LAGOS, Nigeria
MSHINDI wa Msimu wa 7 wa Shindano la Big Brother Naija, Josephina Ijeoma Otabor 'Phyna', ameeleza kujutia uamuzi wake wa kutumia fedha alizopata...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MEI 23, kama ambavyo hufanyika kila mwaka, Dunia inaadhimisha Siku ya Fistula itokanayo na uzazi, ambayo husababisha kwa asilimia 90 visa...
LONDON, Uingereza
UKARIBU wa wachezaji wa soka na makocha wao hauishii uwanjani tu, bali wakati mwingine huenda mbali zaidi na kufika hadi ngazi ya familia.
Lakini,...
Na mwandishi wetu, Gazetini
VILIO na simanzi vilitawala katika eneo la kiwanda cha kuchakata chupa za plastiki cha XIL LI kilichopo Mabibo Sokoni, Wilaya ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA kila watu wanne nchini Afghanistan, watatu hawamudu mahitaji ya msingi, ambayo ni chakula, mavazi na makazi, kwa mujibu wa ripoti...
By: Benjamin Emmanuel Meshack, RN Registered Dialysis Nurse & Dialysis Applications Specialist (Hemoperfusion Technology), Tanzania
In many low- and middle-income countries, access to advanced blood...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
KATIKA moja ya nukuu zake maarufu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliwahi kutaja maradhi kuwa ni moja ya maadui watatu wa Taifa...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
MOJA ya hatua kubwa zilizopigwa na Shirika la Reli nchini (TRC) ni kuondokana na utegemezi kwa Serikali, ambapo katika Mwaka wa...
GENEVA, Uswiz
Hofu imeendelea kuongezeka duniani kufuatia mlipuko wa virusi vya Hanta (Hantavirus) ulioripotiwa ndani ya meli ya kifahari ya kitalii ya MV Hondius, baada...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MWAKA mmoja baada ya kuchaguliwa kuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, Mei 8, 202, ameendelea kuvuta hisia za...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limezindua rasmi zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi wanaopisha utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa njia...