Ads: info@gazetini.co.tz |
29.4 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

UN: Watu milioni 118 wamekimbia makazi yao

NEW YORK, Marekani KATIKA ripoti yake ya hivi karibuni, Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limeeleza kuwa watu milioni 118 walikimbia makazi...

Canada, Bosnia zamalizana kwa sare

TORONTO, Canada HAKUNA mbabe. Ni dakika 90 za mchezo wa Kundi B uliochezwa Juni 12, 2026, ambapo wenyeji wa michuano ya mwaka huu ya Kombe...

Ndugu wanaocheza timu tofauti Kombe la Dunia 2026

MEXICO CITY, Mexico FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zinaendelea katika mataifa matatu ya Marekani, Mexico na Canada. Wakati huo huo, wapo wachezaji...

Uchumi wazidi kupaa, umasikini wapungua nchini

Na mwandishi wetu, Gazetini LICHA ya changamoto za kidunia, ukiwamo mgogoro wa Mashariki ya Kati unaozihuisha Marekani na Israel dhidi ya Iran, uchumi wa Tanzania...

Bafana Bafana waitangazia vita Czech

MEXICO CITY, Mexico BAADA ya kufungwa mabao 2-0 na wenyeji Mexico, beki wa timu ya soka ya Taifa ya Afrika Kusini 'Bafana Bafana', Ime Okon,...

Iran: Trump anajidanganya, vita bado mbichi

TEHRAN, Iran BAADA ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kudai kuwa mazungumzo ya kumaliza vita yao na Iran yako kwenye hatua za mwisho, uongozi wa...

Mradi wa maziwa waiongezea tija Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Tanga SERIKALI imeomba kuendelezwa kwa ushirikiano kati ya Tanzania na Ireland kupitia Awamu ya Pili ya Mradi wa Maziwa Faida kuanzia mwaka...

Thomas Tuchel: Kutoka uhudumu wa baa hadi ukocha Kombe la Dunia

LONDON, Uingereza WAKATI timu ya soka ya Taifa ya England inacheza Kombe la Dunia mwaka 1998, kocha wao wa sasa, Thomas Tuchel, alikuwa muhudumu wa...

Netanyahu kurejea au kung’oka madarakani Oktoba?

JERUSALEM, Israel WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, atawania tena nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu ujao, Chama chake cha Likud kimeeleza. Kwamba mwanasiasa huyo mwenye umri...

Aliyetokea benchi aiokoa Korea Kusini mbele ya Czech

ZAPOPAN, Mexico TIMU ya soka ya Taifa ya Korea ya Kusini imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Jamhuri ya Czech katika mchezo wa alfajiri...

Airtel Africa inavyochochea uchumi na kutunza mazingira Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMPUNI ya Airtel Africa imeendelea kuimarisha mchango wake katika maendeleo ya kijamii, kiuchumi na mazingira barani Afrika baada ya kuongeza upatikanaji...

Mexico yaizima Afrika, yaitandika Bafana Bafana

MEXICO City, Mexico TIMU ya soka ya Taifa ya Afrika Kusini 'Bafana Bafana' imeanza na mguu mbaya fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu...

Recent articles

spot_img