SHANGHAI, ChinaMASTAA wawili wa mchezo wa tenesi, Novak Djokovic na Daniil Medvedev, wameshindwa kutinga fainali ya michuano ya Shanghai Masters.Katika mchezo wa nusu fainali...
LONDON, UingerezaKIUNGO wa zamani wa Arsenal, Jack Wilshere, huenda akatangazwa kuwa kocha mkuu wa Luton Town ya Ligi Daraja la Pili ya England.Luton wameuanza...
LONDON, UingerezaKATIKA mechi saba pekee za mwanzoni mwa msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL), Erling Haaland ameshaifungia Manchester City jumla ya mabao...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa zamani wa Marekani, Joe Biden, ameanza matibabu ya saratani ya tezi dume aliyogundulika kuwa nayo tangu Mei, mwaka huu. Kwa...
JONANNESBURG, Afrika KusiniIJUMAA ya wiki hii, mabosi wa klabu ya Kaizer Chiefs walifikia makubaliano ya kutangaza kumfuta kazi Nasreddine Nabi.Kocha huyo wa kimataifa wa...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini, Arusha
UTAFITI unaofanyika katika mradi wa kimkakati wa Eyasi Wembere, unaolenga kutafuta mafuta na gesi katika Bonde la Ufa la Afrika...
Na Mwandishi Maalum, Gazetini
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza kuwa hakuna kitakachotokea Oktoba 29, hivyo wananchi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba, amekutana na wataalamu kutoka Tume ya Taifa ya Mipango wakiongozwa na Naibu...
JERUSALEM, PalestinaKATIKA kile kinachotafsiriwa kuwa ni hatua nzuri katika kumaliza mgogoro wa Gaza, wanajeshi wa Israel wameanza kuondoka katika Ukanda huo.Kurejea nyumbani kwa wanajeshi...
MADRID, HispaniaMVUA kubwa zinazoendelea kunyesha na kusababisha mafuriko zimeathiri safari za ndege nchini Hispania.Kwa mujibu wa taarifa, mafuriko hayo yameikumba mikoa ya Kusini-Mashariki mwa...
WASHINGTON DC, Marekani
IKULU ya Marekani imeikosoa Kamati ya Tuzo ya Amani ya Nobel ikisema haitendi haki katika kutangaza washindi. Kwa mujibu wake, tuzo ya...