22.2 C
Dar es Salaam

Infographics

Uchambuzi|Huyu ndiye aliyemng’oa madarakani Edgar Lungu

HATIMAYE Tume ya Uchaguzi ya Zambia imemaliza kazi yake ya msingi, kumtangaza mshindi wa kinyang’anyiro cha urais, hatua iliyochukua siku tatu za kuhesabu kura. Mgombea...

Infographic|Hali ilivyo watoto wanaougua saratani ya jicho nchini

TATIZO la Ugonjwa wa Saratani ya Macho (Retinoblastoma) kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano limeanza kushamiri mkoani Mbeya kutokana na idadi...

Infographic|Tunayofahamu kuhusu Bajeti ya Serikali 2021/22

Bajeti mpya ya Serikali tayari imeanza kutumika tangu Julai 1, mwaka huu, huku sehemu ya bajeti hiyo ikiwa ni makusanyo kupitia kodi za wanananchi...

Infographic| Uhaba wa ajira ulivyoguswa 2020/21

CHANGAMOTO ya uhaba wa ajira imekuwa kaa la moto duniani kote, hasa kwa nchi zinazoendelea, ikiwamo Tanzania, huku wahanga wakubwa wakiwa ni vijana. Aidha, ongezeko...

RIPOTI| Kwa mwajiriwa, ishu ni masilahi au afya?

DAR ES SALAAM, TANZANIA KWA bahati mbaya, kipaumbele cha walio wengi huwa ni kupata nafasi ya ajira, shughuli yoyote inayoweza kumuingizia kipato. Hivyo basi, asilimia kubwa...

Infographic|Dawa za kuongeza nguvu zilivyotikisa Olimpiki 2021

MICHUANO ya Olimpiki inaendelea huko Tokyo, Japan, huku ikitarajiwa kufikia ukomo wake Agosti 8, mwaka huu. Ikumbukwe ni mashindano yaliyopaswa kufanyika mwaka jana lakini...

RIPOTI: NMB na mafanikio yake Nusu Mwaka 2021

Benki inayoongoza nchini Tanzania, NMB, imeendeleza ufanisi wake kiutendaji katika kipindi cha Nusu ya Kwanza ya mwaka 2021.  Faida baada ya kodi ya mapato imeongezeka...

Infographic| Mwenendo wa watumiaji wa huduma za benki Tanzania

Wakati sheria ya ongezeko la tozo za miamala ya simu iliyoanza kutumika nchini Julai 15, mwaka huu, ikilalamikiwa kila kona, Watanzania walio wengi wameanza...

Infographic| Tanzania inavyopambana kufikia lengo la kutokomeza UKIMWI 2030

NA FARAJA MASINDE MALENGO ya Dunia ni kuhakikisha kuwa janga la Virusi vya UKIMWI linabaki kuwa historia ifikapo 2030. Tanzania nayo kama mwananchama wa Umoja wa...

Infographic| Tunayofahamu kuhusu Bandari ya Dar es Salaam

NA MWANDISHI WETU Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), imesema maboresho makubwa wanayoendelea kufanyika yataiwezesha kuongoza kwa kuwa bandari kubwa inayopokea magari mengi Afrika Mashariki hadi...

Infographic: Kulinda ndoa kunavyofifisha ndoto za Wasichana Kilosa

NA FARAJA MASINDE “Ukifika kwenye eneo la ukatili wa kingono na ubakaji wanafunzi wanakuuliza…Madamu kwa mfano sasa ndio umebakwa umepata ujauzito, naweza nikarudi shule kusoma? Hili...

Infographic: Adhabu inayowakabili wasioajiri watu wenye ulemavu

Tanzania ilisaini na kuridhia Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Watu Wenye Ulemavu ambao pamoja na mambo mengine unazitaka nchi wanachama kuchukua hatua katika...

Recent articles

spot_img