Ads: info@gazetini.co.tz |
22.1 C
Dar es Salaam

Author: Gazetini Editor

Kwanini Chelsea imemsajili Morgan Rogers?

LONDON, Uingereza MAPEMA wiki hii, klabu ya Chelsea ilitumia kitita cha Pauni milioni 117 kuinasa saini ya mshambuliaji wa kimataifa England kutoka Aston Villa, Morgan...

Kwanini vijana China wanakimbilia vijijini?

BEIJING, China KATIKA nchi nyingi duniani, maeneo ya mijini yameonekana kuwa ndiyo fursa ya kukimbilia, hasa kwa vijana wenye ndoto za kuishi maisha mazuri. Kwa Beijing,...

Mjadala mzito timu 64 kushiriki Kombe la Dunia

NYON, Uswis MOJA ya alama za uongozi wa Gianni Infantino katika miaka yake 10 ndani ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) ni kuongeza timu...

Mambo 10 usiyoyajua kuhusu Kevin Keegan

LONDON, Uingereza HIVI karibuni, tasnia ya soka duniani ilishitushwa na kifo cha lejendari wa klabu za Liverpool na Newcastle United, Kevin Keegan. Amefariki akiwa na...

Mbappe mfungaji bora, aweka rekodi

MIAMI, Marekani STRAIKA wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Kyian Mbappe, ndiye aliyeibua na tuzo ya Mfungaji Bora wa msimu huu wa fainali...

Mastaa Argentina wamkataa Rais Trump

MIAMI, Marekani NYOTA wawili wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lisandro Martinez na Cristian Romero, walionekana wakikwepa kupeana mikono na Rais wa Marekani,...

Messi aacha historia Kombe la Dunia 2026

MIAMI, Marekani LICHA ya kukosa ubingwa wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) baada ya kufungwa bao 1-0 na Hispania, nahodha wa...

Mwanaume anayetaka nipike hanifai

LAGOS, Nigeria ALIYEWAHI kuwa mshindi wa Shindano la Big Brother Naija, Mercy Eke, amezua mjadala mzito mitandaoni kwa kauli yake ya kusema hawezi kuolewa na...

Matajiri wa Katoro walivyolisimamisha Jiji

Na Hassan Mwasha VIDEO iliyosambaa mitandaoni ikiwaonesha wafanyabishara matajiri kutoka wilayani Katoro mkoani Geita wakimwaga pesa katika sherehe 'ime-trend' hivi karibuni kwenye tasnia ya burudani...

Suruali ya jinzi ingekwamisha usajili staa Chelsea

LONDON, Uingereza MIONGONI mwa nyota wapya waliotua Chelsea majira haya ya kiangazi ni Geovany Quenda, ambaye amekiri kuwa ni shabiki mkubwa wa Cristiano Ronaldo. Quenda alizaliwa...

Mwalimu, mwanafunzi wake walipokutana fainali Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani SAHAU kabisa kuhusu matokeo. Fainali ya Kombe la Dunia iliyochezwa jana iliwakutanisha makocha wawili, Luis de la Fuente wa Hispania na Lionel Scaloni...

Adidas ilivyopiga bao Kombe la Dunia

Miami, Marekani KAMPUNI ya utengenezaji na usambazaji wa vifaa vya michezo ya Adidas ndiyo iliyoongoza kwa kuhudumia timu nyingi wakati wa fainali za Kombe la...

Recent articles

spot_img