Ads: info@gazetini.co.tz |
22.9 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Ufaransa inazuilika kutwaa ubingwa?

PARIS, Ufaransa BAADA ya ubingwa wa mwaka 2018, safari hii timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa ipo tena kwenye nafasi ya kutwaa taji hilo...

Wachambuzi wanasemaje kuhusu Hormuz?

TEHRAN, Iran MASHAMBULIZI yanayoendelea kati ya Marekani na Iran yameripotiwa kupunguza kwa asilimia 50 idadi ya meli za mafuta na gesi zinazopita katika Mlango-Bahari wa...

Huyu Mbappe ni moto mwingine kabisa

BOSTON, Marekani MSIMU huu wa fainali za Kombe la Dunia umekuwa wa mafanikio makubwa kwa mshambuliaji wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Kylian...

Chelsea kuibomoa Madrid, kuchukua beki

LONDON, Uingereza KOCHA mpya wa Chelsea, Xabi Alonso, ameitaka klabu hiyo kumsajili beki wa klabu yake ya zamani ya Real Madrid, Alvaro Carreras. Alonso anataka mlinzi...

Miaka 30 ya Bongo Fleva ni zaidi ya ubunifu, burudani

Na Hassan Mwasha, Gazetini UNAWEZA kufikiria kuhusu shoo nyingi za muziki zilizowahi kufanyika hapa nchini lakini 'Miaka 30 ya Bongo Fleva' imekuja na upekee mkubwa. Ni...

Gazetini, Iwpg waingia makubaliano ya kukuza elimu ya amani Tanzania

Na mwandishi wetu, Gazetini GAZETINI Communication, kupitia chombo chake cha habari cha Gazetini, imeingia makubaliano ya ushirikiano na International Women's Peace Group (IWPG) ya Korea...

Iran yaweka tena ‘kufuli’ Hormuz

TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza rasmi kuufunga Mlango-Bahari wa Hormuz wakati huu jeshi lake likiendelea kushambuliana na Marekani. Hatua hiyo inaweza kuathiri bei ya mafuta,...

DIB ilivyojenga imani ya wananchi kwenye benki hata zinapofilisika

Na Esther Mnyika, Gazetini KWA Watanzania wengi, kuweka fedha benki ni njia salama ya kutunza akiba, kufanya miamala na kupanga mustakabali wa kifedha. Hata hivyo,...

Messi, England nusu fainali ya kihistoria

MIAMI, Marekani LICHA ya kucheza mechi zaidi ya 200 akiwa na timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi hajawahi kuikabili England. Safari hii, Messi atakutana kwa...

Sheikh Hamad wa Qatar afariki

DOHA, Qatar KIONGOZI wa zamani wa Taifa la Qatar, Sheikh Hamad bin ⁠Khalifa Al Thani, ‌amefariki leo Julai 12, 2026, akiwa na umri wa miaka...

Kocha Senegal afungashiwa virago

DAKAR, Senegal KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Senegal, Pape Thiaw, ameondoshwa kwenye majukumu hayo zikiwa ni siku chache tu tangu walipotolewa Kombe...

Bellingham aandika historia akiichapa Norway

LONDON, Uingereza KIUNGO wa kimataifa wa England, Jude Bellingham, ameweka rekodi baada ya mabao yake mawili katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Norway katika robo...

Recent articles

spot_img