LONDON, UingerezaBAADA ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Slavia Prague usiku wa jana, sasa Arsenal imeandika historia ya kucheza mechi nane mfulululizo bila...
Na mwandishi wetu, GazetiniKWA miaka mingi, fainali za Mataifa Afrika (AFCON) zimekuwa zikiibua vipaji vipya vya soka, kama ilivyowahi kutokea kwa Samuel Eto'o, Yaya...
Na mwandishi wetu, GazetiniNI msimu wa 35 wa fainali za Mataifa Afrika (AFCON) na michuano hiyo itafanyika Kaskazini mwa Afrika katika Taifa la Morocco.Msimu...
MADRID, HispaniaKITENDO cha Vinicius Junior kubwatukiana na kocha wake, Xabi Alonso, kimeibua taarifa kuwa nyota huyo ataondoka Real Madrid.Vinicius mwenye umri wa miaka 25,...
EDINBURGH, ScotlandALIYEWAHI kuwa kocha wa Liverpool, Brendan Rodgers, amejiuzulu kuinoa Celtic ya Ligi Kuu ya Scotland.Taarifa za Rodgers kuondoka zilikuja saa chache baada ya...
LONDON, UingerezaBAADA ya mechi za wikiendi iliyopita, sasa Arsenal wako kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya England (EPL) wakiwa wameizidi pointi nne timu...
Na mwandishi wetu, GazetiniJUMLA ya timu 16 zimeshaingia hatua ya makundi ya msimu huu wa 2025-26 wa michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.Kinachosubiriwa kwa...
Na mwandishi wetu, GazetiniKLABU ya Yanga imemtangaza Pedro Goncalves kuwa kocha wake mpya na Mreno huyo anachukua mikoba ya Romain Folz aliyetimuliwa siku chache...
JOHANNESBURG, Afrika KusiniKOCHA wa Kaizer Chiefs, Cedric Kaze, amefurahi na kuwapongeza wachezaji wake baada ya kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika.Wakiwa...
MADRID, HispaniaKIUNGO wa Real Madrid, Jude Bellingham, amefunga bao moja na kutoa 'asisti' katika ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Real Madrid.Akifunga katika dakika...
Na Winfrida Mtoi
Mabao ya ugenini yameibeba Simba kwenda makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya leo kulazimishwa suluhu na Nsingizini kwenye Uwanja wa...