Na mwandishi wetu, Gazetini
Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, amesema Watanzania wameonesha uzalendo wa hali ya juu kwa kudumisha amani na utulivu, kufuatia...
TOKYO, Japan
WAPENZI wa filamu za mapigano walimfahamu zaidi kwa ukatili wake katika 'muvi' alizoigiza kama 'kubwa la maadui', ikiwamo 'Mortal Kombat'. Huyo ndiye anaitwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA ajali ya basi lililowaka moto, abiria 40 waliokuwa wakisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Malinyi, Morogoro, wamenusurika kupoteza maisha. Ni...
NAIROBI, Kenya
BUNGE la Kenya limewashutumu wanajeshi wa Uingereza likiwataja kufanya vitendo vya udhalilishaji walipokuwa kwenye mafunzo nchini humo. Kwa miaka mingi, vikosi vya jeshi...
KUALA LUMPUR, Malaysia
IKIWA ni miaka 14 imepita tangu ilipopotea, Serikali ya Malaysia itaanza tena operesheni ya kuisaka ndege yake aina ya Boeing 777. Kwa...
ISLAMABAD, Pakistan
KWA sasa, familia ya Imran Khan inahofia kuwa huenda Waziri Mkuu huyo wa zamani wa Pakistan amefariki akiwa gerezani. Khan alikuwa Waziri Mkuu...
VICTORIA, Hong Kong
KIONGOZI wa Hong Kong, John Lee, ameunda Tume ya kuchunguza chanzo cha ajali ya moto iliyosababisha vifo vya watu takribani 151. Jumatano...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa zamani wa Honduras, Juan Orlando Hernandez, ametoka gerezani kwa msamaha wa Rais wa Marekani, Donald Trump. Orlando Hernandez alikuwa akitumikia...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
WATUMISHI watatu wa kada ya afya, akiwemo Mganga Mkuu wa Wilaya ya Urambo, wamesimamishwa kazi kufuatia sakata la mgonjwa kudaiwa kubakwa...
ABUJA, Nigeria
Watu wenye silaha wamewateka nyara takriban watu 20, wakiwemo mchungaji wa kanisa na bibi harusi, katika mashambulizi mawili tofauti yaliyotokea nchini Nigeria katika...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
WAANDISHI wa habari nchini wameaswa kuwa mstari wa mbele katika kusaidia jamii, hususan ile inayoishi kandokando ya ukanda wa pwani, kutambua...
Na mwandishi wetu, GazetiniUTAFITI wa Taasisi ya Teknolojia ya Massachusetts (MIT) umebaini kuwa Kenya kwa sasa ndilo taifa linaloagiza kwa kiasi kikubwa zaidi nguo...