29.2 C
Dar es Salaam

Kitaifa

Migodi mikubwa nchini yatakiwa kuwezesha wachimbaji wadogo

Na mwandishi wetu, Gazetini Wito umetolewa kwa makampuni makubwa ya uchimbaji madini nchini kuwekeza katika kuwawezesha wachimbaji wadogo katika nyanja mbalimbali ikiwemo teknolojia za kisasa...

TRA yasifu matumizi ya kodi katika mradi wa Bwawa la Julius Nyerere

Na mwandishi wetu, Gazetini MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesifu matumizi sahihi ya fedha za kodi za Watanzania katika Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere...

Ndejembi: Urambo, Kaliua zipo tayari kwa uwekezaji wa viwanda

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema wilaya za Urambo na Kaliua mkoani Tabora zipo tayari kupokea uwekezaji, hususan wa viwanda, kutokana...

OSHA yaja na mpango wa kuwezesha biashara na uwekezaji nchini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAKALA wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umezindua mpango wake wa kushirikiana na Maafisa Biashara wa Mikoa na Wilaya...

Rais Samia kushiriki mkutano wa WGS 2026

Na Mwandishi Wetu, Gazetini RAIS Samia Suluhu Hassan ameondoka nchini leo Februari 2, 2026 kwenda Dubai, Falme za Kiarabu, ambapo anatarajiwa kushiriki katika uzinduzi wa...

Dk. Nchimbi atoa rai kwa Majaji na Mahakimu kuhusu uhuru wa Mahakama

Na Mwandishi Wetu. Gazetini MAKAMU wa Rais Dk. Emmanuel Nchimbi ametoa rai kwa Majaji na Mahakimu nchini kuwa uhuru wa Mahakama usitumike kama sehemu ya...

Dira ya madini 2030: Mwelekeo wa utafiti na ukuaji wa mapato

Na mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaendelea kuchukua hatua madhubuti katika kuimarisha sekta ya madini kama nguzo muhimu ya ukuaji...

Zanzibar yavunja rekodi ya watalii wa kimataifa chini ya Dk. Mwinyi

Na mwandishi wetu, Gazetini ZANZIBAR imeshuhudia ongezeko kubwa na la kihistoria la watalii wa kimataifa katika kipindi cha miaka sita iliyopita, mafanikio yanayohusishwa moja kwa...

Waziri Mkuu aonya wafanyabiasha kuelekea mfungo wa Ramadhani, Kwaresma

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amewataka wafanyabiashara wa vyakula nchini kuacha kuwaumiza wananchi katika kipindi cha mfungo wa Ramadhani na Kwaresma...

Simba SC: ‘Do or Die’ kuwavusha makundi Ligi ya Mabingwa Afrika?

Na mwandishi wetu, Gazetini 'DO or Die' ndicho kitu pekee wanachohitaji Simba ili kuvuka makundi na kuingia robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu...

Visual| Makusanyo Sekta ya Madini wafikia Trilioni 1.07

Na mwandishi wetu, Gazetini WIZARA ya Madini imetangaza mafanikio makubwa katika utekelezaji wa ahadi na maelekezo ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ndani ya siku...

Visual| Usajili wa watangazaji mapinduzi na hamahama kwenye redio Bongo

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA miaka ya hivi karibuni, wamiliki wa vituo vya redio na runinga hapa nchini wameshuhudiwa wakitunishia msuli wa fedha kwa kunyang'anganya...

Recent articles

spot_img