MERSEYSIDE, EnglandLIVERPOOL inaangalia uwezekano wa kufungua pochi na kumsajili mpachikaji mabao wa Newcastle United, Alexander Isak.Inaelezwa kuwa Liverpool wamepanga kumfanya Isak kuwa mchezaji wa...
LONDON, EnglandBAADA ya kutwaa mataji ya Conference League, Chelsea walihitimisha furaha yao wikiendi iliyopita kwa kuifunga PSG mabao 3-0 na kubeba ubingwa wa Kombe...
Na Mwandishi Wetu
Wachezaji wa Yanga, Kibwana Shomari na Denis Nkane wamajitosa kwenye mchezo wa ngumi ambapo Julai 26, 2025 wanatarajiwa kupanda ulingoni kuzichapa katika...
ALGER, AlgeriaKOCHA mwenye jina kubwa Afrka, Rulani Mokwena, amejiunga na mabingwa wa Ligi Kuu ya Algeria, Mouloudia Alger.Kwa wiki kadhaa za hivi karibuni, Mokwena...
MANCHESTER, EnglandMABOSI wa klabu ya Manchester United wameanza mazungumzo ya kumsajili kiungo wa Lyon na timu ya taifa ya Ufaransa, Corentin Tolisso.Matheus Cunha kutoka...
RIYADH, SaudiaKIUNGO wa zamani wa Arsenal, Granit Xhaka, amekubali kujiunga na Neom SC ya Saudia akitokea Bayer Leverkusen.Neom SC ambayo ni timu iliyopanda daraja...
LONDON, EnglandZIKIWA zimebaki siku 50 kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili, klabu za Chelsea na Liverpool ndizo zilizotumia fedha nyingi sokoni.Chelsea imeshatumia Pauni...
LONDON, EnglandKIUNGO wa zamani wa Chelsea, John Obi Mikel, ameitaka klabu hiyo kusajili mlinda mlango mpya kama inataka kutwaa mataji msimu ujao.Chelsea imetanua kikosi...
LISBON, UrenoKITENDO cha Viktor Gyokeres kushindwa kuungana na wenzake mazoezini akishinikiza kujiunga na Arsenal, kimewatibua mabosi wa klabu yake ya Sporting Lisbon.Taarifa zinaeleza kuwa...
MIAMI, MarekaniMSHAMBULIAJI wa Inter Miami, Lionel Messi, ameendeleza makali yake ya kufunga mabao mawili katika kila mchezo, safari hii akiwatungua Nashville.Messi anakuwa mchezaji wa...