Ads: info@gazetini.co.tz |
22.7 C
Dar es Salaam

Michezo

Mkongwe aibuka, ataka Ronaldo asisumbuliwe

LISBON, Ureno LEJENDARI wa timu ya soka ya Taifa ya Ureno, Bruno Alves, amewasikia wanaoponda kiwango cha Cristiano Ronaldo msimu huu wa fainali za Kombe...

Mbappe acharuka akimkingia kifua Dembele

MEXICO CITY, Mexico NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe, amesema si sahihi kwa Ousmane Dembele kukosolewa kwa kiwango alichokionesha katika...

Mganga ‘aliyemkomesha’ Ronaldo ahamia kwa Harry Kane

ACCRA, Ghana MGANGA wa kienyeji raia wa Ghana ambaye alidai kumsababishia majeraha Cristiano Ronaldo wakati wa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2014, ameibuka na...

Yamal alivyoweka rekodi akimpiku Messi

CALIFORNIA, Marekani WINGA wa kimataifa wa Hispania, Lamine Yamal, amempiku Lionel Messi katika orodha ya wachezaji wenye umri mdogo zaidi kufunga bao kwenye mechi ya...

Casemiro rasmi kucheza na Messi

MIAMI, Marekani KLABU ya Inter Miami ya Ligi Kuu ya Marekani (MLS) imethibitisha kuinasa saini ya kiungo wa kimataifa wa Brazil, Casemiro. Casemiro amejiunga na timu...

Yanga, Azam zaacha historia ya ‘vichwa’ CCM Kirumba

Na mwandishi wetu, Gazetini INAWEZA kuumiza kichwa kukumbuka mechi ya aina hii; Yanga dhidi ya Azam, ambayo ilimalizika kwa jumla ya mabao matano na yote...

Kibarua wa viwandani aliyefunga mabao mawili kuiokoa Ujerumani

MEXICO CITY, Mexico IVORY Coast ikiwa mbele kwa bao 1-0, kocha wa timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani, alimuinua kwenye benchi Deniz Undav aliyeingia...

Simba: Azam siyo mbaya ila tulimtaka ‘my’ wetu

Na mwandishi wetu, Gazetini BAADA ya kuitazama Azam ikiifunga Yanga na kutinga fainali ya Kombe la FA, mashabiki wa Simba wameonesha kutoridhishwa na matokeo hayo. Yanga...

Muller aitaka United kumchukua Manzambi

MUNICH, Ujerumani LEJENDARI wa Bayern Munich, Thomas Muller, ameishauri klabu ya Manchester United kumsajili kiungo wa Freiburg, Johan Manzambi. Ushauri wa Muller umetokana na kiwango kizuri...

Huyu ndiye Dk. Suzanne wa Kombe la Dunia 2026

CALIFORNIA, Marekani FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zimeshuhudia historia nyingi zikiandikwa lakini moja ya hizo ni uwepo wa Dk. Suzanne Huurman. Katika...

Ujerumani nayo yatinga 32 Bora

NEW YORK, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Ujerumani imeungana na zingine mbili kutinga hatua ya 32 Bora ya fainali za Kombe la Dunia...

Neymar mzigoni kuivaa Scotland

MEXICO CITY, Mexico KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti, amethibitisha kuwa mshambuliaji wake, Neymar, anaweza kuwa fiti kuivaa Scotland katika...

Recent articles