Na Mwandishi Wetu
Bondia wa ngumi za kulipwa Hassan Ndonga maarufu Tyson wa Bongo amefunga Mtaa wa Banda Mabibo, Dar es Salaam kutokana na wingi wa mashabiki waliojitokeza...
BERKANE, MoroccoFAINALI za Mataifa Afrika kwa soka la Wanawake zilianza kutimua vumbi Julai 5, mwaka huu, zikifanyika kwa msimu wa pili mfululizo nchini Morocco.Je,...
MILAN, ItaliaKOCHA wa AC Milan, Massimiliano Allegri, amefichua kuwa kiungo aliyeaga Real Madrid, Luka Modric, atajiunga na klabu hiyo ya Italia.Kwa mujibu wa Allegri,...
CATALUNYA, HispaniaBARCELONA wamempa mkataba mpya wa miaka miwili mlinda mlango wake raia wa Poland, Wojciech Szczesny.Szczesny (35), alistaafu soka mwaka jana, kabla ya Barca...
LONDON, EnglandKOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca, amesema timu yake si miongoni mwa zinazoweza kutwaa taji la Kombe la Dunia kwa ngazi ya Klabu.Maresca ameyasema...
NAPOLI, ItaliaTANGU iliponunuliwa na bilionea De Laurentiis na kurejea Serie A mwaka 2017, Napoli imekuwa tishio kwa vigogo wa Ligi Kuu hiyo ya Italia.Msimu...
LOS ANGELES, MarekaniSTAA wa Ligi Kuu ya Kikapu ya Marekani (NBA), Kevin Durant, amejiunga na Houston Rockets akitokea Phoenix Suns.Durant ameiacha Phoenix baada ya...
LONDON, EnglandARSENAL wamekamilisha usajili wa kiungo wa kimataifa wa Hispania, Martin Zubimendi, aliyetua klabuni hapo akitokea Real Sociedad kwa ada ya Pauni milioni 60.Makala...
MUNICH, UjerumaniKLABU ya Bayern Munich imethibitisha kuwa mshambuliaji wake, Jamal Musiala, atakuwa nje ya dimba kwa muda mrefu.Musiala alivunjika mguu wikiendi iliyopita, wakati Bayern...
LOS ANGELES, MarekaniKLABU za Ligi Kuu ya Marekani (MLS) na zile za Mexico (Liga MX) zinapigana vikunbo kuiwania saini ya mpachikaji mabao wa zamani...
Na Mwandishi Wetu
Chama cha Kuogelea Tanzania (TSA), kimefanya uteuzi wa awali wa waogeleaji watakaoshiriki Mashindano ya Africa Aquatics Kanda ya III, yatakayofanyika Oktoba 16-19,...