Ads: info@gazetini.co.tz |
22.3 C
Dar es Salaam

Michezo

Thomas Muller; miaka 15 ya mabao, ‘asisti’, rekodi Bayern

MUNICH, UjerumaniJINA la Thomas Muller limetua Ligi Kuu ya Marekani (MLS) baada ya mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Ujerumani kujiunga na Vancouver Whitecaps akitokea...

McTominay ndani tuzo za Ballon d’Or

MANCHESTER, EnglandUKIWA ni mwaka mmoja tu umepita tangu alipoondoka Manchester United, Scott McTominay ameingia kwenye kinyang'anyiro cha kuiwania tuzo ya mwaka huu ya Ballon...

United, Spurs zatabiriwa majanga msimu ujao

LONDON, UingerezaKWA mujibu wa mtandao maarufu wa takwimu wa Supercomputer, Manchester United na Tottenham zitamaliza vibaya msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL).Si...

Taifa Stars yaendelea kutoa vichapo CHAN

Na Mwandishi Wetu Bao pekee la Shomary Kapombe dakika ya 89, limeipa ushindi wa 1-0 Taifa Stars dhidi ya Mauritania katika mchezo wa michuano ya...

Dodoma Jiji yatambulisha mrithi wa Maxime, kiungo

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Dodoma Jiji yamtangaza kocha Vincent Mashami kutoka Polisi FC ya Rwanda akichukua nafasi ya Mecky Maxime aliyeondoka mwishoni  msimu uliomalizika. Kwa mujibu...

Usyk; mbabe wa ulingo, kiboko ya mabondia wa Uingereza

LOS ANGELES, MarekaniSTAA wa ngumi za uzito wa juu, Oleksandr Usyk, ndiye bingwa wa dunia baada ya kumdunda kwa 'KO' ya raundi ya tano...

Son alivyoacha ufalme wake Tottenham, EPL

LONDON, UingerezaUKILIWEKA kando jina la Harry Kane, Son Heung-min anaweza kuwa mchezaji bora zaidi kuwahi kutokea katika klabu ya Tottenham kwa miaka ya hivi...

Diaz na mastaa waliotimka EPL kwa dau nono

LONDON, UingerezaHIVI karibuni, Liverpool walivuna kitita cha Pauni milioni 65.5 kwa kumpiga bei mshambuliaji wake, Luis Diaz, na kuingia kwenye moja ya rekodi za...

Partey aibukia La Liga

LONDON, UingerezaBAADA ya kuachana na Arsenal, kiungo wa kimataifa wa Ghana, Thomas Partey, amemalizana na Villarreal ya Ligi Kuu ya Hispania (La Liga).Partey aliyewahi...

Makocha hawa presha tupu EPL

LONDON, UingerezaNI takribani wiki mbili pekee zimebaki kabla ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya England (EPL) kuanza.Msimu uliopita, makocha nane walifungashiwa virago, wa...

Maswali 6 yanayosubiri majibu EPL 2025-26

LONDON, England MSIMU ujao wa 2025-26 uko njiani, ukitarajiwa kuanza kutimua vumbi mwezi ujao. Ni Ligi Kuu ya England (EPL), michuano ya soka inayotajwa kufuatiliwa...

Victor Gyokeres kuibeba Arsenal msimu ujao?

LONDON, England KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, aliingia sokoni majira haya ya kiangazi akihitaji straika. Msako wake umeinasa saini ya mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden,...

Recent articles