27.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Nigeria v Morocco … Diaz, Osimhen nani kupasuka nusu fainali?

RABAT, Morocco WEKA kando nusu fainali ya Senegal na Misri. Nigeria dhidi ya Morocco ni vita nyingine kali ya kuisaka tiketi ya kuingia fainali msimu...

Marekani yaishambulia IS

WASHINGTON DC, Marekani VIKOSI vya Marekani vimeyashambulia yaliyotajwa na Rais Donald Trump kuwa ni makazi ya magaidi wa Kundi la IS nchini Syria. Kwa mujibu wa...

Senegal v Misri … Mane, Salah wana vita ya kisasi AFCON 2025

RABAT, Morocco UKIACHA vita ya Nigeria na Morocco, nusu fainali nyingine kali msimu huu wa fainali za AFCON ni ile itakayozikutanisha Senegal dhidi ya Misri. Ratiba...

Ethiopia yaomba uenyeji AFCON 2028

ADIS ABABA, Ethiopia SHIRIKISHO la Soka la Ethiopia (EFF) limetuma maombi ya kuziandaa fainali za Mataifa ya Afrika za mwaka 2028. Shirikisho la Soka Afrika (CAF)...

Kiungo akubali mkataba mpya Liverpool

MERSEYSIDE, Uingereza LIVERPOOL imefikia makubaliano na Dominik Szoboszlai, hivyo kiungo huyo atasaini mkataba mpya klabuni hapo. Szoboszlai alitua Anfield mwaka 2023 baada ya kuonesha kiwango bora...

Diaz aandika historia mpya AFCON

RABAT, Morocco MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Morocco, Brahim Díaz, amekuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya fainali za Mataifa Afrika (AFCON) kufunga bao...

Megawati 50 za umeme jua Kishapu kuingia gridini, mradi wafikia asilimia 89

Na mwandishi wetu, Gazetini NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema Mradi wa Umeme wa Jua unaotekelezwa Kishapu, mkoani Shinyanga, uko katika hatua za mwisho...

Kwa nini kwa wengine Krismas ni Januari 7?

Na mwandishi wetu, Gazetini KILA ifikapo Desemba ya kila mwaka, maandalizi na shamrashamra za Sikukuu ya Krismas huonekana wazi katika maeneo mengi duniani. Tofauti na miezi...

Lugha zinazozungumzwa zaidi duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini KIINGEREZA kimeendelea kuwa lugha yenye ushawishi mkubwa duniani, ikitajwa kuwa ndiyo iliyokuwa na wazungumzaji wengi zaidi kwa mwaka 2025. Ni kwa mujibu...

Ter Stegen ajiandaa kuondoka Barca

CATALUNYA, Hispania MLINDA mlango wa Barcelona, Marc-Andre ter Stegen, atatimka klabuni hapo Januari hii, kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini Hispania. Kipa huyo raia wa...

Saka asaini miaka mitano Arsenal

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Bukayo Saka, amekubali kuongeza mkataba wa miaka mitano klabuni hapo. Saka, ambaye amekuwa mchezaji muhimu kikosini katika miaka ya hivi karibuni,...

Semenyo kuitumikia Man City wikiendi hii

MANCHESTER, Uingereza MANCHESTER City imefanikiwa kuinasa saini ya Antoine Semenyo na huenda straika huyo aliyetokea Bournemouth akaanza kuwatumikia matairi hao wa jijini Manchester wikiendi hii. Kwa...