28.2 C
Dar es Salaam

Makala

Macho yote msimu ujao Ligi Kuu ya Uturuki

ISTANBUL, UturukiKUELEKEA msimu ujao, klabu za Ligi Kuu ya Uturuki zimeonekana kuvimbiana na zile za matajiri wa Saudi Arabia katika soko la usajili la...

Nini kujadiliwa Mkutano wa Trump, Putin?

LOS ANGELES, MarekaniRAIS wa Marekani, Donald Trump, atakutana na mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin, mwishoni mwa wiki hii. Mkutano huo utafanyika Ijumaa ya Agosti...

Sesko: Mtambo wa mabao uliotua Old Trafford

MANCHESTER, UingerezaBAADA ya tetesi za muda mrefu, Manchester United imevunja kibubu na kuchomoa kitita cha Pauni milioni 74 kumsajili mpachikaji mabao wa kimataifa wa...

Rasheedat Ajibade: Staa Nigeria anayeitoa udenda PSG

PARIS, UfaransaKWA misimu minne mfululizo, Rasheedat Ajibade amekuwa mchezaji muhimu katika safu ya ushambuliaji ya Atletico Madrid na sasa PSG wanajaribu kuinasa saini ya...

Arsenal, City, Chelsea nani kuivua ubingwa Liverpool?

LONDON, EnglandMARA ya mwisho kwa Liverpool kuchukua mara mbili mfululizo taji la Ligi Kuu ya England (EPL) ni mwaka 1984. Je, watarudia maajabu hayo...

Kivuli cha rais kinavyoitesa Togo

LOME, TogoMIEZI mitatu iliyopita, siasa za Taifa la Togo zilitikiswa na hatua ya Rais Faure Gnassingbe kutangaza kujiuzulu. Tangu hapo, wadhifa huo umekuwa chini...

Mila kandamizi zinavyotesa wanawake wenye changamoto za uzazi, IVF yaibua tumaini jipya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Wakati dunia ikibadilika kwa kasi kupitia maendeleo ya teknolojia na tiba za kisasa, barani Afrika bado kuna mamilioni ya wanawake wanaoendelea...

Nani kati ya mastaa hawa kuibeba Ballon d’Or 2025?

LONDON, Uingereza MSIMU uliopita, tuzo maarufu ya Mchezaji Bora wa Mwaka ya jarida la France Football, Ballon d'Or, ilitua mikononi mwa kiungo wa Manchester City...

Utu au masilahi binafsi? Sababu za Saudia kuipigania Palestina

RIYADH, Saudi ArabiaSERIKALI ya Saudi Arabia iko mstari wa mbele ikiiunga mkono Palestina katika harakati za za kutaka kutambulika kama nchi huru nje ya...

Kwanini viongozi Afrika hukimbilia kutibiwa nje?

LUSAKA, Zambia HIVI karibuni, Afrika iliwapoteza marais wastaafu wawili kutoka mataifa ya Nigeria na Malawi, Muhammadu Buhari na Edgar Lungu, ambao wote walikuwa nje ya...

Maendeleo ya elimu ni mkombozi wa Taifa lolote duniani- Majaliwa

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa maendeleo katika sekta ya elimu ni mkombozi na mafanikio ya Taifa lolote duniani. Amesema kwa kutambua hilo,...

Usyk; mbabe wa ulingo, kiboko ya mabondia wa Uingereza

LOS ANGELES, MarekaniSTAA wa ngumi za uzito wa juu, Oleksandr Usyk, ndiye bingwa wa dunia baada ya kumdunda kwa 'KO' ya raundi ya tano...

Recent articles

spot_img