28.7 C
Dar es Salaam

Jamii

Mama jela maisha kwa kuua, kuficha miili ya watoto

WELLINGTON, New ZealandMWANAMKE mmoja nchini New Zealand amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani baada ya kukutwa na hatia katika mashitaka ya kuua watoto wake wawili,...

Imani za kishirikina na matumizi ya viungo vya binadamu

Na mwandishi wetu, GazetiniIKO hivi; kwa mujibu wa ripoti ya mwaka 2022 ya Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO), Taifa la Siera...

Wanafunzi 50 wawatoroka waasi Nigeria

LAGOS, NigeriaTUKIO la kikundi cha waasi nchini Nigeria kuvamia moja ya shule na kuteka wanafunzi 315 limechukua sura mpya.Wanafunzi hao walivamiwa Ijumaa ya wiki...

Waasi wavamia shule, wateka watu 300

LAGOS, NigeriaWATU wenye silaha waliodhaniwa kuwa ni miongoni mwa vikundi vya waasi wameteka watu 300, wakiwamo wanafunzi, baada ya kuvamia shule ya Kikatoliki.Idadi hiyo...

Mafuriko yaua watu 90

HANOI, VietnamWATU takribani 90 wamepoteza maisha na wengine 12 hawajulikana walipo kutokana na mvua kubwa iliyosababisha mafuriko nchini Vietnam.Kwa mujibu wa taarifa ya Serikali,...

WHO: Dunia imeshindwa ukomesha ukatili dhidi ya wanawake

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) likishirikiana na wadau wa Umoja wa Mataifa limetoa ripoti muhimu leo jijini Geneva, Uswisi, ikibainisha kuwa...

WHO: Wanawake milioni 840 wamepitia unyanyasaji wa kijinsia

NEY YORK, MarekaniRIPOTI mpya ya Shirika la Afya ya Umoja wa Mataifa (WHO) imeeleza kuwa kati ya wanawake watatu, basi mmoja atakuwa amewahi kufanyiwa...

Mwili wa Joshua warejeshwa nyumbani baada ya kusubiri kwa miaka miwli

Mwandishi Wetu, Gazetini BAADA ya miaka miwili ya kusubiri kwa maumivu na wasiwasi, hatimaye mabaki ya mwili wa kijana Mtanzania Joshua Mollel (21) aliyedaiwa kuuawa...

Ripoti| Kisonono kinazidi kuwa sugu; WHO yaonya kuongezeka kwa usugu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetoa tahadhari kali kuhusu kuongezeka kwa usugu wa bakteria wanaosababisha kisonono dhidi ya dawa muhimu zinazotumika...

Afrika Kusini kinara matumizi ya mtandao duniani

Na mwandishi wetu, GazetiniUTAFITI mpya umeitaja Afrika Kusini kuwa ndiyo nchi ambayo wananchi wake wanatumia muda mwingi mitandaoni.Ripoti ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya...

Utafiti| Mataifa yanayoongoza kwa watu wake kuaminiana

Na mwandishi wetu, Gazetini NI kwa mujibu wa utafiti uliofanywa mwaka 2022 na kuchapishwa mwaka 2024, ukionesha kuwa Denmark, Norway, Finland, Sweden na Iceland ndiyo...

Dk. Mwigulu: Mafaili yamfuate mjamzito kitandani, marufuku

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba leo Novemba 15, 2025 amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma...

Recent articles

spot_img