Ads: info@gazetini.co.tz |
23.5 C
Dar es Salaam

Michezo

Waliostaafu baada ya kung’oka Kombe la Dunia 2026

MIAMI, Marekani WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, baadhi ya wanasoka wenye majina makubwa wametangaza kustaafu muda mfupi tu baada ya timu zao...

Hii hapa ratiba ya ‘pre-season’ vigogo EPL

LONDON, Uingereza WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL 2026-27) nao uko njiani. Kama ilivyo kawaida, msimu...

Wachambuzi wa soka wanaolipwa zaidi EPL

LONDON, Uingereza SOKA limekuwa likitoa fursa nyingi. Mathalan, ndani ya klabu, limeajiri viongozi, wachezaji, makocha, madaktari, wapishi, na wafanyakazi wengine. Kwa miaka mingi, limekuwapo kundi la...

Samatta na viatu vyake, Mwakinyo na glovu zake

Samatta na viatu vyake, Mwakinyo na glovu zake Na Hassan Mwasha, Gazetini SAFARI ya Mbwana Samatta na timu ya soka ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars'...

Sikia hii kuhusu Fury, Joshua

LONDON, Uingereza MWAKA huu haiushi. Huenda Tyson Fury na Muingereza mwenzake wa ngumi za uzito wa juu, Anthony Joshua, wakazichapa kama si Oktoba, basi Novemba,...

Pogba afunguliwa mlango Monaco

MONACO, Ufaransa MTENDAJI Mkuu wa klabu ya soka ya Monaco, Thiago Scuro, amesema wako tayari kumruhusu kiungo Paul Pogba kuondoka klabuni hapo. Kwa mujibu wa Scuro,...

Yamal awaaga Ronaldo, Neymar

MIAMI, Marekani BAADA ya timu za soka za taifa za Ureno na Brazil, staa wa Hispania, Lamine Yamal, amewatumia ujumbe wa pole Cristiano Ronaldo na...

Mbeya City yabaki Ligi Kuu, kocha  afunguka changamoto waliyopitia

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Mbeya City imefanikiwa kusalia Ligi kuu ya soka ya NBC Tanzania bara kufuatia ushindi wa jumla wa 2-0 dhidi ya...

Kane, Alvarez nani kuziba pengo la Lewandowski?

CATALUNYA, Barcelona BADO mabosi wa Barcelona wanaumiza vichwa kujua ni straika yupi sahihi kati ya Julian Alvarez wa Atletico Madrid na Harry Kane wa Bayern...

Mahrez saini yake dili Serie A

MILAN, Italia JINA la winga wa kimataifa wa Algeria, Riyad Mahrez, limeingia kwenye rada za mabosi wa klabu kubwa za Ligi Kuu ya Italia (Serie...

Maajabu ya uwanja huu wa Kombe la Dunia 2026

MEXICO CITY, Mexico UWANJA wa Azteca unaopatikana Kusini mwa Mji Mkuu wa Mexico, Mexico City. Ni moja ya viwanja vya soka vyenye historia ya aina...

Nani haogopi kuchukua fomu ya urais Yanga?

Na Hassan Mwasha, Gazetini YANGA wanaelekea katika Uchaguzi Mkuu, ambapo mchakato huo wa kidemokrasia unatarajiwa kufanyika Agosti 2, 2026. Ukiwa ni mwezi mmoja kabla ya Uchaguzi,...

Recent articles