Ads: info@gazetini.co.tz |
27.3 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Chart| Ujuzi wa AI wazidi kuwa kigezo kwenye ajira duniani

Na Jonathan Benedict, Gazetini Idadi inayoongezeka ya viongozi duniani sasa wanazingatia ujuzi wa kutumia Akili Unde au bandia (AI) kama sharti lisiloweza kupuuzwa wakati wa...

Mtifuano kati ya Serikali na upinzani Ivory Coast, Uganda, Chad

Na mwandishi wetu, GazetiniKWA wiki chache za hivi karibuni, medani ya siasa barani Afrika imeshuhudia purukushani wanazopitia wanasiasa wa upinzani katika mataifa ya Ivory...

Madrid, Barca ni patashika msimu ujao La Liga

MADRID, HispaniaMSIMU ujao wa La Liga unaotarajiwa kuanza Agosti 15, mwaka huu, ni wa kwanza kwa Xabi Alonso akiwa kocha wa Real Madrid na...

Macho yote msimu ujao Ligi Kuu ya Uturuki

ISTANBUL, UturukiKUELEKEA msimu ujao, klabu za Ligi Kuu ya Uturuki zimeonekana kuvimbiana na zile za matajiri wa Saudi Arabia katika soko la usajili la...

Utafiti| Paka huwatazama binadamu kama paka wenzao

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Utafiti wa kipekee uliofanywa na mtaalamu wa mahusiano kati ya wanyama na binadamu (anthrozoologist) John Bradshaw kutoka Chuo Kikuu cha Bristol...

Watafiti waonesha teknolojia ya 6G yenye kasi mara 9,000 zaidi ya 5G

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Watafiti wamefanikiwa kuonesha teknolojia ya mawasiliano ya 6G ambayo inaweza kuwa hadi mara 9,000 zaidi ya kasi ya 5G ya sasa,...

Mgombea urais aliyepigwa risasi afariki

BOGOTA, ColombiaMGOMBEA urais katika Uchaguzi Mkuu ujao nchini Colombia, Miguel Uribe, amefariki akiwa na umri wa miaka 39 ikiwa ni miezi miwili tu imepita...

Nini kujadiliwa Mkutano wa Trump, Putin?

LOS ANGELES, MarekaniRAIS wa Marekani, Donald Trump, atakutana na mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin, mwishoni mwa wiki hii. Mkutano huo utafanyika Ijumaa ya Agosti...

Sesko: Mtambo wa mabao uliotua Old Trafford

MANCHESTER, UingerezaBAADA ya tetesi za muda mrefu, Manchester United imevunja kibubu na kuchomoa kitita cha Pauni milioni 74 kumsajili mpachikaji mabao wa kimataifa wa...

Chart| Sababu kuu zinazowafanya watu kutumia Intaneti

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Takwimu kutoka Global Web Index (GWI) zinaonyesha kuwa miongoni mwa watumiaji wa intaneti duniani wenye umri wa miaka 16 na kuendelea,...

Staa mpya Liverpool abeba tuzo Ujerumani

MUNICH, UjerumaniMSHAMBULIAJI mpya wa Liverpool, Florian Wirtz, ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Ujerumani.Wirtz aliyetua Anfield kwa ada ya Pauni milioni 116,...

Watetezi wa haki za watoto wapewa mafunzo ya kuimarisha ushiriki kimataifa

Na Nora Damian, Gazetini Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umeendesha mafunzo maalum kwa Watetezi wa Haki za Watoto, yakilenga kuwaongezea ujuzi...

Recent articles

spot_img