ALGIERS, AlgeriaKATIKA viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), vigogo hao wa Kaskazini mwa Afrika wako nafasi ya 35. Waliwahi kufika...
TORONTO, CanadaNI baada ya ushindi dhidi ya Panama, ndipo timu ya soka ya taifa ya Canada ilipojihakikishia nafasi ya kushiriki fainali zijazo za Kombe...
TOKYO, JapanNI moja ya timu zilizofuzu na itakuwa miongoni mwa zile 48 zitakazokwenda kwenye fainali za Kombe la Dunia za mwakani.Japan inashika nafasi ya...
LONDON, UingerezaARGENTINA inashika nafasi ya pili katika viwango vya ubora wa soka dunaini. Imeporomoka kwa nafasi moja kwani ilikuwa ya kwanza Julai, mwaka huu.'La...
AMSTERDAM, UholanziTIMU ya soka ya taifa ya Uholanzi, maarufu kwa jina la 'Oranje', nayo itakwenda katika fainali zijazo za Kombe la Dunia za mwakani.Uholanzi...
LONDON, UingerezaMACHI 31, mwakani, ndipo zitakapopatikana timu zote 48 zitakazoshiriki fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika katika mataifa matatu; Marekani, Canada na Mexico.Kufikia sasa,...
Na mwandishi wetu, GazetiniTIMU ya taifa ya Haiti nayo imefanikiwa kufuzu fainali za Kombe la Dunia za mwakani katika mazingira yaliyowashangaza wengi.Haiti, ambao hii...