Ads: info@gazetini.co.tz |
24.4 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Simba yamtupia Sowah  U-20 kwa utovu wa nidhamu

Na Winfrida Mtoi, Gazetini Uongozi wa Klabu ya Simba umeweka wazi hatua kali za kinidhamu zilizochukuliwa dhidi ya mshambuliaji wao, Jonathan Sowah, ikiwemo kuondolewa kwenye...

Mchezaji auawa na majambazi kwa risasi nchini Ghana

MCHEZAJI nchini Ghana, Dominic Frimpong, ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya jana Jumapili usiku  na majambazi wenye silaha kushambulia basi la timu yake ya...

Taliss IST yaendeleza ubabe Mashindano ya Taifa ya Kuogelea, nahodha afichua siri

Na Winfrida Mtoi, Gazetini KLABU ya Taliss IST imezidi kujikita kileleni mwa mchezo wa kuogelea nchini baada ya kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Mashindano ya Taifa...

Rekodi zaendelea kuvunjwa Mashindano ya Taifa ya Kuogelea, Crissa Dillip ang’ara

Na Winfrida Mtoi, Gazetini IKIWA ni siku ya pili ya Mashindano ya Taifa ya mchezo wa kuogelea,   waogeleaji  wa klabu mbalimbali wameendelea kuchuana vikali kufatuta...

Makonda asimamisha uongozi TOC, Rage kuongoza kwa muda

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesimamisha uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), pamoja na uongozi wa sasa...

Minziro akabidhiwa Fountain Gate FC

Na Mwandishi Wetu KLABU ya Fountain Gate FC imemtangaza Fred Felix Minziro kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, akichukua nafasi ya Mohamed Laizer ambaye amefutwa...

Okello awapa maneno matamu Wanayanga

Na Mwandishi Wetu Nyota wa Yanga, Allan Okello amewahakikishia mashabiki wa timu hiyo kuwa watamaliza kila kitu ndani ya dakika 90 katika mchezo wa hatua...

Klabu 16 kuchuana mashindano ya Taifa ya kuogelea kesho

Na Mwandishi Wetu JUMLA ya klabu 16 za mchezo wa kuogelea kutoka ndani na nje ya Tanzania zinatarajia kushiriki mashindano Taifa yatayoanza kesho Aprili 10-12,...

Bosi EWURA atumbuliwa

Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) wa Dk. James...

Serikali yakusanya trilioni 26, Ofisi ya Waziri Mkuu yaomba trilioni 12.5 kwa mwaka 2026/2027

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imekusanya Sh.trilioni 26.63 katika kipindi cha July 2025 hadi February, 2026 kati ya lengo...

LATRA yaonya upandishaji nauli

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini, LATRA, imewataka wasafirishaji nchini kuwa watulivu na kuepuka kupandisha nauli kiholela kutokana na  ongezeko la  bei...

Petroli, dizeli bei juu kuanzia leo

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa...

Recent articles

spot_img