LONDON, Uingereza
ARSENAL wako mstari wa mbele katika mbio za kuinasa saini ya mshambuliaji tishio wa Ligi Kuu ya Ubelgiji, Nicolo Tresoldi.
Nyota huyo wa U-21...
LONDON, Uingereza
KIUNGO wa zamani wa timu ya taifa ya England, David Beckham, amesema haelewi sababu ya kocha Thomas Tuchel kutomuita kikosini beki Trent Alexander-Arnold.
Tuchel...
MIAMI, Marekani
NYOTA anayeshika nafasi ya pili kwa ubora duniani, Jannik Sinner, ameingia fainali ya michuano ya Miami Open baada ya kumtandika Alexander Zverev.
Sinner ameshinda...
LOS ANGELES, Marekani
STAA wa mchezo wa gofu, Tiger Woods, amerejea uraiani tangu alipokamatwa kwa kesi ya kuendesha gari akiwa amelewa pombe.
Woods, bingwa wa dunia...
MANCHESTER, Uingereza µ
BARCELONA iko tayari kukaa mezani na Manchester United na kujadili dili la mshambuliaji raia wa Hispania, Ferran Torres.
Torres aliyewahi kukipiga Manchester City,...
RIO, Brazil
MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Raphinha, amerejea klabuni hapo akitokea katika kambi ya timu ya taifa ya Brazil.
Raphinha amelazimika kurejea Barcelona kwa ajili ya matibabu...
NYON, Uswis
MAHAKAMA ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imekiri kupokea malalamiko ya Shirikisho la Soka la Senegal.
FSF wamefikisha ombi la kupinga kile kilichofanywa...
MANCHESTER, Uingereza
ANAONDOKA au anabaki? Beki wa kati wa Manchester United, Harry Maguire, amefunguka juu ya hatima yake klabuni hapo.
Mlinzi huyo wa kimataifa wa England...
MADRID, Hispania
HAKUNA kitu kama hicho. Staa wa Real Madrid, Vinicius Jr, amepuuzia ripoti zinazodai kuwa ataondoka klabuni hapo.
Vinicius alikuwa kwenye wakati mbaya chini ya...
MANCHESTER, Uingereza
KAMA ukidhani ni utani, basi umepotea. Manchester United imeelekeza nguvu zake zote kwa beki wa kati wa Real Madrid, Antonio Rudiger.
Nyota huyo raia...
LONDON, Uingereza
MSHAMBULIAJI wa Misri, Mohamed Salah, amewashukuru mashabiki na klabu ya Liverpool kwa kumtia moyo na kumpa kipindi bora zaidi cha maisha yake, baada...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United italazimika kuweka mezani kitita cha Pauni milioni 60.5 ili kukamilisha usajili wa kiungo wa Newcastle United, Bruno Guimaraes.
Man United...