NAIROBI, Kenya
KENYA imetupa karata yake katika mbio za kuwania tiketi ya kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Riadha ya Dunia yatakayofanyika mwaka 2029.
Endapo Kenya itafanikiwa...
BAMAKO, Mali
WANAJESHI zaidi ya 10 wameripotiwa kuuawa baada ya kambi yao kushambuliwa na kikundi cha waasi wikiendi iliyopita.
Jama'at Nusrat al-Islam wal-Muslimin (JNIM), ambalo ni...
NYON, Uswis
HIVI karibuni, kiongozi huyo wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) alikuwa Colombia kuhudhuria hafla ya kuapishwa kwa Rais mpya wa Taifa hilo...
LUSAKA, Zambia
UCHAGUZI Mkuu nchini Zambia utafanyika Alhamisi ya wiki hii, yaani Agosti 13, 2026, na macho ya wengi yameeelekezwa katika kinyang'anyiro cha urais.
Ifahamike kuwa...
LOS ANGELES, Marekani
MAGARI zaidi ya 650,000 yaliibiwa nchini Marekani mwaka 2025, licha ya kwamba idadi ya matukio hayo imepungua katika miaka ya hivi karibuni.
Wakati...
Na mwandishi wetu, Gazetini
ALIZALIWA Agosti 7, 1876 mjini Leeuwarden, Uholanzi. Akitokea katika familia tajiri, Mata Hari akiwa mdogo aliweza kupata kila alichokitaka kutoka kwa...
VATICAN CITY, Vatican
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, amehimiza kupatikana kwa amani nchini Sudan katika hotuba yake ya jana Agosti 9, 2026,...
HARARE, Zimbabwe
KIUNGO wa zamani wa timu ya soka ya Taifa ya Zambia 'Chipolopolo', Gift Kampamba, anaamini George Lwandamina anastahili kuajiriwa moja kwa moja kukinoa...
MOSCOW, Urusi
SHAMBULIZI la ndege isiyo na rubani linalotajwa kufanywa na Ukraine nchini Urusi limesababisha vifo vya watu 13, akiwamo mtoto.
Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa...
JERUSALEM, Israel
WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema wamkataa ombi la Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu mgogoro wa Gaza.
Kwa mujibu wa Netanyahu, hawakubaliani...
ANKARA, Uturuki
NYOTA wa kimataifa wa Nigeria, Kelechi Iheanacho, amefunga bao katika mechi yake ya kwanza akiwa na Bursaspor ya Ligi Kuu nchini Uturuki.
Katika mchezo...
LONDON, Uingereza
ARSENAL imeangukia pua katika mbio zake za kuiwania saini ya Vinicius Jr baada ya Mbrazil huyo kusaini mkataba mpya wa miaka sita katika...