26.2 C
Dar es Salaam

Michezo

Hazard amshangaa Giroud

LILLE, UfaransaSTAA wa zamani wa Chelsea, Eden Hazard, ameeleza kushangazwa na namna Olivier Giroud anavyoendelea kucheza kwa kiwango cha juu, licha ya umri wake...

Guardiola kuchukua kipa Barca

MANCHESTER, EnglandKOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola, amewataka mabosi wake kuhakikisha wanainasa saini ya mlinda mlango wa Barcelona, Marc-Andre ter Stegen.Man City, baada ya...

Sterling kutimkia Saudia?

LONDON, EnglandKLABU za Ligi Kuu ya Saudi Arabia zinapigana vikumbo kuiwania saini ya winga wa Chelsea, Raheem Sterling.Sterling aliyecheza kwa mkopo Arsenal, ameshaambiwa wazi...

Pirates wamtengea Kanoute bil. 1.4/-

PRETORIA, Afrika KusiniVIGOGO wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini, Orlando Pirates, wanaitaka saini ya kiungo wa zamani wa Simba, Sadio Kanoute.Kwa mujibu wa kile...

Rais Mwinyi aipongeza Yanga, aizawadia  milioni 100

Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameizawadia Klabu ya Yanga  Sh 100 milioni  kwa kutambua ushindi na...

Ramos: Nileteeni Madrid robo fainali

MEXICO CITY, Mexico NAHODHA wa zamani wa Real Madrid, Sergio Ramos, amesema ni ndoto yake kukutana na timu hiyo katika hatua ya robo fainali ya...

Nabi yajayo yanafurahisha ‘Sauzi’

JOHANNESBURG, Afrika KusiniBEKI wa zamani wa Kaizer Chiefs, Mokete Tsotetsi, anaamini timu hiyo inayonolewa na kocha Nasreddine Nabi itakuja kivingine msimu ujao. Kaizer ilimaliza msimu...

Osimhen haondoki Napoli

NAPOLI, Italia LICHA ya kuhusishwa na klabu kadhaa za Ulaya, zikiwamo pia za Saudi Arabia, Victor Osimhen ataungana na wachezaji wengine wa Napoli kwa ajili...

Staa England adakwa kwa ulevi

LONDON, EnglandKIUNGO wa zamani wa Liverpool na timu ya taifa ya England, Paul Ince, ameingia matatani baada ya kukutwa akiendesha gari akiwa amelewa. Ince mwenye...

LeBron aiweka njiapanda Lakers

LOS ANGELES, MarekaniHATUA ya staa wa Angeles Lakers ya Ligi Kuu ya Kikapu ya Marekani (NBA), LeBron James, kutokuongeza mkataba imeibua minong'ono kuwa huenda...

Alis Moore; Binti anayetafuna pesa za wanasoka Ulaya

MADRID, Hispania KISIWA cha Ibiza. Kinapatikana nchini Hispania na ni moja ya maeneo ghali na yenye starehe za kiwango cha juu duniani. Kutokana na upekee wake,...

Usiyoyajua kuhusu WAFCON 2025

CAIRO, Misri FAINALI za Mataifa Afrika kwa upande wa soka la Wanawake (WAFCON) zitaanza kutimua vumbi wikiendi hii (Julai 5) huko Morocco. Wenyeji kwa mara ya...

Recent articles

spot_img