Ads: info@gazetini.co.tz |
27.3 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Rasheedat Ajibade: Staa Nigeria anayeitoa udenda PSG

PARIS, UfaransaKWA misimu minne mfululizo, Rasheedat Ajibade amekuwa mchezaji muhimu katika safu ya ushambuliaji ya Atletico Madrid na sasa PSG wanajaribu kuinasa saini ya...

Arsenal, City, Chelsea nani kuivua ubingwa Liverpool?

LONDON, EnglandMARA ya mwisho kwa Liverpool kuchukua mara mbili mfululizo taji la Ligi Kuu ya England (EPL) ni mwaka 1984. Je, watarudia maajabu hayo...

Kivuli cha rais kinavyoitesa Togo

LOME, TogoMIEZI mitatu iliyopita, siasa za Taifa la Togo zilitikiswa na hatua ya Rais Faure Gnassingbe kutangaza kujiuzulu. Tangu hapo, wadhifa huo umekuwa chini...

IWPG names Jeon Na Yeong as new Chairwoman

Seoul, South Korea The International Women’s Peace Group (IWPG) officially appointed Jeon Na Yeong as its new chairwoman during a farewell and inaugural ceremony held...

Mila kandamizi zinavyotesa wanawake wenye changamoto za uzazi, IVF yaibua tumaini jipya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Wakati dunia ikibadilika kwa kasi kupitia maendeleo ya teknolojia na tiba za kisasa, barani Afrika bado kuna mamilioni ya wanawake wanaoendelea...

Frimpong kuziba pengo la Salah

MERSEYSIDE, EnglandKOCHA wa Liverpool, Arne Slot, amefichua kuwa atamtumia mchezaji wake mpya, Jeremie Frimpong, katika eneo analocheza staa wa timu hiyo, Mohamed Salah.Salah raia...

Ndidi rasmi ajiunga na Besiktas

ISTANBUL, UturukiVIGOGO wa Ligi Kuu ya Uturuki, Besiktas, wamethibitisha kuinasa saini ya kiungo wa kimataifa wa Nigeria, Wilfred Ndidi.Ndindi aliyeitumikia Leicester kwa miaka nane,...

Rais Ruto aendelea kumwaga fedha Harambee Stars

NAIROBI, KenyaILE ahadi ya Rais wa Kenya, William Ruto, kuwapa kitita cha fedha katika kila ushindi imeendelea kuwatajirisha wachezaji wa Harambee Stars.Rais Ruto aliahidi...

Bayern Munich yatema ubalozi Rwanda

MUNICH, UjerumaniKLABU ya Bayern Munich imesitisha mkataba wa kuitangaza sekta ya utalii ya Rwanda kupitia ujumbe wa ‘Visit Rwanda’ kwenye jezi zake.Hatua hiyo ya...

Madagascar kuzuia rekodi mpya Taifa Stars?

Na mwandishi wetu, GazetiniTIMU ya soka ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', leo itashuka dimbani kumenyana na Madagascar, ukiwa ni mtanange wa fainali za...

Nabi apata majanga, arudi Tunisia

PRETORIA, Afrika KusiniKOCHA wa Kaizer Chiefs, Nasreddine Nabi, atakosa mechi ya ufunguzi ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini baada ya mkewe...

Ziwa Natron: Urithi wa kimataifa unaopaswa kulindwa, sio kuchimbwa

Na Emmanuel Mgimwa – Gazetini Katika nyanda kame za Kaskazini mwa Tanzania, lipo Ziwa Natron eneo la kimataifa la Ramsar na nyumbani kwa asilimia 75...

Recent articles

spot_img