Ads: info@gazetini.co.tz |
20.4 C
Dar es Salaam

Jamii

Uingereza yaporomoka viwango vya unywaji pombe duniani

LONDON, Uingereza KIWANGO cha unywaji wa pombe nchini Uingereza kimepanda kwa asilimia 10 kwa kipindi cha hivi karibuni. Ulevi ni tatizo kubwa nchini humo, ambapo...

Utafiti: Hewa chafu husababisha kupoteza kumbukumbu

LONDON, Uingereza HEWA chafu ni moja ya sababu zinazoweza kuathiri uwezo wa ubongo wako kutunza kumbukumbu, kwa mujibu wa utafiti mpya wa Chuo Kikuu cha...

Awashitaki wazazi kisa kumzaa bila ridhaa yake

NEW DELHI, India INAWEZA kukushangaza kidogo. Huenda pia ikakufikirisha, achilia mbali kuhisi ni simulizi ya kuikirika tu. La hasha! Ni kisa cha kweli kabisa. Kijana raia...

Watoto yatima watano wafariki dunia kwa moto

Na Mwandishi Wetu Watoto watano waliokuwa wanalelewa katika kituo cha watoto yatima cha Igambilo Manispaa ya Tabora, wamefariki dunia baada ya bweni walililokuwa wamelala kuteketea...

Agoma kuzungumza mahakamani, afungwa maisha

MOSCOW, UrusiMWANAUME raia wa Urusi, Bryan Kohberger, amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani, licha ya kugoma kuzungumza mahakamani wakati wa usikilizaji wa kesi ya mauaji...

Mvua yakimbiza 3,000 Korea Kusini

SEOUL, Korea KusiniMVUA kubwa inayoendelea kunyesha imesababisha raia zaidi ya 3000 kuyakimbia makazi yao katika maeneo mbalimbali ya Korea Kusini.Jimbo la South Chungcheong ni...

Haja ndogo isizidi sekunde 21 tu

LONDON, EnglandUMEWAHI kujiuliza huwa unatumia muda gani kumaliza haja ndogo unapoingia maliwato? Sasa, swali hilo lina maana kubwa mno kwa afya yako.Kwa mujibu wa...

Dembele; ndoa ilivyookoa kipaji kilichozikwa na majeraha, kamari

PARIS, Ufaransa KWA rahisi, maisha yake ndani ya klabu ya Barcelona yalitawaliwa na vurugu nyingi lugha za ndani na nje ya uwanja. Baada ya kucheza...

Chalamila atoa wito wa amani kwa viongozi wa dini

Na Imani Nathaniel, Gazetini Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametoa wito kwa viongozi wa dini kutumia lugha ya staha na kuhubiri...

Mkongwe wa vita afariki akiwa na miaka 110

LONDON, England MWANAJESHI pekee wa Uingereza aliyekuwa hai tangu alipopigana Vita ya Pili ya Dunia, Donald Rose, amefariki jana akiwa na umri wa miaka 110. Rose...

Mafuriko yaua 24, wengine 25 watafutwa

TEXAS, MarekaniMVUA kubwa iliyosababisha mafuriko imeondosha uhai wa watu 24, huku wengine 25 wakiendelea kutafutwa.Kwa mujibu wa taarifa za mamlaka, wahanga wa majanga hayo...

Tembo aua watalii wawili

LUSAKA, ZambiaWATALII wawili, akiwamo raia wa Uingereza, wamepoteza maisha baada ya kushambuliwa na tembo.Easton Taylor mwenye umri wa miaka 68 na mwenzake raia wa...

Recent articles