23.4 C
Dar es Salaam

Jamii

Simulizi ya maisha ya ajuza wa miaka 101

BEIJING, China LICHA ya umri wake wa miaka 101, Jiang Yueqin haonekani ni mtu mwenye afya iliiyodhohofika. Bado ana meno yake yote 32 na amekuwa...

Papa aingilia kati hali ya usalama Nigeria

LAGOS, Nigeria KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, ametuma ujumbe wake wa kutaka kuimarishwa kwa hali ya amani nchini Nigeria. Papa Leo ameyasema hayo...

Wakimbilia Bima ya Mazishi wakikwepa gharama ya Afya

HARARE, Zimbabwe WANANCHI wa Zimbabwe wamepokea kwa mwitiko mkubwa Bima ya Mazishi, ikiwa ni baada ya kushindwa kumudu gharama za Bima ya Afya. Ifahamike kuwa Bima...

UN: Wasichana milioni 4.5 hatarini kukeketwa mwaka 2026

NEW YORK, Marekani RIPOTI mpya ya Umoja wa Mataifa (UN) inaonesha kuwa wasichana takribani milioni 4.5 duniani kote wako kwenye hatari ya kufanyiwa ukeketaji kwa...

Beki auawa na mdogo wake wakigombea kiwanja

NAIROBI, Kenya NI mlinzi wa Kakamega Homeboyz ya Ligi Kuu nchini Kenya, Silas Abungana, ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 25. Abungana (25), ameiaga dunia...

April Francis; Mrembo wa Wan-Bissaka anayekaribia kutupwa gerezani

LONDON, Uingereza JINA la April Francis limetikisa vichwa vya habari za michezo nchini Uingereza baada ya mpenzi huyo wa beki wa West Ham United, Aaron...

UAE yachangia chakula Sudan

DUBAI, UAE UMOJA wa Falme za Kiarabu (UAE) umechangia kiasi cha Dola za Marekani milioni 20 kwa ajili ya chakula nchini Sudan, ambako vita vya...

Wacharazwa viboko 140 kwa uzinzi, ulevi

JAKARTA, Indonesia WATU wawili wa jinsia tofauti wamecharazwa jumla ya viboko 140 kwa makosa makubwa mawili ya uzinzi na ulevi wa pombe. Ifahamike kuwa vitendo hivyo...

Adamu, kaka yake jela kwa wizi msikitini

ABUJA, Nigeria MAHAKAMA ya Wilaya ya Wuse mjini Abuja imewahukumu ndugu wawili kifungo cha miezi minne gerezani kila mmoja baada ya kukutwa na hatia katika...

Mwangwi wa sheria| Polisi haihusiki na kesi hizi-2

WAKATI mwingine, kutokujua sehemu sahihi ya kupeleka malalamiko yako kunaweza kukupotezea muda, nguvu, na hata haki yako. Mathalan, kwenda polisi kwa suala la madai ni...

Visual| Gen Z wafikia bilioni 1.9, Gen A waongoza duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA mujibu wa takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu duniani, kwa sasa idadi ya vijana waliozaliwa...

Nicola Peltz; Mkwe anayeivuruga familia ya Beckham

LOS ANGELES, Marekani Kwa sasa, mtoto wa kiume wa Beckham, Brooklyn, haongei na baba wala mama yake. Kama hiyo haitoshi, alishahama nyumbani kwao na kujiweka...

Recent articles

spot_img