Na mwandishi wetu, Gazetini
BEKI wa zamani wa Stellenbosch FC ya Afrika Kusini, Ismael Olivier Toure, amejiunga na kikosi cha Simba kupitia kipindi hiki cha...
MADRID, Hispania
MSHAMBUALIJI wa Real Madrid, Kylian Mbappe, anaamini si sahihi kusema Xabi Alonso alifeli katika kibarua chake cha kuinoa timu hiyo.
Alonso alifungashiwa virago hivi...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Real Madrid inampigia hesabu kiungo wa Chelsea, Enzo Fernandez, ikipanga kukamilisha usajili huo ifikapo mwishoni mwa msimu huu wa 2025-26.
Madrid inataka...
Na Winfrida Mtoi, Gazetini
WANANCHI Yanga wameichakaza timu ya Mashujaa mabao 6-0, huku nyota mpya wa kikosi hicho Laurindo Aurelio maarufu Depu akitupia bao moja...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Dk....
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United imeendelea kukazia harakati zake za kumsajili kiungo wa Brighton na timu ya taifa ya Cameroon, Carlos Baleba.
Man United ilijaribu...
LONDON, Uingereza
CHELSEA imeungana na Manchester City na Borussia Dortmund zinazoiwania saini ya mshambuliaji chipukizi wa Barcelona, Dro Fernandez.
Fernandez (18), anataka kuondoka Barcelona na hatua...
MADRID, Hispania
IMERIPOTIWA kuwa mabosi wa Real Madrid wameanza kumfikiria kocha aliyetimuliwa Chelsea hivi karibuni, Enzo Maresca.
Wakati huo huo, Rais wa Madrid, Florentino Perez, ametajwa...
LONDON, Uingereza
WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wanampigia hesabu kiungo wa kimataifa wa Serbia, Vasilije Kostov, ambaye uchezaji wake unafananishwa na ule wa staa wa...
CASABLANCA, Morocco
TIMU ya taifa ya Nigeria 'Super 'Eagles' imeshika nafasi ya tatu msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) baada ya...
MIAMI, Marekani
SUPASTAA wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi, hana mpango wa kuondoka katika klabu ya Inter Miami ya Ligi Kuu nchini Marekani...