LOS ANGELES, Marekani
LEJENDARI wa muziki wa Soul na R&B nchini Marekani, Lionel Richie, alikimbizwa hospitali wikiendi iliyopita, kisha kuwekwa ‘ICU’ mjini St. Louis.
Richie (77),...
Na mwandishi wetu, Gazetini
UHASAMA mkubwa wa jamii ya Wahutu na Watutsi ulishuhudiwa tena mwaka 1990. Ni baada ya kundi la Rwandan Patriotic Front (RPF)...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KAMA tulivyoanza katika sehemu iliyopita, mauaji ya halaiki yaliyotokea Rwanda mwaka 1994 yaliwahusisha Wahutu na Watutsi, ambayo ndiyo makabila makubwa zaidi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SIKU chache zilizopita, Mahakama mjini The Hague, Uholanzi, ilimuhukumu kifungo cha maisha mwanaume aliyetambulika kwa jina la Eugene N baada ya...
RIO, Brazil
UMOJA wa Ulaya (EU) umeweka katazo kwa nchi zake kuingiza nyama kutoka Brazil, ikieleza kuwa hatua hiyo inatokana na sababu za kiafya.
Kwa mujibu...
LOS ANGELES, Marekani
MAHAKAMA nchini Marekani imemkuta na hatia kiongozi wa zamani wa genge la uhalifu, Duane Davis 'Keffe D', katika kesi ya mauaji ya...
RIYADH, Ureno
KLABU ya Al Hilal imethibitisha kuachana rasmi na straika wake raia wa Ufaransa, Karim Benzema, ikieleza kuwa ni makubaliano ya pande mbili.
Benzema aliyewahi...
MIAMI, Marekani
BAADA ya Lionel Messi kutangaza kustaafu kuitumikia timu ya Taifa ya Argentina, beki wa kikosi hicho, Rodrigo De Paul, ameibuka na ujumbe wa...
LONDON, Uingereza
MKONGWE wa Arsenal, Thierry Henry, anaiona timu hiyo ikienda kubeba tena taji la Ligi Kuu ya England msimu huu wa 2026-27.
Henry raia wa...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema wanajeshi wake watafanya mashambulizi makali dhidi ya Iran baada ya kile walichokifanya wenzao hao.
Hivi karibuni, Iran...
CAPE TOWN, Afrika Kusini
MWANDISHI wa habari maarufu wa Afrika Kusini, Robert Marawa, amefichua kuwa kocha mkongwe, Pitso Mosimane, ndiye atakayeinoa timu ya soka ya...
LONDON, Uingereza
KOCHA Mikel Arteta ameingia kwenye orodha ya makocha wachache waliowahi kufikisha mechi 250 za Ligi Kuu ya England wakiwa na klabu moja.
Orodha hiyo...