26.2 C
Dar es Salaam

Michezo

Straika wa mabao 17 aibukia Arsenal

LONDON, Uingereza ARSENAL wako mstari wa mbele katika mbio za kuinasa saini ya mshambuliaji tishio wa Ligi Kuu ya Ubelgiji, Nicolo Tresoldi. Nyota huyo wa U-21...

Beckham amtolea uvivu Tuchel

LONDON, Uingereza KIUNGO wa zamani wa timu ya taifa ya England, David Beckham, amesema haelewi sababu ya kocha Thomas Tuchel kutomuita kikosini beki Trent Alexander-Arnold. Tuchel...

Sinner atinga fainali Miami Open

MIAMI, Marekani NYOTA anayeshika nafasi ya pili kwa ubora duniani, Jannik Sinner, ameingia fainali ya michuano ya Miami Open baada ya kumtandika Alexander Zverev. Sinner ameshinda...

Tiger Woods aachiwa kwa dhamana

LOS ANGELES, Marekani STAA wa mchezo wa gofu, Tiger Woods, amerejea uraiani tangu alipokamatwa kwa kesi ya kuendesha gari akiwa amelewa pombe. Woods, bingwa wa dunia...

United kumsajili Torres?

MANCHESTER, Uingereza µ BARCELONA iko tayari kukaa mezani na Manchester United na kujadili dili la mshambuliaji raia wa Hispania, Ferran Torres. Torres aliyewahi kukipiga Manchester City,...

Raphinha ang’olewa kikosini Brazil

RIO, Brazil MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Raphinha, amerejea klabuni hapo akitokea katika kambi ya timu ya taifa ya Brazil. Raphinha amelazimika kurejea Barcelona kwa ajili ya matibabu...

Senegal walifikisha jambo lao CAS

NYON, Uswis MAHAKAMA ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imekiri kupokea malalamiko ya Shirikisho la Soka la Senegal. FSF wamefikisha ombi la kupinga kile kilichofanywa...

Maguire aanika hatima yake Old Trafford

MANCHESTER, Uingereza ANAONDOKA au anabaki? Beki wa kati wa Manchester United, Harry Maguire, amefunguka juu ya hatima yake klabuni hapo. Mlinzi huyo wa kimataifa wa England...

Vinicius: Bado nipo sana Madrid

MADRID, Hispania HAKUNA kitu kama hicho. Staa wa Real Madrid, Vinicius Jr, amepuuzia ripoti zinazodai kuwa ataondoka klabuni hapo. Vinicius alikuwa kwenye wakati mbaya chini ya...

United wako ‘siriaz’ na Rudiger

MANCHESTER, Uingereza KAMA ukidhani ni utani, basi umepotea. Manchester United imeelekeza nguvu zake zote kwa beki wa kati wa Real Madrid, Antonio Rudiger. Nyota huyo raia...

Rasmi; Salah kuondoka Liverpool

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI wa Misri, Mohamed Salah, amewashukuru mashabiki na klabu ya Liverpool kwa kumtia moyo na kumpa kipindi bora zaidi cha maisha yake, baada...

United watajiwa dau la Guimaraes

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United italazimika kuweka mezani kitita cha Pauni milioni 60.5 ili kukamilisha usajili wa kiungo wa Newcastle United, Bruno Guimaraes. Man United...

Recent articles

spot_img