Ads: info@gazetini.co.tz |
24 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Rais Madagascar aikimbia Ikulu akihofia jeshi kumuua

ANTANANARIVO, MadagascarRAIS wa Madagascar, Andry Rajoelina, ameibuka na kusema yuko sehemu salama zaidi na si Ikulu ili kunusuru maisha yake baada ya kushitukia mpango...

Cape Verde yaandika historia kutinga Kombe la Dunia

PRAIA, Cape VerdeKATIKA historia ya soka, Cape Verde limekuwa taifa dogo la pili kukata tiketi ya kushiriki Kombe la Dunia. Ni baada ya ushindi...

Tamthilia Azam TV; Uhondo umeanzia walipoishia ITV

Na mwandishi wetu, GazetiniLEO hii, kama ni 'mateka' wa tamthilia za Tanzania zinazorushwa na Azam TV, basi tunaweza kusema unaiishi dunia yenye kumbukumbu nzuri...

Maria Corina Machado; ‘Mwanamke wa shoka’ aliyempindua Rais Trump

Na mwandishi wetu, GazetiniNI ukweli usiopingika kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, ameumizwa na kitendo cha kutoitia mkononi tuzo ya Amani ya Nobel ya...

Megawati 90 kuongeza uchimbaji madini Chunya – “umeme safi, uwekezaji bora”

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mbarak Alhaji Batenga, amefafanua mikakati kabambe ya kuimarisha shughuli za uchimbaji madini wilayani humo, ikiwemo ujenzi...

Wapenzi waliotenganishwa na vita kwa miaka zaidi miwili waungana tena

YERUSALEMU, Israel Wapenzi wa Israel walioitwa ‘Romeo na Juliet’ wameungana tena baada ya zaidi ya miaka miwili tangu kutenganishwa na mashambulizi ya Hamas. Noa Argamani, aliyekuwa...

IWPG Global Region 2 Discusses International Cooperation with the AU, CIEFFA

During the “2025 World Women’s Peace Conference” held at Enford Hotel in Cheongju, Chungbuk, the International Women’s Peace Group (IWPG) Global Region 2 (Director...

Huduma duni na ukatili wa kijinsia watajwa kuvuruga haki ya uzazi vijijini

Na Samwel Mwanga, Maswa KATIKA jamii nyingi za vijijini nchini Tanzania, hususan katika wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, masuala ya haki ya uzazi na ukatili...

Wawekezaji binafsi watakiwa kuleta mageuzi sekta ya elimu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji katika sekta ya elimu...

Singida Fountain Gate kuzindukia kwa Dodoma?

Na Hassan Mwasha, GazetiniUKITUPA macho kwenye msimamo, Singida Fountain Gate iko mkiani ikiwa imezibeba timu zingine 19 zinazoshiriki msimu huu wa Ligi Kuu Bara.Iko...

Mechi 42, mabao 36 Ligi Kuu Bara 2025-26

Na Hassan MwashaKABLA ya mapumziko ya kupisha mechi za timu za taifa zilizo kwenye kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), msimu huu...

Gamondi mtu wa kazi Singida Black Stars

Na Hassan Mwasha, GazetiniUKIACHA Simba, Singida Black Stars ndiyo timu pekee ambayo si tu haijafungwa, bali pia imeshinda mechi zote ilizoshuka dimbani msimu huu...

Recent articles

spot_img