Ads: info@gazetini.co.tz |
20.9 C
Dar es Salaam

Jamii

DCEA: Tumeanza kuwasaka mapapa waliojificha nje ya Nchi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza zaidi ya tani nne za dawa za kulevya zilizokuwa zikihifadhiwa...

‘Bluetoothing’ yageuka janga Fiji, maambukizi ya VVU yaongezeka mara kumi

Suva, FIJI Fiji sasa inakabiliwa na mlipuko mkubwa wa Virusi vya Ukimwi (VVU), huku wataalamu wakionya kuwa nchi hiyo iko katika “dhoruba kamili” ya kiafya...

Global Women Leaders Unite for Peace at IWPG 2025 Conference

Cheongju, SOUTH KOREA Women leaders from across the world, many from nations affected by war and instability, gathered to strengthen their role in global...

RC Mara apongeza taasisi ya Nyansaho Foundation kwa kuchochea maendeleo

Na Malima Lubasha, Gazetini-Serengeti Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, ameipongeza Taasisi ya Nyansaho Foundation kwa mchango wake mkubwa katika maendeleo ya jamii,...

Usiyoyajua kuhusu Askofu Mkuu wa kwanza mwanamke Kanisa la Anglikana

LONDON, UingerezaKANISA la Anglikana limeandika historia baada ya kumteua Dame Sarah Mullally kuwa Askofu Mkuu wa Canterbury, akiwa ni mwanamke wa kwanza kushika nafasi...

Kanisa la Anglikana lavunja mwiko wa miaka 500

London, UINGEREZA KWA mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake takribani miaka 500 iliyopita, Kanisa la Anglikana limeandika historia mpya baada ya kumteua, Dame Sarah Mullally...

Fact Check| Hakuna msafara wa Dk. Samia uliopata ajali

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Taarifa zinazosambazwa Jumatano, Oktoba 1, 2025 kwenye mitandao ya kijamii zikidai kutokea kwa ajali katika msafara wa mgombea urais wa Jamhuri...

Udumavu kwa watoto wapungua nchini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kiwango cha udumavu miongoni mwa watoto walio chini ya miaka mitano nchini kimepungua kutoka asilimia 48...

Wanne wafariki kanisa likichomwa moto

MICHIGAN, MarekaniMTU asiyefahamika amechoma moto kanisa na kusababisha vifo vya watu wanne waliokuwa ndani wakati wa ibada ya Jumapili ya wiki iliyopita.Hata hivyo, Thomas...

Jinsi ya kukabiliana na taarifa za uzushi mitandaoni

Na Winifrida Mtoi, Gazetini TAARIFA za uzushi zimeendelea kusambaa kwa kasi kubwa katika mitandao ya kijamii, hasa kutokana na ongezeko la watumiaji wa majukwaa hayo...

Chart| Kilimanjaro kinara kwa idadi ya wazee Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KULINGANA na takwimu za Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), imebaini...

Vijana Afrika na ndoto za maisha bora Ulaya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TAKRIBANI asilimia 60 ya vijana wa Afrika wanaamini watapata maisha bora endapo wataondoka na kwenda 'kupambana' nje ya Bara hili. Wengi wao...

Recent articles