Ads: info@gazetini.co.tz |
27.3 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Arsenal yakaribia kumnasa Diomande

LONDON, Uingereza WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wanapewa nafasi kubwa ya kumsajili mshambuliaji wa RB Leipzig ya Bundesliga, licha ya Liverpool nao kumtolea macho. Nyota huyo...

United wamtengea dau Gueye

MANCHESTER, Uingereza MANCHESTER United imetenga kitita cha Pauni milioni 39 ili kufanikisha usajili wa kiungo wa Villarreal, Pape Gueye. Gueye amekuwa na msimu mzuri, ambapo amefunga...

Konate kupewa mkataba Liverpool

MERSEYSIDE, Uingereza KLABU ya Liverpool iko katika hatua nzuri ya kumsainisha mkataba mpya beki wake wa kati raia wa Ufaransa, Ibrahima Konate. Konate alijiunga na Liverpool...

City yaweka rekodi ya kibabe

MANCHESTER, Uingereza PEP Guardiola na vijana wake wa Manchester City wameandika historia ya aina yake baada ya ushindi wa mabao 4-0 walioupata dhidi ya Liverpool. Erling...

Newcastle kubeba straika Madrid

MADRID, Hispania NEWCASTLE United imeingia kwenye harakati za kumsajili straika wa Real Madrid, Gonzalo Garcia. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22, amecheza mechi 32 za...

Bosi EWURA atumbuliwa

Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) wa Dk. James...

Kounde kutua City, Liverpool au Chelsea?

LONDON, Uingereza KLABU za Manchester City, Liverpool na Chelsea zinapigana vikumbo kuiwania huduma ya beki wa Barcelona raia wa Ufaransa, Jules Kounde. Kounde alitua Barcelona mwaka...

Wapenzi wa jinsia moja sasa jela miaka 10

DAKAR, Senegal RAIA wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, ametia saini kupitisha sheria mpya inayohukumu kifungo cha hadi miaka 10 gerezani kwa wanaojihusisha na mapenzi ya...

Folden ajipange, apewa onyo kali

LONDON, Uingereza KOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel, amemuonya staa wake, Phil Foden, akimwambia hana uhakika wa kuitwa kwenye kikosi kitakachokwenda Kombe...

Arsenal sasa macho kwa Kofane

LONDON, Uingereza WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wameanza kuifukuzia saini ya mashambuliaji wa Bayer Leverkusen ya Bundesliga, Christian Kofane. Arsenal wako kileleni mwa msimamo wa Ligi...

Eritrea wana historia yao AFCON 2027

CAIRO, Misri BAADA ya miaka 19 kupita, timu ya soka ya taifa ya Eritrea imerejea katika hatua ya makundi ya kufuzu fainali zijazo za AFCON...

Italia ina nini? Yashindwa tena kufuzu Kombe la Dunia

MILAN, Italia MABINGWA mara nne wa Kombe la Dunia, timu ya taifa ya Italia, imeshindwa kufuzu fainali za mwaka huu zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico. Hii...