22.6 C
Dar es Salaam

Jamii

Hii ndiyo tofauti ya maisha ya China, Marekani

Na mwandishi wetu, Gazetini MATAIFA mawili yanayopeana upinzani mkali katika nyanja ya kiuchumi, yakitajwa kuongoza duniani kwa upande wa maendeleo ya sayansi na teknolojia. Kupitia utafiti...

Vilevi vinavyotumiwa na vijana wengi Marekani

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA miaka mingi, matumizi ya vilevi yamekuwa yakitafsiriwa kuwa ni mtindo wa kisasa wa maisha ya vijana wengi duniani kote. Licha ya...

Mbwa milioni 3 wauawa kisa Kombe la Dunia 2030

RABAT, Morocco YAKIWA ni maandalizi ya fainali za Kombe la Dunia za mwaka 2030, mbwa milioni tatu wameuawa nchini Morocco na kusababisha wanaharakati wa haki...

Mwezi Mtukufu wa Ramadhan ndani ya EPL

LONDON, Uingereza KAMA kawaida, mechi za Ligi Kuu ya England (EPL) zitashuhudia mapumziko ya dakika kadhaa kuruhusu wachezaji watakaokuwa kwenye ibada ya Mwezi Mtukufu wa...

Aliyekimbia polisi miaka 16 akamatwa, Olimpiki yamponza

MILAN, Italia MWANAUME raia wa Slovakia ameangukia mikononi mwa polisi mjini Milan, Italia, baada ya miaka 16 ya kujificha akikwepa kukamatwa. Mtu huyo anayetajwa kuwa na...

WhatsApp yapigwa kufuli Urusi

MOSCOW, Urusi SERIKALI ya Urusi imeagiza kufutwa kwa matumizi ya WhatsApp nchini humo, huku ikiwa na mbadala wa mtandao huo wa kijamii. Mamkala zimetoa agizo hilo...

Polisi: Aliyeua watu nane ana changamoto ya afya ya akili

TORONTO, Canada POLISI nchini Canada wamebaini kuwa mshukiwa wa mauaji ya watu nane, ambaye ni mwanamke, ana changamoto ya afya ya akili. Mwanamke huyo mwenye umri...

Simu, ‘laptop’ zinavyohatarisha maisha yako

Na mwandishi wetu, Gazetini HIVI unafahamu kuwa betri zinazotumika katika simu au kompyuta-mpakato (laptop), ambazo kwa lugha ya Kiingereza hufahamika kwa jina la 'rechargeable batteries',...

Kim Kardashian na wanaume 14 aliotoka nao kimapenzi

LOS ANGELES, Marekani STORI inayobamba kwa sasa kwenye tasnia ya burudani nchini Marekani ni hii ya mrembo Kim Kardashian kuanika penzi lake jipya na staa...

Simulizi ya maisha ya ajuza wa miaka 101

BEIJING, China LICHA ya umri wake wa miaka 101, Jiang Yueqin haonekani ni mtu mwenye afya iliiyodhohofika. Bado ana meno yake yote 32 na amekuwa...

Papa aingilia kati hali ya usalama Nigeria

LAGOS, Nigeria KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, ametuma ujumbe wake wa kutaka kuimarishwa kwa hali ya amani nchini Nigeria. Papa Leo ameyasema hayo...

Wakimbilia Bima ya Mazishi wakikwepa gharama ya Afya

HARARE, Zimbabwe WANANCHI wa Zimbabwe wamepokea kwa mwitiko mkubwa Bima ya Mazishi, ikiwa ni baada ya kushindwa kumudu gharama za Bima ya Afya. Ifahamike kuwa Bima...

Recent articles

spot_img