LONDON, Uingereza
KIWANGO cha unywaji wa pombe nchini Uingereza kimepanda kwa asilimia 10 kwa kipindi cha hivi karibuni. Ulevi ni tatizo kubwa nchini humo, ambapo...
LONDON, Uingereza
HEWA chafu ni moja ya sababu zinazoweza kuathiri uwezo wa ubongo wako kutunza kumbukumbu, kwa mujibu wa utafiti mpya wa Chuo Kikuu cha...
NEW DELHI, India
INAWEZA kukushangaza kidogo. Huenda pia ikakufikirisha, achilia mbali kuhisi ni simulizi ya kuikirika tu. La hasha! Ni kisa cha kweli kabisa.
Kijana raia...
Na Mwandishi Wetu
Watoto watano waliokuwa wanalelewa katika kituo cha watoto yatima cha Igambilo Manispaa ya Tabora, wamefariki dunia baada ya bweni walililokuwa wamelala kuteketea...
MOSCOW, UrusiMWANAUME raia wa Urusi, Bryan Kohberger, amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani, licha ya kugoma kuzungumza mahakamani wakati wa usikilizaji wa kesi ya mauaji...
SEOUL, Korea KusiniMVUA kubwa inayoendelea kunyesha imesababisha raia zaidi ya 3000 kuyakimbia makazi yao katika maeneo mbalimbali ya Korea Kusini.Jimbo la South Chungcheong ni...
LONDON, EnglandUMEWAHI kujiuliza huwa unatumia muda gani kumaliza haja ndogo unapoingia maliwato? Sasa, swali hilo lina maana kubwa mno kwa afya yako.Kwa mujibu wa...
LONDON, England
MWANAJESHI pekee wa Uingereza aliyekuwa hai tangu alipopigana Vita ya Pili ya Dunia, Donald Rose, amefariki jana akiwa na umri wa miaka 110.
Rose...
TEXAS, MarekaniMVUA kubwa iliyosababisha mafuriko imeondosha uhai wa watu 24, huku wengine 25 wakiendelea kutafutwa.Kwa mujibu wa taarifa za mamlaka, wahanga wa majanga hayo...
LUSAKA, ZambiaWATALII wawili, akiwamo raia wa Uingereza, wamepoteza maisha baada ya kushambuliwa na tembo.Easton Taylor mwenye umri wa miaka 68 na mwenzake raia wa...