24.8 C
Dar es Salaam

Michezo

Mandonga atambulisha ngumi mpya, King Class, Nasibu Ramadhani moto utawaka

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kuelekea pambano la ngumi la 'Dar Boxing Derby', bondia Karim Mandonga kama kawaida yake, ametambulisha ngumi mpya atakayompigia mpizani wake Shaban...

Polisi wavamia mazishi ya Jota

MERSEYSIDE, EnglandPOLISI wamelazimika kuingilia kati na kuzuia kundi la mashabiki waliokuwa wakipiga picha katika kaburi la staa wa Liverpool na timu ya taifa ya...

Chelsea watambulisha ‘jembe’ jipya

Chelsea watambulisha 'jembe' jipyaLONDON, EnglandKLABU ya Chelsea imethibitisha usajili wa winga wa kimataifa wa England, Jamie Gittens.Nyota huyo aliyetokea Bundesliga alikokuwa akiitumikia Borussia Dortmund,...

Ishu ya Aziz Ki kurudi Yanga iko hivi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini BAADA ya taarifa nyingi zinazomtaja kiungo Stephane Aziz Ki kurudi Yanga, Ofisa Habari wa klabu hiyo, Ali Kamwe, amefunguka. Aziz Ki,...

Arteta awapa wiki mbili mabosi Arsenal

LONDON, EnglandKOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amewapa wiki mbili viongozi wa klabu hiyo kuhakikisha wanamnasa straika wa Sporting Lisbon, Viktor Gyokeres.Na endapo wataikosa saini...

Partey akwaa kesi ya kubaka

LONDON, EnglandKIUNGO wa Arsenal na timu ya taifa ya Ghana, Thomas Partey, ameshitakiwa kwa kosa la kubaka.Kwa mujibu wa taarifa ya polisi, Partey alifanya...

Wakala wa Bale aingia matatani

LONDON, EnglandWAKALA wa soka maarufu, Jonathan Barnett, amefunguliwa mashitaka akituhumiwa kwa makosa ya udhalilishaji wa kijinsia.Barnett (75), ambaye aliwahi kuwasimamia mastaa Gareth Bale na...

Wagombea  urais watano TFF wapigwa chini abaki  Karia 

Na Mwandishi Wetu Kamati ya Uchaguzi ya TFF imewang'oa wagombea watano wa nafasi ya Urais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na kubaki na jina...

Salah akatisha likizo kisa Jota

MERSEYSIDE, EnglandMSHAMBULIAJI wa Liverpool, Mohamed Salah, amelazimika kukatiza likizo na kurejea Uingereza kutokana na kifo cha mchezaji mwenzake wa klabu hiyo, Diogo Jota.Kwa mujibu...

Staa Arsenal kumfuata Ronaldo

RIYADH, Saudi ArabiaMATAJIRI wa Al-Nassr ya Saudi Arabia wanaiwinda saini ya mshambuliaji wa kiwango cha juu katika kikosi cha Arsenal, Gabriel Martinelli.Mpango wa Al-Nassr...

Jota, kaka yake wafariki ajali ya gari

MERSEYSIDE, EnglandMSHAMBULIAJI wa Liverpool, Diogo Jota, amefariki katika ajali ya gari. Amepoteza maisha akiwa na umri wa miaka 28.Katika ajali hiyo iliyotokea leo katika...

PSG wajitosa kwa Rodrygo

PARIS, UfaransaVIGOGO wa Ligue 1, PSG, wameingia rasmi katika mBio za kuifukuzia saini ya mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil,...

Recent articles

spot_img