27.2 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Eritrea wana historia yao AFCON 2027

CAIRO, Misri BAADA ya miaka 19 kupita, timu ya soka ya taifa ya Eritrea imerejea katika hatua ya makundi ya kufuzu fainali zijazo za AFCON...

Italia ina nini? Yashindwa tena kufuzu Kombe la Dunia

MILAN, Italia MABINGWA mara nne wa Kombe la Dunia, timu ya taifa ya Italia, imeshindwa kufuzu fainali za mwaka huu zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico. Hii...

Ndege ya jeshi yapata ajali, 29 wafariki

MOSCOW, Urusi WIZARA ya Ulinzi ya Urusi imethibitisha kifo cha watu 29 walilokuwamo kwenye ndege ya kijeshi iliyopata ajali mjini Crimea. Ndege hiyo ya masafa ya...

Beki huyu kuziba pengo la Maguire

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United imeanza kujipanga na maisha mapya bila mlinzi wake wa kati, Harry Maguire. Ripoti zinaeleza kuwa Man United imejitosa kuiwania saini...

England ya Tuchel yachafua rekodi

LONDON, Uingereza KWA mara ya kwanza katika historia, timu ya soka ya taifa ya England imepoteza mchezo mbele ya wapinzani kutoka Bara la Asia. Ni baada...

Ripoti: Trump anaweza kusitisha mashambulizi dhidi ya Iran

WASHINGTON, Marekani JARIDA la Wall Street Journal linaripoti kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, amewaambia wasaidizi wake kuwa yuko tayari kusitisha operesheni ya kijeshi dhidi...

Céline Dion kurejea jukwaani baada ya miaka minne

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MWIMBAJI maarufu duniani, Céline Dion, ametangaza rasmi kurejea jukwaani, miaka minne baada ya kugundulika kuwa na ugonjwa sugu uliomuathiri sauti yake...

Uingereza: “Hii sio vita yetu, hatutajiingiza”

LONDON, Uingereza Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, amesema wazi kuwa nchi yake haitapeleka wanajeshi nchini Iran, akisisitiza kuwa Uingereza haitajiingiza moja kwa moja katika...

Hasara ATCL yaongezeka maradufu, yafikia Sh Bilioni 191.19

Na mwadishi wetu, Gazetini RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imebaini kuwa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limeendelea kupata hasara...

Makaa ya mawe injini mpya ya mageuzi ya viwanda

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, amesema makaa ya mawe yana nafasi ya kimkakati katika kuharakisha mageuzi ya uchumi wa Tanzania kuelekea...

TAKUKURU yafichua wizi wa Sh bilioni 147.5 kupitia kadi za benki

Na mwandishi wetu, Gazetini MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Crispin Chalamila, amesema uchunguzi wa awali umebaini kuwapo kwa mtandao...

Jengo la kanisa laua watatu, waziri afunguka

ACCRA, Ghana WATU watatu, wakiwamo wanawake wawili, wameripotiwa kupoteza maisha baada ya jengo la ghorofa mbili la kanisa kuporomoka mjini Accra. Waziri wa Mambo ya Ndani,...

Recent articles

spot_img