Ads: info@gazetini.co.tz |
31.2 C
Dar es Salaam

Author: gazetiniAdmin_1

Mashabiki waziponza Al Ahly, Zamalek

CAIRO, MisriVURUGU za mashabiki wa Al Ahly na Zamalek katika 'derby' ya Super Cup zimesababisha klabu hizo kutozwa faini ya LE 100,000 (zaidi ya...

Kane aingia rada za mabosi Barcelona

CATALUNYA, HispaniaMATAJIRI wa klabu ya Barcelona wanaangalia uwezekano wa kuinasa huduma ya mpachikaji mabao wa Bayern Munich, Harry Kane.Mpango wa kumsajili Muingereza huyo umelenga...

Mke amtaka Oscar kuacha soka

RIO, BrazilSTAA wa zamani wa Chelsea, Oscar, huenda akatangaza kutundika daluga kutokana na ushauri wa mkewe na familia.Oscar mwenye umri wa miaka 34, kwa...

Joshua, Paul sasa kuzichapa Desemba

LONDON, UingerezaIMERIPOTIWA kuwa kuna mazungumzo yanayoendelea vizuri kati ya kambi za mabondia Anthony Joshua na Jake Paul.Taarifa zinasema wawili hao watarushiana makonde katika pambano...

JKT Queens yalazimishwa sare, yaisubiri TP Mazembe

Na Hassan Mwasha, Gazetini WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa upande wa Wanawake, JKT Queens, wamelazimishwa sare ya bao 1-0...

Ramaphosa amjibu Trump ‘kususia’ Mkutano G20

JOHANNESBURG, Afrika Kusini RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amemkosoa mwenzake wa Marekani, Donald Trump, kwa hatua yake ya kugoma kuhudhuria Mkutano Mkuu wa G20...

Kashfa ya rushwa yang’oa mawaziri Ukraine

KYIV, Ukraine MAWAZIRI wawili wa Serikali ya Ukraine wametangaza kujiuzulu baada ya kashfa ya rushwa kuitikisa sekta ya nishati nchini humo. Waliotangaza kuachia ngazi ni...

Dk. Mpango: “Sauti ya NEMC isiwe ya mtu aliye nyikani”

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MAKAMU wa Rais mstaafu wa Tanzania, Dk. Philip Mpango, ametoa wito kwa Serikali kuongeza nguvu na mamlaka zaidi kwa Baraza la...

Simba v Atletico; Pantev ana kwa ana na kocha Barcelona

Na Hassan Mwasha, Gazetini NI Simba ya kocha Dimitar Pantev dhidi ya Petro Atletico katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi unaotarajiwa kuchezwa Novemba...

Hawa ndiyo AS FAR watakaomenyana na Yanga makundi CAF

Na Hassan Mwasha, Gazetini YANGA wako Kundi B msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Afrika, ambapo wamepangwa na Al Ahly ya Misri, AS FAR (Morocco)...

Zungu atakwepa mtego huu kiti cha Spika?

Na Hassan Mwasha, GazetiniNI rasmi sasa Mussa Hassan Zungu ndiye Spika wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akichukua nafasi ya...

Afrika Kusini kuondoshwa G20?

Na mwandishi wetu, GazetiniUHUSIANO wa Marekani na Afrika Kusini umezidi kudorora kwa siku za hivi karibuni na tayari Rais Donald Trump ametaka nchi hiyo...

Recent articles

spot_img