25.2 C
Dar es Salaam

Jamii

Tembo aliyekuwa balozi wa bia afariki

MOMBASA, Kenya TEMBO maarufu nchini Kenya amefariki akiwa na umri wa miaka 54, akikumbukwa kwa heshima aliyokuwa nayo ya ubalozi wa kampuni ya bia ya...

Tetemeko la ardhi laua watu wawili Mexico

MEXICO CITY, Mexico WATU wawili wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na tetemeko la ardhi lililotokea Kusini mwa Mexico jana Januari 2, 2026. Kwa mujibu wa kile kikichoelezwa...

OWM yakabidhi msaada kwa waathirika wa mafuriko Kilosa

KILOSA, Morogoro OFISI ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) kupitia Idara ya Menejimenti ya Maafa, leo Januari 2, 2026, imekabidhi vifaa mbalimbali...

Viongozi wa dini watakiwa kutumia lugha nzuri wanapohubiri

Na Imani Nathaniel, Gazetini VIONGOZI wa dini wametakiwa kutumia lugha njema wanapohubiri ili kuimarisha umoja wa kitaifa na kuzuia migawanyiko inayoweza kusababisha machafuko miongoni mwa...

WHO: Unywaji wa pombe unaua zaidi ya watu 800,000 kila mwaka Barani Ulaya

Na mwandishi wetu, Gazetini UNYWAJI wa pombe unasababisha vifo vya zaidi ya watu 800,000 kila mwaka barani Ulaya, sawa na kifo kimoja kati ya kila...

HaloPesa yawagusa watoto yatima msimu wa sikukuu

Na Iman Nathaniel, Gazetini KAMPUNI ya Halotel kupitia kitengo cha HaloPesa imefanya ziara katika kituo cha watoto yatima cha Maunga Orphanage Centre, kilichopo Kinondoni, Jijini...

Watoto waliotekwa waachiwa

LAGOS, Nigeria WATOTO wengine 130 waliokuwa wametekwa na waasi mwezi uliopita nchini Nigeria wameachiwa na kuungana na familia zao. Ikumbukwe, watoto hao ni miongoni mwa wanafunzi...

Kwa nini kwa wengine Krismas ni Januari 7?

Na mwandishi wetu, Gazetini KILA ifikapo Desemba ya kila mwaka, maandalizi na shamrashamra za Sikukuu ya Krismas huonekana wazi katika maeneo mengi duniani. Tofauti na miezi...

Waandamanaji walichoma moto, wakaula mwili wa Waziri Mkuu

Na mwandishi wetu, Gazetini DUNIA imewahi kushuhudia matukio mengi ya waandamanaji wakipinga viongozi na hata serikali zao pale walipoona mambo hayaendi kama wanavyotaka au walivyotarajia. Lakini,...

Simulizi ya kusikitisha wafanyakazi wa ndani Lebanon

SHATILA, Lebanon LEBANON imetajwa na watetezi wa haki za binadamu kuwa ni 'jehanamu' kwa baadhi ya raia wa kigeni wanaoingia nchini humo kwa lengo la...

Mvua yaongeza majaga Gaza

Na mwandishi wetu, Gazetini WAKATI huu raia wengi wakiwa bado hawana makazi, mvua kubwa iliyonyesha kwa takribani wiki moja imesababisha hali kuwa mbaya zaidi. Msemaji wa...

Polisi yachunguza tukio la kuchoma moto magari msibani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limesema linachunguza tukio la kuchoma moto na kuharibu magari mawili yaliyotumika kusafirishia mwili wa marehemu, tukio lililofanywa...

Recent articles

spot_img