MERSEYSIDE, Uingereza
KLABU ya Liverpool imeanza harakati za kumsajili beki wa timu ya Taifa ya Korea ya Kusini, Lee Han-beom, ambaye pia anawindwa na Chelsea.
Nyota...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Newcastle United iko mstari wa mbele katika mbio za kumsajili mlinda mlango wa Manchester City raia wa England, James Trafford.
Newcastle imemuongeza...
MUNICH, Ujerumani
KLABU ya Bayern Munich inaamini itafanikisha mpango wake wa kuinasa huduma ya kiungo wa pembeni wa Manchester United aliyemaliza mkopo wake Barcelona, Marcus...
MADRID, Hispania
REAL Madrid wako kwenye hatua nzuri ya kukamilisha dili la lejendari wa Manchester City, Bernardo Silva, akitarajiwa kuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na...
BOGOTA, Colombia
JINA la Shakira si geni kwa wapenzi wa muziki duniani. Ni mrembo mzaliwa wa Colombia, ambaye hivi karibuni alitumbuiza katika hafla ya ufunguzi...
TORONTO, Canada
KIUNGO Thomas Partey atakosekana wakati timu ya Taifa ya Ghana itakapocheza mechi ya kwanza ya msimu huu wa Kombe la Dunia.
Ni baada ya...
MEXICO CITY, Mexico
KUTUMBUIZA katika ufunguzi wa Kombe la Dunia, kama walivyofanya Shakira na Burna Boy, kunaweza kutafsiriwa kuwa ni dili linalowapa pesa nyingi wanamuziki...
NEW YORK, Marekani
KATIKA ripoti yake ya hivi karibuni, Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limeeleza kuwa watu milioni 118 walikimbia makazi...
MEXICO CITY, Mexico
FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zinaendelea katika mataifa matatu ya Marekani, Mexico na Canada.
Wakati huo huo, wapo wachezaji...
Na mwandishi wetu, Gazetini
LICHA ya changamoto za kidunia, ukiwamo mgogoro wa Mashariki ya Kati unaozihuisha Marekani na Israel dhidi ya Iran, uchumi wa Tanzania...