Ads: info@gazetini.co.tz |
24.2 C
Dar es Salaam

Jamii

Mshindi Big Brother ajuta kuwasaidia ndugu

LAGOS, Nigeria MSHINDI wa Msimu wa 7 wa Shindano la Big Brother Naija, Josephina Ijeoma Otabor 'Phyna', ameeleza kujutia uamuzi wake wa kutumia fedha alizopata...

Mama mzazi wa Hayati Magufuli afariki dunia Chato

Na mwandishi wetu, Gazetini MAMA mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dk. John Pombe Magufuli, Mama...

Usiyoyajua kuhusu Siku ya Fistula itokanayo na uzazi

Na mwandishi wetu, Gazetini MEI 23, kama ambavyo hufanyika kila mwaka, Dunia inaadhimisha Siku ya Fistula itokanayo na uzazi, ambayo husababisha kwa asilimia 90 visa...

Mastaa wa soka ‘waliotoka’ na mabinti wa makocha wao

LONDON, Uingereza UKARIBU wa wachezaji wa soka na makocha wao hauishii uwanjani tu, bali wakati mwingine huenda mbali zaidi na kufika hadi ngazi ya familia. Lakini,...

Vilio, simanzi vyatawala msibani kwa mmiliki wa kiwanda cha XIL LI

Na mwandishi wetu, Gazetini VILIO na simanzi vilitawala katika eneo la kiwanda cha kuchakata chupa za plastiki cha XIL LI kilichopo Mabibo Sokoni, Wilaya ya...

Wazazi wanauza watoto ili kumudu gharama za maisha

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA kila watu wanne nchini Afghanistan, watatu hawamudu mahitaji ya msingi, ambayo ni chakula, mavazi na makazi, kwa mujibu wa ripoti...

Introducing Hemoperfusion Technology in Tanzania: A Registered Dialysis Nurse’s Journey

By: Benjamin Emmanuel Meshack, RN Registered Dialysis Nurse & Dialysis Applications Specialist (Hemoperfusion Technology), Tanzania In many low- and middle-income countries, access to advanced blood...

Mafanikio sekta ya afya nchini 2021-26

Na Hassan Mwasha, Gazetini KATIKA moja ya nukuu zake maarufu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliwahi kutaja maradhi kuwa ni moja ya maadui watatu wa Taifa...

Mapinduzi ya sekta ya reli nchini Tanzania

Na Hassan Mwasha, Gazetini MOJA ya hatua kubwa zilizopigwa na Shirika la Reli nchini (TRC) ni kuondokana na utegemezi kwa Serikali, ambapo katika Mwaka wa...

WHO: Virusi vya Hanta si sawa na vya Covid-19

GENEVA, Uswiz Hofu imeendelea kuongezeka duniani kufuatia mlipuko wa virusi vya Hanta (Hantavirus) ulioripotiwa ndani ya meli ya kifahari ya kitalii ya MV Hondius, baada...

Mwaka mmoja wa Papa Leo XIV ulivyobadili taswira ya Vatican

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MWAKA mmoja baada ya kuchaguliwa kuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, Mei 8, 202, ameendelea kuvuta hisia za...

Wananchi 1,700 kulipwa bilioni 5.1 kupisha mradi wa umeme Mtwara-Lindi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limezindua rasmi zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi wanaopisha utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa njia...

Recent articles