Ads: info@gazetini.co.tz |
20.9 C
Dar es Salaam

Jamii

Polisi Dar yaonya vurugu wakati wa uchaguzi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini IKIWA zimesalia siku chache kabla ya Tanzania kufanya uchaguzi mkuu, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro,...

OSHA yahimiza viongozi wa wafanyakazi kulinda afya na usalama kazini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini VIONGOZI wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) wa Mkoa wa Dar es Salaam wapatao 180 wamepatiwa mafunzo ya...

Halopesa yatoa msaada wa viti mjongeo Hospitali ya Mwananyamala

Na Imani Nathanieli Katika kuadhimisha miaka tisa, Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel kupitia huduma ya kifedha ya Halopesa, imetoa msaada wa viti mjongeo 15 kwa...

Utafiti: Sokwe nao ni walevi wa pombe kama binadamu

Na Hassan Mwasha, GazetiniKAMA ulidhani binadamu ndiye kiumbe pekee kinachotumia kilevi aina ya pombe hapa duniani kwa ajili ya starehe au kupoteza mawazo, basi...

Afrika Kusini na harakati za kupiga marufuku biashara ya ukahaba

PRETORIA, Afrika KusiniAFRIKA Kusini inaweza kuwa Taifa la kwanza barani Afrika kupitisha sheria inayopiga marufuku biashara ya ukahaba, ingawa ugumu wa maisha, hasa kwa...

Tamthilia Azam TV; Uhondo umeanzia walipoishia ITV

Na mwandishi wetu, GazetiniLEO hii, kama ni 'mateka' wa tamthilia za Tanzania zinazorushwa na Azam TV, basi tunaweza kusema unaiishi dunia yenye kumbukumbu nzuri...

Wapenzi waliotenganishwa na vita kwa miaka zaidi miwili waungana tena

YERUSALEMU, Israel Wapenzi wa Israel walioitwa ‘Romeo na Juliet’ wameungana tena baada ya zaidi ya miaka miwili tangu kutenganishwa na mashambulizi ya Hamas. Noa Argamani, aliyekuwa...

IWPG Global Region 2 Discusses International Cooperation with the AU, CIEFFA

During the “2025 World Women’s Peace Conference” held at Enford Hotel in Cheongju, Chungbuk, the International Women’s Peace Group (IWPG) Global Region 2 (Director...

Huduma duni na ukatili wa kijinsia watajwa kuvuruga haki ya uzazi vijijini

Na Samwel Mwanga, Maswa KATIKA jamii nyingi za vijijini nchini Tanzania, hususan katika wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, masuala ya haki ya uzazi na ukatili...

Mafuriko yazuia safari za ndege Hispania

MADRID, HispaniaMVUA kubwa zinazoendelea kunyesha na kusababisha mafuriko zimeathiri safari za ndege nchini Hispania.Kwa mujibu wa taarifa, mafuriko hayo yameikumba mikoa ya Kusini-Mashariki mwa...

Inashangaza kuona hakuna anayejali, maisha yanaendelea!

Na Hassan Mwasha, GazetiniTUMEKUWA tukiishi kwa mazoea hata katika mambo yanayoweza kuhatarisha maisha yetu. Cha kushangaza, hakuna anayejali. Tuko 'bize' kwa lipi wakati maisha...

Polisi wanasa mtandao wa wezi wa simu

LONDON,UingerezaOPERESHENI kubwa ya polisi nchini Uingereza imefanikiwa kunasa genge linalojihusisha na uhalifu wa wizi simu.Kwa mujibu wa taarifa ya polisi, mtandao huo unahusika katika...

Recent articles