RABAT, Morocco
WEKA kando nusu fainali ya Senegal na Misri. Nigeria dhidi ya Morocco ni vita nyingine kali ya kuisaka tiketi ya kuingia fainali msimu...
WASHINGTON DC, Marekani
VIKOSI vya Marekani vimeyashambulia yaliyotajwa na Rais Donald Trump kuwa ni makazi ya magaidi wa Kundi la IS nchini Syria.
Kwa mujibu wa...
RABAT, Morocco
UKIACHA vita ya Nigeria na Morocco, nusu fainali nyingine kali msimu huu wa fainali za AFCON ni ile itakayozikutanisha Senegal dhidi ya Misri.
Ratiba...
ADIS ABABA, Ethiopia
SHIRIKISHO la Soka la Ethiopia (EFF) limetuma maombi ya kuziandaa fainali za Mataifa ya Afrika za mwaka 2028.
Shirikisho la Soka Afrika (CAF)...
MERSEYSIDE, Uingereza
LIVERPOOL imefikia makubaliano na Dominik Szoboszlai, hivyo kiungo huyo atasaini mkataba mpya klabuni hapo.
Szoboszlai alitua Anfield mwaka 2023 baada ya kuonesha kiwango bora...
RABAT, Morocco
MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Morocco, Brahim Díaz, amekuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya fainali za Mataifa Afrika (AFCON) kufunga bao...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema Mradi wa Umeme wa Jua unaotekelezwa Kishapu, mkoani Shinyanga, uko katika hatua za mwisho...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KILA ifikapo Desemba ya kila mwaka, maandalizi na shamrashamra za Sikukuu ya Krismas huonekana wazi katika maeneo mengi duniani.
Tofauti na miezi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KIINGEREZA kimeendelea kuwa lugha yenye ushawishi mkubwa duniani, ikitajwa kuwa ndiyo iliyokuwa na wazungumzaji wengi zaidi kwa mwaka 2025.
Ni kwa mujibu...
CATALUNYA, Hispania
MLINDA mlango wa Barcelona, Marc-Andre ter Stegen, atatimka klabuni hapo Januari hii, kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini Hispania.
Kipa huyo raia wa...
LONDON, Uingereza
MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Bukayo Saka, amekubali kuongeza mkataba wa miaka mitano klabuni hapo.
Saka, ambaye amekuwa mchezaji muhimu kikosini katika miaka ya hivi karibuni,...
MANCHESTER, Uingereza
MANCHESTER City imefanikiwa kuinasa saini ya Antoine Semenyo na huenda straika huyo aliyetokea Bournemouth akaanza kuwatumikia matairi hao wa jijini Manchester wikiendi hii.
Kwa...