Ads: info@gazetini.co.tz |
24.2 C
Dar es Salaam

Jamii

Tiger Woods aachiwa kwa dhamana

LOS ANGELES, Marekani STAA wa mchezo wa gofu, Tiger Woods, amerejea uraiani tangu alipokamatwa kwa kesi ya kuendesha gari akiwa amelewa pombe. Woods, bingwa wa dunia...

Basi laingia mtoni, watu 24 wafariki

DHAKA, Bangladesh WATU takribani 24 wamepoteza maisha baada ya basi walilokuwamo kupinduka na kuingia mtoni mjini Dhaka, Bangladesh. Ajali hiyo imetokea leo Machi 26, 2026 wakati...

Usawa wa kijinsia: Tumejipanga kwa vita nyingine ya miaka 30 ijayo?

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMPENI nyingi zinazoendelea kwa sasa zimejikita kumpa nguvu mtoto wa kike/mwanamke. Jamii inampambania kweli kweli. Wanaharakati wanafanya kila linalowekezana kumuweka binti/mwanamke katika...

Watu 15 wakamatwa Nigeria tuhuma za unyanyasaji wa wanawake

Watu 15 wamekamatwa nchini Nigeria kufuatia tuhuma za unyanyasaji wa wanawake katika tamasha la kitamaduni lililofanyika jimbo la Delta. ABUJA, Nigeria POLISI nchini Nigeria wamewakamata watu...

Dk. Yonazi ateta na bosi mpya TACAIDS, Tanzania yaendelea kudhibiti UKWIMWI

Na mwandishi wetu, Gazetini Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dk. Jim Yonazi, amekutana na kufanya...

Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-6

Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale SHERIA ya Tanzania haitambui kila kifo cha mtoto tumboni kama murder. Ili kosa la murder lisimame, lazima marehemu awe ametambulika...

AU yaweka maji na usafi wa mazingira kipaumbele ajenda 2026 Afrika

Na mwandihi wetu, Gazetini  WAKATI Dunia leo Machi 22, 2026 ikiadhimisha Siku ya Maji, Muungano wa Afrika (AU) umeweka wazi dhamira yake ya kuhamisha mjadala...

Shincheonji yaadhimisha miaka 42: Lee Man-hee asisitiza imani ya kweli ijengwe…

Na mwandishi maalum, Gazetini IBADA ya kuadhimisha miaka 42 tangu kuanzishwa kwa Shincheonji Kanisa la Yesu imefanyika Machi 15 katika Kanisa la Cheongju, Korea Kusini,...

Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-5

Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale KWA mujibu wa kifungu cha 15, mtoto aliye chini ya umri wa miaka 18 hawezi kushikiliwa kikamilifu kwa adhabu zinazohusiana...

Baadhi ya Waislamu Afrika Mashariki waadhimisha sikukuu ya Eid

Na mwandishi wetu, Gazetini Baadhi ya Waislamu wa Afrika Mashariki wanaadhimisha Eid-ul-Fitr leo Ijumaa baada ya kuthibitishwa kuonekana kwa mwezi jioni ya Alhamisi, tukio linaloashiria...

Sababu 6 kubaki masikini ukiwa unapata pesa nyingi

HII ndiyo 'psychology' ya pesa ambayo watu wengi hawaielewi. Wengi wanafikiri umasikini unatokana na kukosa pesa. Lakini ukweli ni kwamba mara nyingi hunasababishwa na mtazamo...

Unavyoweza kumkuza mtoto mwenye upendo na kujali wengine

Na mwandishi wetu, Gazetini MALEZI ya mtoto hayahusu chakula, mavazi au elimu pekee, bali pia maadili anayojifunza akiwa mdogo. Wazazi wengi hutamani kuona watoto wao...

Recent articles