Na Mwandishi Wetu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. John Jingu, ametoa wito mahsusi kwa vijana na...
Na Ramadhan Hassan, Dodoma
Mkoa wa Kagera umeandika historia mpya ya maendeleo kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi Aprili 2025, kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Dar es Salaam
Katibu tawala wilaya ya Kinondoni - DAS, Warda Abdallah ameipongeza Shule ya Kimataifa ya Monti kwa kuibua na kulea...
PARIS, UfaransaSHERIA mpya nchini Ufaransa inapiga marufuku uvutaji wa sigara katika maeneo ya fukwe, shule na maegesho ya magari.
Kwa mujibu wa sheria, atakayekiuka, basi...
*Ni kwa mujibu wa maoni ya watumiaji wa mtandao wa Reddit
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Utafiti uliofanyika kupitia jukwaa la mtandaoni la Reddit na kuhusisha maoni...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Dar es Salaam, Juni 25, 2025 – Licha ya juhudi mbalimbali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini Tanzania,...
Na Malima Lubasha, Gazetini-Serengeti
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, ameielekeza Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti kutenga na kupeleka angalau Shilingi 100,000 kila...
Na Malima Lubasha, Gazetini – Serengeti
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti kwa kupata hati inayoridhisha katika...
Na Mwandishi Wetu
Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dk. John Jingu amesema Serikali inaendelea na juhudi mbalimbali kuhakikisha kwamba...
Na Mwandishi Wetu
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeyafungia matawi sita ya Kanisa la Ufufuo na Uzima yaliyokuwa yakiendelea na huduma katika maeneo tofauti mkoani...
Na Mwandishi Wetu
Rais Samia Suluhu Hassan ameongoza Harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha Watoto wenye mahitaji Maalum cha Bagamoyo Diaconic Lutheran Centre ambapo...