26.2 C
Dar es Salaam

Jamii

Viongozi wa dini watakiwa kutumia lugha nzuri wanapohubiri

Na Imani Nathaniel, Gazetini VIONGOZI wa dini wametakiwa kutumia lugha njema wanapohubiri ili kuimarisha umoja wa kitaifa na kuzuia migawanyiko inayoweza kusababisha machafuko miongoni mwa...

WHO: Unywaji wa pombe unaua zaidi ya watu 800,000 kila mwaka Barani Ulaya

Na mwandishi wetu, Gazetini UNYWAJI wa pombe unasababisha vifo vya zaidi ya watu 800,000 kila mwaka barani Ulaya, sawa na kifo kimoja kati ya kila...

HaloPesa yawagusa watoto yatima msimu wa sikukuu

Na Iman Nathaniel, Gazetini KAMPUNI ya Halotel kupitia kitengo cha HaloPesa imefanya ziara katika kituo cha watoto yatima cha Maunga Orphanage Centre, kilichopo Kinondoni, Jijini...

Watoto waliotekwa waachiwa

LAGOS, Nigeria WATOTO wengine 130 waliokuwa wametekwa na waasi mwezi uliopita nchini Nigeria wameachiwa na kuungana na familia zao. Ikumbukwe, watoto hao ni miongoni mwa wanafunzi...

Kwa nini kwa wengine Krismas ni Januari 7?

Na mwandishi wetu, Gazetini KILA ifikapo Desemba ya kila mwaka, maandalizi na shamrashamra za Sikukuu ya Krismas huonekana wazi katika maeneo mengi duniani. Tofauti na miezi...

Waandamanaji walichoma moto, wakaula mwili wa Waziri Mkuu

Na mwandishi wetu, Gazetini DUNIA imewahi kushuhudia matukio mengi ya waandamanaji wakipinga viongozi na hata serikali zao pale walipoona mambo hayaendi kama wanavyotaka au walivyotarajia. Lakini,...

Simulizi ya kusikitisha wafanyakazi wa ndani Lebanon

SHATILA, Lebanon LEBANON imetajwa na watetezi wa haki za binadamu kuwa ni 'jehanamu' kwa baadhi ya raia wa kigeni wanaoingia nchini humo kwa lengo la...

Mvua yaongeza majaga Gaza

Na mwandishi wetu, Gazetini WAKATI huu raia wengi wakiwa bado hawana makazi, mvua kubwa iliyonyesha kwa takribani wiki moja imesababisha hali kuwa mbaya zaidi. Msemaji wa...

Polisi yachunguza tukio la kuchoma moto magari msibani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limesema linachunguza tukio la kuchoma moto na kuharibu magari mawili yaliyotumika kusafirishia mwili wa marehemu, tukio lililofanywa...

Australia kudhibiti zaidi umiliki wa silaha

CANBERRA, Australia SERIKALI ya Australia imepanga kukazia zaidi sheria zinazopiga marufuku umiliki wa silaha za moto kwa wananchi wake. Hatua hiyo inakuja baada ya shambulizi la...

Utafiti: Kulala bila kuzima taa chanzo shambulio la moyo, kiharusi

Na mwandishi wetu, Gazetini WAPO waliozoea kulala wakiwa wamewasha taa zao za ndani nyakati za usiku, bila kufahamu kuwa inaweza kuwasabashia shambulio la moyo au...

Jimmy Lai; Mwanaharakati, bilionea anayesubiri kifungo cha maisha

BEIJING, China MWANAHARAKATI wa demokrasia wa Hong Kong, Jimmy Lai, atahukumiwa kifungo cha maisha gerezani endapo atakutwa na hatia katika mashitaka yanayomkabili. Lai (78), anashutumiwa kwa...

Recent articles

spot_img