9.8 C
New York

Vikosi vya AFCON 2025 (1); Kundi A

Published:

ZIMEBAKI siku chache tu kabla ya kuanza kwa fainali za Mataifa Afrika za mwaka huu (AFCON 2025) zitakazofanyika nchini Morocco.

GAZETINI inakuletea vikosi vya wachezaji walioitwa kuziwakilisha timu zao za taifa katika michuano hiyo ya mwezi mmoja.

Morocco

Makipa: Yassine Bounou (Al-Hilal), Munir El Kajoui (RS Berkane), El Mehdi Al Harrar (Raja).
Mabeki: Achraf Hakimi (PSG), Mohamed Chibi (Pyramids FC), Jawad El Yamiq (Al-Najma SC), Roman Saiss (Al-Sadd SC), Abdelhamid Ait Boudlal (Amiens SC), Nayef Aguerd (Marseille), Adam Masina (Torino FC), Noussair Mazraoui (Man United), Anass Salah-Eddine (PSV).

Viungo: Oussama Targhalline (Feyenoord), Sofyan Amrabat (Betis), Ismael Saibari (PSV), Neil El Aynaoui (AS Roma), Bilal El Khannouss (VfB Stuttgart), Azzedine Ounahi (Girona).

Washambuliaji: Brahim Diaz (Real Madrid), Ilias Akhomach (Villarreal), Chemsdine Talbi (Sunderland), Youssef En-Nesyri (Fenerbahce), Ayoub El Kaabi (Olympiakos), Soufiane Rahimi (Al-Ain), Abdessamad Ezzalzouli (Betis), Eliesse Ben Seghir (Monaco).

Mali

Makipa: Djigui Diarra (Yanga), Ismael Diawara (IK Sirius), Mamadou Samassa (Laval).
Mabeki: Sikou Niakate (SC Braga), Abdoulaye Diaby (Grasshoppers), Woyo Coulibaly (Sassuolo), Fode Doucoure (Red Star), Hamari Traore (Paris FC), Ousmane Camara (Angers SCO), Mamadou Fofana (New England Revolution), Nathan Bassama (Baltika), Amadou Dante (Arouca).

Viungo: Amadou Haidara (RB Leipzig), Lassana Coulibaly (Lecce), Mohamed Camara (Al-Saad / Qatar), Mamadou Sangaré (RC Lens), Aliou Dieng (Al-Ahly), Yves Bissouma (Tottenham), Mahamadou Doumbia (A Ittihad), Ibrahima Sissoko (VFL Bochum).

Washambuliaji: Nene Dorgeles (Fenerbahce), Gaoussou Diarra (Feyenoord), El-Bilal Toure (Besiktas), Lassine Sinayoko (AJ Auxerre), Kamory Doumbia (Brest), Mamadou Doumbia (Watford), Gaoussou Diakite (Lausanne-Sport), Mamadou Camara (Laval).

Zambia

Makipa: Lawrence Mulenga (Power Dynamos), Francis Mwansa (Zanaco), Willard Mwanza (Power Dynamos).
Mabeki: Mathews Banda (Nkana), Dominic Chanda (Power Dynamos), Obino Chisala (Al Merrikh), Kabaso Chongo (Zesco United), David Hamansenya (Leganes), Gift Mphande (Zesco United), Frankie Musonda (Bahrain SC), Benson Sakala (Bohemians 1905), Stoppila Sunzu (Changchun Yatai).

Viungo: Joseph Sabobo Banda (Hapoel Be’er Sheva), Lameck Banda (Lecce), Miguel Chaiwa (Hibernian), Wilson Chisala (Zanaco), Given Kalusa (FC Muza), Kings Kangwa (Hapoel Be’er Sheva), Joseph Liteta (Cagliari), Lubambo Musonda (FC Magdeburg), Pascal Phiri (Zesco United), Fashion Sakala (Al Fayha), David Simukonda (Zesco United), Owen Tembo (Power Dynamos).

Washambuliaji: Patson Daka (Leicester City), Jack Lahne Kalichi (Austria Lustenau), Eliya Mandanji (Zanaco), Kennedy Musonda (Hapoel Ramat Gan).

Comoro

Makipa: Yannick Pandor (Francs Borains), Salim Ben Boina (Istres), Adel Anzimati (FC Ararat).
Mabeki: Said Bakari (Sparta Rotterdam), Kassim M’Dahoma (Aubagne), Kenan Toibibou (Bravo), Ahmed Soilihi (Toulon), Idris Mohamed (Le Puy) Yannis Kari (Frejus Saint Raphael), Akim Abdallah (Guingamp), Bendjaloud Youssouf (FC Sochaux), Remy Vita (CD Tondela), Ismael Boura (Troyes).

Viungo: Youssouf M’Changama (Al-Batin), Zaydou Youssouf (Al-Fateh / Saudi Arabia), Rayan Lutin (Amiens), Raouf Mroivili (Villefranche), Iyad Mohamed (Casa Pia), Aymeric Ahmed (Chateauroux) Yacine Bourhane (Aris Limassol).

Washambuliaji: Rafiki Said (Standard de Liege), Myziane Maolida (Al Kholood), Faiz Selemani (Qatar SC), Aboubacar Ali Abdallah (Francs Borains), El Fardou Ben Mohamed (Zemun), Zaid Amir (Istres).

Related articles

spot_img

Recent articles

spot_img