Ads: info@gazetini.co.tz |
24.2 C
Dar es Salaam

Jamii

Amuua mama mkwe kwa kumpa mishikaki yenye sumu

JAKARTA, Indonesia MWANAUME mmoja nchini Indonesia ameshitakiwa kwa kosa la kumuua mama mzazi wa mke wake, ikielezwa kuwa alimpa mishikaki yenye sumu. Kwa mujibu wa taarifa...

Kijiji cha Rung’abure chatekeleza miradi ya zaidi ya Sh bilioni 1.2

Na Malima Lubasha, Serengeti KIJIJI cha Rung’abure kilichopo Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, kimetekeleza na kukamilisha miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya...

Wakulima waiomba Serikali kuwaingiza kwenye mafunzo ya hifadhi ya jamii

Na Seif Takaza, Singida WAKULIMA mkoani Singida wameiomba Serikali kuweka mfumo rasmi wa kuwaingiza kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii ili waweze kunufaika na mafao...

Mathias Canal atwaa tuzo ya ushiriki bora wa kazi za jamii 2026

Na mwandishi wetu, Gazetini Mwanzilishi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni za WAZOHURU MEDIA na WAZOHURU APPARTMENTS, Mathias Canal, ametunukiwa Tuzo ya Ushiriki Bora wa...

Ripoti: Matukio ya unyanyasaji wa kingono yameongeka duniani

NEW YORK, Marekani NI kwa mujibu wa Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa (UN), kwamba takribani visa 10,000 vya unyanyasaji wa kingono viliripotiwa katika maeneo...

Ajali ya moto hotelini yaua watu 21

NEW DELHI, India RAIA wa kigeni 21, wakiwamo wa Nigeria, Msumbiji na Liberia, wamepoteza maisha katika ajali ya moto iliyotokea katika hoteli moja mjini Delhi. Wizara...

Usiyoyajua kuhusu matumizi ya mirungi

Na mwandishi wetu, Gazetini MATUMIZI ya mirungi yana historia ndefu barani Afrika, yakitajwa kuanza miaka mingi iliyopita katika nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na Somalia. Mirungi...

Meja Jenerali wa jeshi, mkewe watekwa

LAGOS, Nigeria MEJA Jenerali Mstaafu wa jeshi nchini Nigera, Rabe Abubakar, ametekwa na watu wasiojulikana akiwa na mkewe kwenye gari wakati wakiwa safarini katika Jimbo...

Sheria ya malezi ya watoto inayotesa ‘ma-ex’ Japan

TOKYO, Japan KABLA ya kufanyiwa marekebisho Aprili Mosi, 2026, Sheria ya Malezi nchini Japan ilimtaka mzazi mmoja pekee kumiliki mtoto/watoto pale ilipotokea ndoa au mahusiano...

Waislamu Serengeti watakiwa kudumisha umoja

Na Malima Lubasha, Serengeti WAUMINI wa dini ya Kiislamu wilayani Serengeti mkoani Mara wametakiwa kuendeleza ibada, kudumisha umoja, upendo na mshikamano ili kuendelea kulinda amani...

Moto shule ya wasichana wasababisha vifo 16

GILGIL, Kenya MOTO ambao chanzo chake hakijafahamika umeripotiwa kusababisha vifo vya watu 16, wengi wao wakiwa ni wanafunzi, katika shule ya bweni ya Sekondari ya...

Afrika Magharibi na mtandao wa biashara ya cocaine

DAKAR, Senegal TAKWIMU zinaeleza kuwa asilimia 30 ya dawa za kulevya zinazokwenda Ulaya hupita barani Afrika, hasa katika mataifa ya Magharibi, ikiwamo Senegal. Hiyo ni kwa...

Recent articles