30.4 C
Dar es Salaam

Elimu

    Simbachawene aitaka TSC kuwatendea haki walimu

    Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema anatamani  kuona Tume ya Utumishi wa Walimu...

    Waziri Mchengerwa atoa rai kwa walimu

    Na John Mapepele  Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametoa rai kwa walimu nchini kuwa wazalendo na kuzingatia weledi ili kuongeza...

    Elimu bila malipo kuendelea, kuboresha mazingira ya wanafunzi 2025–2030

    Na Jonathan Benedict, Gazetini Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Ilani yake ya Uchaguzi ya mwaka 2025–2030, kimeweka mkazo mkubwa katika kuboresha maisha ya watoto wa...

    Sima apendekeza maboresho haya wizara ya elimu

    Na Ramadhan Hassan, Gazetini- Dodoma Mbunge wa Singida Mjini, Musa Sima (CCM), ameishauri Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kuzingatia maeneo matano muhimu ya kipaumbele...

    Bunge lapitisha Bajeti ya Trilioni 2.44 wizara ya elimu

    Na Ramadhan Hassan, Gazetini- Dodoma Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha bajeti ya Sh Trilioni 2.44 kwa mwaka wa fedha 2025/2026 kwa ajili...

    Msanii Chemical apongezwa kufaulu mtihani wa PhD, rasmi ni Dk Lubao

    Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mashabiki wa msanii wa muziki wa hip-hop Tanzania, Claudia Lubao maarufu Chemical, wamempongeza msanii huyo kwa kufanikiwa kufaulu mtihani wake wa...

    TPC Moshi yaboresha elimu kupitia ufadhili na miundombinu ya kisasa

    Na Safina Sarwatt, Moshi Zaidi ya wanafunzi 1,000 kutoka familia zenye mazingira duni wamefaidika na mpango wa ufadhili wa masomo ulioanzishwa na Kiwanda cha Sukari...

    Kiwanda cha Sukari TPC kinavyochochea maendeleo ya elimu Kilimanjaro

    Na Safina Sarwatt, Gazetini-Kilimanjaro Wanafunzi 68 wa kike wa shule ya sekondari ya TPC, mkoani Kilimanjaro, wamepokea ahueni kubwa baada ya kiwanda cha sukari cha...

    Rais Samia avaa viatu vya Mwalimu G20

    Na Absalom Kibanda, Rio de Janeiro-Brazil RAIS Samia Suluhu Hassan ameyataka mataifa tajiri duniani ya kundi la G20 kutafakari upya namna bora ya kukabiliana...

    Shule ya Sekondari Mt. Joachim inavyoandaa vijana kwa maendeleo ya Taifa

    Safina Sarwatt, Gazetini-Same Mwaka 2013, Kanisa Katoliki Jimbo la Same lilianzisha shule ya sekondari ya wavulana, Mchepuo wa Sayansi ya Mtakatifu Joachim. Lengo kuu la...

    JET yawapiga msasa wahariri kuhusu migongano ya binadamu na wanyamapori

    Na Mwandishi Wetu, Gazetini Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kilifanya mafunzo maalum Septemba 5-6, 2024 kwa wahariri zaidi ya 20 huko...

    IWPG Promotes Peace Culture through the International Loving-Peace Art Competition All Over the World

    The preliminary rounds of the 6th International Loving-Peace Art Competition were completed in 130 cities across 53 countries. The total number of participants was...

    Recent articles

    spot_img