukwe, nyota...

Gabriel: Arsenal tunataka makombe msimu ujao

LONDON, EnglandMSHAMBULIAJI wa Arsenal, Gabriel Magalhaes, anaamini msimu ujao ni wao katika kunyakua mataji.Kwa miaka sita ya kocha Mikel Arteta, Arsenal wamebeba taji la...

Kenya yajitoa  mashindano ya  CECAFA 

Na Mwandishi Wetu Timu ya Taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’ imejiondoa katika mashindano maalumu ya CECAFA  yaliyopangwa kuanza leo Julai 21,2025 jijini Arusha  kwa ajili  ya maandalizi...

Pacquiao amtamani tena Barrios

LAS VEGAS, MarekaniMKONGWE wa ndondi za uzito wa welter, Manny Pacquiao, amesema anatamani kuona akirudiana na bingwa wa WBC, Mario Barrios.Pacquiao mwenye umri wa...

Sinner, Djokovic kuikosa National Bank Open

LOS ANGELES, MarekaniMASTAA wa tenesi, Jannik Sinner na Novak Djokovic, hawatoshiriki michuano ijayo ya National Bank Open itakayofanyika Canada.Wawili hao walitarajiwa kushiriki mashindano hayo...

Usyk achota bil. 343/- kwa dk. 14 tu

LONDON, EnglandKWA ushindi wa 'KO' ya raundi ya tano dhidi ya Daniel Dubois, Oleksandr Usyk amevuna Pauni milioni 98 (zaidi ya Sh bil. 343...

Pickford kusaini miaka minne Everton

MERSEYSIDE, EnglandMABOSI wa Everton wanakaribia kutangaza mkataba mpya wa miaka minne mlinda mlango wao raia wa England, Jordan Pickford.Pickford mwenye umri wa miaka 31,...

Rashford rasmi kwa mkopo Barca

MANCHESTER, EnglandIMERIPOTIWA kuwa mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford, atatimkia Barcelona kwa mkataba wa mkopo.Barca walifika mezani na ofa yao ya mkopo na Man...

Kocha Spurs ahofia kufukuzwa

LONDON, EnglandKOCHA mpya wa Tottenham, Thomas Frank, hajawahi kufukuzwa kazi lakini sasa anahofia kuipoteza rekodi hiyo.Frank raia wa Denmark, anakuwa kocha wa 14 kwa...

Arsenal yakamilisha dili la Madueke

LONDON, EnglandKLABU ya Arsenal imefanikiwa kuinasa saini ya winga wa kimataifa wa England, Noni Madueke.Arsenal imemng'oa nyota huyo Chelsea, huku usajili huo ukiripotiwa kugharimu...

Recent articles