Ads: info@gazetini.co.tz |
29.4 C
Dar es Salaam

Michezo

Watanzania wahimizwa kushiriki mchezo wa kuogelea bila kujali umri

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Watanzania wamehimizwa kushiriki na kujifunza mchezo wa kuogelea bila kujali umri ili kulinda afya na kutengeneza mahusiano na watu tofauti ikiwamo...

Amorim: Sihofii kufutwa kazi Man United

MANCHESTER, UingerezaKOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim, amesema tetesi za kufungashiwa virago klabuni hapo hazimuumizi kichwa kwa sasa.Amorim amekuja na kauli hiyo baada ya...

Burna Boy awakataa Ronaldo, Messi

LAGOS, NigeriaSUPASTAA wa muziki wa Afrobeats, Burna Boy, 'amewapotezea' Cristiano Ronaldo na Lionel Messi na kumtaja Jay Jay Okocha kuwa ndiye mwanasoka bora wa...

Mashabiki wamtolea uvivu George Weah

MONROVIA, LiberiaRAIS wa zamani wa Liberia, George Weah, amekumbana na ukosolewaji mkali kutoka kwa mashabiki baada ya kauli yake ya hivi karibuni.Weah aliyewahi kucheza...

Flick afunguka Yamal kukosa Ballon d’Or

CATALUNYA, HispaniaKOCHA wa Barcelona, Hansi Flick, amesema staa wake, Lamine Yamal, atakuwa bora zaidi kutokana na hasira za kuikosa Ballon d'Or ya mwaka huu.Yamal...

Mashabiki Simba kulipa faini ya CAF

Na Winfrida Mtoi, Gazetini KLABU ya Simba imewatangazia wanachama na mashabiki wa timu hiyo namba maalumu za  kuchangia fedha kwa ajili ya kusaidia kulipa  faini...

Yanga, Simba zaumiza kichwa mapambano ya jezi feki

Na Mwandishi Wetu UONGOZI wa Klabu ya Yanga umekiri kuwa vita ya kudhibiti jezi feki ni ngumu pamoja na jitihada wanazofanya na kutumia mbinu nyingi...

Bondia afariki siku chache baada ya kupigwa

ACCRA, GhanaBONDIA mwenye umri wa miaka 27, Ernest Akushey, ameripotiwa kupoteza maisha, zikiwa ni siku chache tu tangu alipopoteza pambano.Akushey alidundwa na Jacob Dickson...

Locatelli asakwa kila kona England

TURIN, ItaliaSAINI ya kiungo wa Juventus, Manuel Locatelli, inawindwa vikali na klabu za Ligi Kuu ya England, zikiwamo Aston Villa na West Ham United.Wakati...

Maignan aingia rada za Man United

TURIN, ItaliaKLABU ya Manchester United imeanza kumfuatilia mlinda mlango wa AC Milan, Mike Maignan, licha ya kwamba wana upinzani mkali kutoka kwa Chelsea.Man United...

Arsenal, Liverpool zamgombea Vinicius

LONDON, UingerezaIMERIPOTIWA kuwa klabu za England, Arsenal na Liverpool, kila moja inajaribu kuinasa huduma ya mshambuliaji wa Real Madrid raia wa Brazil, Vinicius Jr.Vinicius...

Timu 64 kushiriki Kombe la Dunia

NYON, UswisSHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) linatazamia kufikisha timu 64 zitakazokuwa zikishiriki fainali za Kombe la Dunia.Ikumbukwe kuwa kwa mara ya kwanza katika...

Recent articles