24.8 C
Dar es Salaam

Michezo

Tyson wa Bongo afunga mtaa, apiga mkwara

Na Mwandishi Wetu Bondia wa ngumi za kulipwa Hassan Ndonga maarufu Tyson wa Bongo amefunga  Mtaa wa Banda Mabibo, Dar es Salaam kutokana na wingi wa mashabiki waliojitokeza...

Mastaa wa kuchungwa WAFCON 2025

BERKANE, MoroccoFAINALI za Mataifa Afrika kwa soka la Wanawake zilianza kutimua vumbi Julai 5, mwaka huu, zikifanyika kwa msimu wa pili mfululizo nchini Morocco.Je,...

Twiga Stars yaanza vibaya WAFCON

BERKANE, MoroccoTIMU ya soka ya Wanawake ya Tanzania (Twiga Stars) imepoteza kwa kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Mali katika mchezo wa fainali za...

Modric, Milan dili limeiva

MILAN, ItaliaKOCHA wa AC Milan, Massimiliano Allegri, amefichua kuwa kiungo aliyeaga Real Madrid, Luka Modric, atajiunga na klabu hiyo ya Italia.Kwa mujibu wa Allegri,...

Szczesny asaini miwili Barcelona

CATALUNYA, HispaniaBARCELONA wamempa mkataba mpya wa miaka miwili mlinda mlango wake raia wa Poland, Wojciech Szczesny.Szczesny (35), alistaafu soka mwaka jana, kabla ya Barca...

Kocha Chelsea hofu tupu

LONDON, EnglandKOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca, amesema timu yake si miongoni mwa zinazoweza kutwaa taji la Kombe la Dunia kwa ngazi ya Klabu.Maresca ameyasema...

Napoli na ubabe kwa vigogo Serie A

NAPOLI, ItaliaTANGU iliponunuliwa na bilionea De Laurentiis na kurejea Serie A mwaka 2017, Napoli imekuwa tishio kwa vigogo wa Ligi Kuu hiyo ya Italia.Msimu...

Durant aondoka Phoenix, atua Houston

LOS ANGELES, MarekaniSTAA wa Ligi Kuu ya Kikapu ya Marekani (NBA), Kevin Durant, amejiunga na Houston Rockets akitokea Phoenix Suns.Durant ameiacha Phoenix baada ya...

Mambo 10 kuhusu Zubimendi wa Arsenal

LONDON, EnglandARSENAL wamekamilisha usajili wa kiungo wa kimataifa wa Hispania, Martin Zubimendi, aliyetua klabuni hapo akitokea Real Sociedad kwa ada ya Pauni milioni 60.Makala...

Bayern: Musiala bado sana kurudi uwanjani

MUNICH, UjerumaniKLABU ya Bayern Munich imethibitisha kuwa mshambuliaji wake, Jamal Musiala, atakuwa nje ya dimba kwa muda mrefu.Musiala alivunjika mguu wikiendi iliyopita, wakati Bayern...

Balotelli awindwa Marekani, Mexico

LOS ANGELES, MarekaniKLABU za Ligi Kuu ya Marekani (MLS) na zile za Mexico (Liga MX) zinapigana vikunbo kuiwania saini ya mpachikaji mabao wa zamani...

TSA yateua waogeleaji wa kuiwakilisha Tanzania Aquatics Kanda ya III

Na Mwandishi Wetu Chama cha Kuogelea Tanzania (TSA), kimefanya uteuzi wa awali wa waogeleaji watakaoshiriki Mashindano ya Africa Aquatics Kanda ya III, yatakayofanyika Oktoba 16-19,...

Recent articles

spot_img