Ads: info@gazetini.co.tz |
26 C
Dar es Salaam

Michezo

Antoine Semenyo; Mkali wa mabao anayegombewa Ligi Kuu ya England

LONDON, UingerezaWINGA wa Bournemouth raia wa Ghana, Antoine Semenyo, atauzwa endapo tu klabu zinazomtaka zitaweka mezani kitita cha Pauni milioni 65.Semenyo (25), alikuwa kwenye...

Casemiro aombwa kupunguza mshahara United

MANCHESTER. UingerezaMABOSI wa Manchester United wameanza harakati za kumshawishi kiungo wake, Casemiro, asaini mkataba mpya klabuni hapo.Hata hivyo, ushawishi huo unaenda sambamba na mabosi...

Konate kulamba mkataba mpya Liverpool

MERSEYSIDE, UingerezaMABOSI wa Liverpool wamempa ofa ya mkataba mpya beki wake wa kati raia wa Ufaransa, Ibrahima Konate.Hatua hiyo ya Liverpool inakuja wakati huu...

Bellingham aiokoa Madrid, yarudi kileleni

MADRID, HispaniaUSIKU wa kuamkia leo, kiungo wa Real Madrid, Jude Bellingham, alifunga bao moja na kutoa 'asisti' katika mchezo dhidi ya Elche.Mchezo huo wa...

Simba hoi kwa Mkapa, Azam nayo mambo magumu

Na Winfrida Mtoi, Gazetini SIMBA imeshindwa kutamba nyumbani baada ya kufungwa na Petro de Luanda bao 1-0 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijjni Dar es...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Ivory Coast (42)

ABIDJAN, Ivory CoastTAIFA hilo la Afrika ya Magharibi linashika nafasi ya 42 katika viwango vya ubora wa soka duniani. Ivory Coast iliwahi kuwa ya...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Korea ya Kusini (41)

SEOUL, Korea ya KusiniKWA sasa, Korea Kusini inashika nafasi ya 22 katika viwango vya ubora wa soka duniani. Iliwahi kupanda hadi nafasi ya 17...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Uruguay (40)

MONTEVIDEO, UruguayKUELEKEA fainali za Kombe la Dunia za mwakani, Uruguay inashika nafasi ya 16 katika viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Paraguay (39)

ASUNCION, ParaguayIFAHAMIKE kuwa Paraguay wanashika nafasi ya 39 katika viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Walikuwa nafasi ya nane mwaka...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Colombia (38)

BOGOTA, ColombiaNAFASI ya 13 katika viwango vya ubora wa soka duniani. Mwaka 2016, Colombia ilipiga hatua kubwa zaidi kwa kushika nafasi ya tatu.'La Tricolor'...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: Brazil (37)

RIO, BrazilNAFASI ya tano katika viwango vya ubora wa soka duniani. Brazil waliwahi kushika nafasi ya kwanza mwaka 2023.Brazil, maarufu kwa jina la 'Selecao'...

Kuelekea Kombe la Dunia 2026: New Zealand (36)

WELLINGTON, New ZealandTAIFA hilo la Ulaya linashika nafasi ya 86 katika viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA).'All Whites' watashiriki fainali...

Recent articles