Ads: info@gazetini.co.tz |
25.1 C
Dar es Salaam

Elimu

    Hivi hapa vyuo vikuu 10 bora Afrika

    PRETORIA, Afrika KusiniAFRIKA, kama ilivyo kwa mabara mengine duniani, imeendelea kuwekeza katika elimu ya juu, ikishuhudia mamilioni ya wahitimu wa vyuo vikuu wakiingia kwenye...

    Afrika Kusini kinara matumizi ya mtandao duniani

    Na mwandishi wetu, GazetiniUTAFITI mpya umeitaja Afrika Kusini kuwa ndiyo nchi ambayo wananchi wake wanatumia muda mwingi mitandaoni.Ripoti ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya...

    Mataifa yanayoongoza kwa wasomi duniani

    Na mwandishi wetu, GazetiniRIPOTI ya mwaka huu ya mtandao wa OECD inaonesha kuwa Canada ndiyo kinara katika orodha ya nchi zenye wasomi wengi duniani,...

    Vyuo vikuu Urusi fursa kwa vijana Afrika

    Na mwandishi wetu, GazetiniDIPLOMASIA ya taaluma ni eneo jingine ambalo Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi imewekeza nguvu kubwa katika mahusiano yake na...

    Wawekezaji binafsi watakiwa kuleta mageuzi sekta ya elimu

    Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji katika sekta ya elimu...

    Jinsi ya kukabiliana na taarifa za uzushi mitandaoni

    Na Winifrida Mtoi, Gazetini TAARIFA za uzushi zimeendelea kusambaa kwa kasi kubwa katika mitandao ya kijamii, hasa kutokana na ongezeko la watumiaji wa majukwaa hayo...

    OSHA kuiwezesha shule ya Kambangwa vifaa vya kujifunzia

    Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAKALA wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umeahidi kuiwezesha Shule ya Sekondari Kambangwa iliyopo Kinondoni Jijini Dar es Salaam...

    Chart| Ujuzi wa AI wazidi kuwa kigezo kwenye ajira duniani

    Na Jonathan Benedict, Gazetini Idadi inayoongezeka ya viongozi duniani sasa wanazingatia ujuzi wa kutumia Akili Unde au bandia (AI) kama sharti lisiloweza kupuuzwa wakati wa...

    Maendeleo ya elimu ni mkombozi wa Taifa lolote duniani- Majaliwa

    Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa maendeleo katika sekta ya elimu ni mkombozi na mafanikio ya Taifa lolote duniani. Amesema kwa kutambua hilo,...

    Ugumu wa mitihani chanzo wanafunzi kujiua India

    NEW DELHI, India TAKWIMU za wanafunzi 13,000 kujiua kila mwaka zimewaibua wataalamu wa afya ya akili nchini India, wakizitaka mamlaka kuamka na kuchukua hatua za...

    Watumishi wa Umma watakiwa kujifunza kwa bidii kuongeza ufanisi

    Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Dodoma Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dk. Jim Yonazi, amewahimiza watumishi wa umma kujenga utamaduni wa...

    Kagera yafanya mageuzi makubwa ya maendeleo

    Na Ramadhan Hassan, Dodoma Mkoa wa Kagera umeandika historia mpya ya maendeleo kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi Aprili 2025, kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya...

    Recent articles

    spot_img