30.2 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Mnyama Simba hasira zote kwa KMC kesho

 Na Winfrida Mtoi, Gazetini KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Steve Barker ameweka wazi kuwa hakuna mechi rahisi ya Ligi Kuu, lakini wamejipanga kuhakikisha wanachukua...

Gamondi anasubiriwa yeye tu kusaini mkataba rasmi, kukabidhiwa Stars mazima

Na Winfrida Mtoi, Gazetini WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema kuwa muda wowote, kocha Miguel Gamondi atasaini rasmi mkataba wa kuifundisha...

Simba yaandika barua Polisi ikiomba waliomkashfu MO washughulikiwe

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KLABU ya Simba imeliandikia barua Jeshi la Polisi  ili kuwachukulia hatua za kisheria wanachama na mashabiki wa klabu hiyo  waliohusika...

Serikali yaendelea na maandalizi ujenzi reli ya Kusini

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) imekamilisha kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa awali kwa ajili ya ujenzi...

Dk. Mwigulu: Serikali kununua matrekta 10,000 kuinua kilimo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imepanga kununua matrekta 10,000 na kuanzisha vituo jumuishi 1,000 vya huduma za zana za...

Rais Samia kushiriki mkutano wa WGS 2026

Na Mwandishi Wetu, Gazetini RAIS Samia Suluhu Hassan ameondoka nchini leo Februari 2, 2026 kwenda Dubai, Falme za Kiarabu, ambapo anatarajiwa kushiriki katika uzinduzi wa...

Dk. Nchimbi atoa rai kwa Majaji na Mahakimu kuhusu uhuru wa Mahakama

Na Mwandishi Wetu. Gazetini MAKAMU wa Rais Dk. Emmanuel Nchimbi ametoa rai kwa Majaji na Mahakimu nchini kuwa uhuru wa Mahakama usitumike kama sehemu ya...

Yanga yaingilia ugomvi wa Mangungu na mshabiki Simba

Na Mwandishi Wetu, Gazetini UONGOZI wa Klabu ya Yanga umesema umesikitishwa na kitendo cha vurugu alichofanyiwa Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu na mashabiki...

Waziri Mkuu aonya wafanyabiasha kuelekea mfungo wa Ramadhani, Kwaresma

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amewataka wafanyabiashara wa vyakula nchini kuacha kuwaumiza wananchi katika kipindi cha mfungo wa Ramadhani na Kwaresma...

Al Ahly yaanza safari kuifuata Yanga Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Klabu ya Al Ahly ya nchini Misri imeanza safari kuelekea Zanzibar kwa ajili ya mchezo wa hatua ya makundi ya...

TFF yaupiga kufuri Uwanja wa KMC

Na Mwandishi Wetu, Gazetini  SHIRIKISHO la Soka Tanzania, (TFF) limeufungia uwanja wa KMC, uliopo Mwenge, jijini Dar es Salaam kutumika kwa  mechi za  Ligi kutokana...

Kipa wa zamani Yanga afariki dunia, alimnoa Kindoki

Na Winfrida Mtoi, Gazetini KIPA wa zamani wa Yanga na timu ya Taifa ya Tanzania, Peter Manyika amefariki dunia leo Januari 26, 2025, wakati akiwa...

Recent articles

spot_img