25.2 C
Dar es Salaam

Michezo

Olivier Toure naye atua Simba

Na mwandishi wetu, Gazetini BEKI wa zamani wa Stellenbosch FC ya Afrika Kusini, Ismael Olivier Toure, amejiunga na kikosi cha Simba kupitia kipindi hiki cha...

Mbappe aibuka Alonso kufukuzwa

MADRID, Hispania MSHAMBUALIJI wa Real Madrid, Kylian Mbappe, anaamini si sahihi kusema Xabi Alonso alifeli katika kibarua chake cha kuinoa timu hiyo. Alonso alifungashiwa virago hivi...

Madrid kung’oa kiungo Chelsea?

LONDON, Uingereza KLABU ya Real Madrid inampigia hesabu kiungo wa Chelsea, Enzo Fernandez, ikipanga kukamilisha usajili huo ifikapo mwishoni mwa msimu huu wa 2025-26. Madrid inataka...

Depu atupia Yanga ikiichabanga Mashujaa mabao 6-0

Na Winfrida Mtoi, Gazetini WANANCHI Yanga wameichakaza timu ya Mashujaa mabao 6-0, huku nyota mpya wa kikosi hicho Laurindo Aurelio maarufu Depu akitupia bao moja...

Makonda akabidhi barua ya Rais Samia CAF

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Dk....

Senegal mabingwa wa AFCON baada ya fainali tata dhidi ya Morocco

RABAT, Morocco TIMU ya taifa ya Senegal imetwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) baada ya kuifunga Morocco bao 1-0 katika fainali ya...

Man United yamkomalia Baleba

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United imeendelea kukazia harakati zake za kumsajili kiungo wa Brighton na timu ya taifa ya Cameroon, Carlos Baleba. Man United ilijaribu...

Chelsea, City zagombea kinda Barcelona

LONDON, Uingereza CHELSEA imeungana na Manchester City na Borussia Dortmund zinazoiwania saini ya mshambuliaji chipukizi wa Barcelona, Dro Fernandez. Fernandez (18), anataka kuondoka Barcelona na hatua...

Maresca aibukia Real Madrid

MADRID, Hispania IMERIPOTIWA kuwa mabosi wa Real Madrid wameanza kumfikiria kocha aliyetimuliwa Chelsea hivi karibuni, Enzo Maresca. Wakati huo huo, Rais wa Madrid, Florentino Perez, ametajwa...

Arsenal macho kwa ‘Pedri wa Serbia’

LONDON, Uingereza WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wanampigia hesabu kiungo wa kimataifa wa Serbia, Vasilije Kostov, ambaye uchezaji wake unafananishwa na ule wa staa wa...

Nigeria yaipiga Misri mshindi wa tatu AFCON 2025

CASABLANCA, Morocco TIMU ya taifa ya Nigeria 'Super 'Eagles' imeshika nafasi ya tatu msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) baada ya...

Messi agoma kuondoka Inter Miami

MIAMI, Marekani SUPASTAA wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi, hana mpango wa kuondoka katika klabu ya Inter Miami ya Ligi Kuu nchini Marekani...

Recent articles

spot_img