Ads: info@gazetini.co.tz |
22.7 C
Dar es Salaam

Michezo

Yanga yaishika pabaya TFF, yaibuka na madai mapya

Na Mwandishi Wetu Sakata la Klabu ya Yanga la fedha za zawadi, limeendelea baada ya kutoa tuhuma nyingine kwa Shirikisho la Soka Tanzania( TFF) ambapo...

Serikali yatenga bilioni 43 kuimarisha michezo  shuleni

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga  Sh 43 bilioni ili kuimarisha michezo katika shule mbalimbali nchini, kati ya hizo, Sh 32 bilioni ...

Bado hakijaeleweka, Yanga yakomaa haichezi dabi Juni 15

Na Mwandishi Wetu Licha ya kufanya kikao na uongozi wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), leo Juni 9, 2025, Klabu ya Yanga imeendelea  kushikilia msimamo...

NMB ilivyonogesha Pugu Marathon 2025 , zaidi ya wanariadha 6000 wajitokeza

Na Mwandishi Wetu IKIWA ni msimu wa tatu mfululizo Mbio za Hisani za Pugu Marathon zimeendelea kukusanya wanariadha kutoka maeneo tofauti nchini ambapo mwaka huu...

Serikali yasisitiza Dabi iko pale pale Juni 15

Na Mwandishi Wetu Wakati Yanga ikiendelea na kampeni yake ya ‘Hatuchezi’ Serikali imethibitisha rasmi kuwa pambano watani  hao wa jadi,Yanga na Simba litapigwa kama ilivyopangwa, Juni...

Mabondia wamchana ‘live’ Amos Mwamakula baada ya kushindwa kesi ya Vitasa na Azam Media

Na Mwandishi Wetu Mabondia wa ngumi za kulipwa nchini wamefurahia kitendo cha Azam Media kushinda Rufaa ya kesi ya Vitasa, huku wakikemea kitendo alichofanya bondia...

Simchimba aitaka Ligi Kuu, tatu zamfuata

Na Mwandishi Wetu, Mwanza MSHAMBULIAJI wa Geita Gold, Andrew Simchimba amemaliza mkataba wake na timu hiyo na sasa amefungua milango ya kurejea Ligi Kuu Bara,...

Simba yatua Dar na kauli ya kishujaa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kikosi cha Simba kimewasili Dar es Salaam kikitokea Zanzibar kwenye mchezo wa fainali wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi RS Berkane...

Nane kuamua ubingwa daraja la nne Nyamagana, Mabula agawa vifaa

Na Mwandishi wetu, Mwanza Timu nane zilizofuzu hatua ya robo fainali (Super 8) itakayochezwa kwa mtindo wa mzunguko zinatarajia kuamua bingwa wa michuano ya Ligi...

Kagera Sugar rasmi yashuka daraja

Na Mwandishi Wetu Kutokana na ushindi wa Pamba Jiji wa mabao 2-0 dhidi ya KenGold, umeishusha rasmi daraja Kagera Sugar ambayo kwa nafasi na pointi...

Bosi DRFA afungiwa  na TFF miaka sita

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA),Ramadhan Missiru amefungiwa na Kamati ya Maadili ya Soka Tanzania...

TFF kumpata mshirika wa ‘kubeti’

Na Mwandishi Wetu Shirikisho wa Soka Tanzania(TFF),limesema kuanzia msimu ujao wa 2025/2026 litakuwa na mshirika wa michezo ya kubashiri(kubeti) katika mashindano yake yote. Kwa mujibu wa...

Recent articles