Ads: info@gazetini.co.tz |
24.2 C
Dar es Salaam

Jamii

Madarasa 1,360, mabweni 17 na nyumba 33 za walimu kujengwa

Na Ramadhan Hassan, Gazetini WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imepanga kujenga madarasa 1,360 ili kuimarisha utekelezaji wa sera ya elimu ya miaka 10 ya...

DCEA yateketeza ekari 68 za bangi Tabora

Na mwandishi wetu, Gazetini Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) pamoja...

Changamoto ya afya ya akili kwa wajawazito

Na mwandishi wetu, Gazetini CHANGAMOTO ya afya ya akili ni moja ya maeneo nyeti kwa sasa, ikipewa umuhimu mkubwa kutokana na athari zake si tu...

WHO: Vita vya Iran ‘pasua kichwa’ sekta ya afya

TEHRAN, Iran WIZARA ya Afya ya Iran imeeleza kuwa watu zaidi ya 1,300 wamefariki na wengine zaidi ya 9,000 kujeruhiwa tangu nchi hiyo ilipoingia kwenye...

Hatua za Tanzania katika kutokomeza Malaria

Na mwandishi wetu, Gazetini TANZANIA imepiga hatua kubwa katika kupunguza athari za malaria, huku takwimu za hivi karibuni zikionyesha kupungua kwa vifo, maambukizi na wagonjwa...

Watoto 75,500 nchini kuchunguzwa Sikoseli

Na mwandishi wetu, Gazetini JUMLA ya watoto na vijana wapatao 75,500 wanatarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa ugonjwa wa selimundu (sikoseli) ili kubaini mapema hali zao za...

Mantra Tanzania LTD Empowers Local Talent, Inspires Hope with New Workforce for Mkuju River Project

Mantra Tanzania Limited has proudly welcomed ten newly trained equipment operators to support the next phase of development at the Mkuju River Project in...

Tume yaanika idadi walipoteza maisha Oktoba 29

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imesema kuwa...

Papa Leo XIV amkwepa Trump

WASHINGTON DC, Marekani VITA ya maneno kati ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, na Rais wa Marekani, Donald Trump, imechukua sura mpya. Safari...

Wapenzi wa jinsia moja sasa jela miaka 10

DAKAR, Senegal RAIA wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, ametia saini kupitisha sheria mpya inayohukumu kifungo cha hadi miaka 10 gerezani kwa wanaojihusisha na mapenzi ya...

Jengo la kanisa laua watatu, waziri afunguka

ACCRA, Ghana WATU watatu, wakiwamo wanawake wawili, wameripotiwa kupoteza maisha baada ya jengo la ghorofa mbili la kanisa kuporomoka mjini Accra. Waziri wa Mambo ya Ndani,...

Wawili wanyongwa Iran

TEHRAN, Iran WANAUME wawili nchini Iran wamekumbana na adhabu ya kunyongwa baada ya kubainika kujihusisha na upinzani dhidi ya Serikali. Wawili hao waligundulika kuwa sehemu ya...

Recent articles