TEL AVIV, IsraelVURUGUGU kubwa za mashabiki wa Hapoel Tel Aviv na Maccabi Tel Aviv wameshambuliana na kusababisha mchezo kati ya timu hizo zenye upinzani...
MERSEYSIDE, UingerezaBAO la mpira wa kichwa katika dakika ya 84 lililofungwa na Harry Maguire limeifanya Manchester United kupata ushindi wake wa kwanza katika mechi...
Na Hassan Mwasha, GazetiniKOCHA wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Hemed Suleiman, amesema pointi nne zinatosha kukivusha kikosi hicho hatua...
Na Hassan Mwasha, GazetiniKWA sasa benchi la ufundi la Yanga lipo chini ya kocha msaidizi raia wa Malawi, Patrick Mabedi, ambaye aliajiriwa hivi karibuni."Uongozi...
MUNICH, UjerumaniSTRAIKA wa Bayern Munich na timu ya taifa ya England, Harry Kane, amefikisha mabao 400 katika soka la ngazi ya klabu.Kane amefika hapo...
LONDON, UingerezaKLABU ya Nottingham Forest imemfuta kazi kocha wake raia wa Austria, Ange Postecoglou, akiwa amehudumu kwenye benchi la ufundi kwa siku 39 pekee.Postecoglou...
LONDON, UingerezaMKUU wa benchi la ufundi la Arsenal, Mikel Arteta, amemtaka Viktor Gyokeres kuachana na presha za nje ya uwanja na badala yake kuelekeza...
ATHENS, UgirikiALIYEWEHI kuwa kocha wa Liverpool, Rafa Benitez, anakaribia kutangazwa kuwa mkuu mpya wa benchi la ufundi la klabu ya Panathinaikos ya Ugiriki.Benitez, raia...
MANCHESTER, UingerezaKOCHA mkongwe raia wa Italia, Roberto Mancini, amewaambia watu wake wa karibu kuwa huenda akakabidhiwa mikoba ya kuinoa Manchester United.Kwa sasa, kocha raia...
LONDON, UingerezaMKUU wa benchi la ufundi la Chelsea, Enzo Maresca, ameweka wazi kuwa atamkosa kwa wiki sita mshambuliaji wake tishio, Cole Palmer.Palmer, raia wa...
MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola, amekiri kuwa hafahamu siku atakayorudi uwanjani kiungo wake raia wa Hispania, Rodri.Rodri (29), atakosekana katika mchezo wa...
Na Hassan Mwasha, GazetiniMATAIFA tisa ya Afrika yameshajihakikishia tiketi ya kushiriki fainali zijazo za Kombe la Dunia za mwakani zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico....