27 C
Dar es Salaam

Jamii

Simbachawene: Watanzania wameonesha uzalendo kwa kudumisha amani

Na mwandishi wetu, Gazetini Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, amesema Watanzania wameonesha uzalendo wa hali ya juu kwa kudumisha amani na utulivu, kufuatia...

Usiyoyajua kuhusu ugonjwa uliomuua Tagawa; dereva aliyetikisa soko la filamu

TOKYO, Japan WAPENZI wa filamu za mapigano walimfahamu zaidi kwa ukatili wake katika 'muvi' alizoigiza kama 'kubwa la maadui', ikiwamo 'Mortal Kombat'. Huyo ndiye anaitwa...

Basi lateketea kwa moto, 40 wanusurika

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA ajali ya basi lililowaka moto, abiria 40 waliokuwa wakisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Malinyi, Morogoro, wamenusurika kupoteza maisha. Ni...

Wabunge Kenya wawajia juu wanajeshi Uingereza

NAIROBI, Kenya BUNGE la Kenya limewashutumu wanajeshi wa Uingereza likiwataja kufanya vitendo vya udhalilishaji walipokuwa kwenye mafunzo nchini humo. Kwa miaka mingi, vikosi vya jeshi...

Ndege iliyopotea kuanza kutafutwa Desemba 30

KUALA LUMPUR, Malaysia IKIWA ni miaka 14 imepita tangu ilipopotea, Serikali ya Malaysia itaanza tena operesheni ya kuisaka ndege yake aina ya Boeing 777. Kwa...

Familia yahofia Khan amefariki gerezani

ISLAMABAD, Pakistan KWA sasa, familia ya Imran Khan inahofia kuwa huenda Waziri Mkuu huyo wa zamani wa Pakistan amefariki akiwa gerezani. Khan alikuwa Waziri Mkuu...

Tume yaundwa kuchunguza ajali ya moto

VICTORIA, Hong Kong KIONGOZI wa Hong Kong, John Lee, ameunda Tume ya kuchunguza chanzo cha ajali ya moto iliyosababisha vifo vya watu takribani 151. Jumatano...

Trump amtoa gerezani rais aliyehukumiwa miaka 45

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa zamani wa Honduras, Juan Orlando Hernandez, ametoka gerezani kwa msamaha wa Rais wa Marekani, Donald Trump. Orlando Hernandez alikuwa akitumikia...

Mgonjwa adaiwa kubakwa na tabibu, watatu wasimamishwa kazi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WATUMISHI watatu wa kada ya afya, akiwemo Mganga Mkuu wa Wilaya ya Urambo, wamesimamishwa kazi kufuatia sakata la mgonjwa kudaiwa kubakwa...

Watu 20 watekwa Nigeria, wamo mchungaji na bibi harusi

ABUJA, Nigeria Watu wenye silaha wamewateka nyara takriban watu 20, wakiwemo mchungaji wa kanisa na bibi harusi, katika mashambulizi mawili tofauti yaliyotokea nchini Nigeria katika...

Mtaalamu: Saidieni jamii kutambua manufaa ya bahari

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAANDISHI wa habari nchini wameaswa kuwa mstari wa mbele katika kusaidia jamii, hususan ile inayoishi kandokando ya ukanda wa pwani, kutambua...

Kenya yaongoza nguo za mitumba Afrika

Na mwandishi wetu, GazetiniUTAFITI wa Taasisi ya Teknolojia ya Massachusetts (MIT) umebaini kuwa Kenya kwa sasa ndilo taifa linaloagiza kwa kiasi kikubwa zaidi nguo...

Recent articles

spot_img