RIYADH, Saudi Arabia
SAUDI Arabia imebaki njiapanda. Tangu Marekani na Israel zilipoungana kuishambulia Iran, Saudia ilijiweka mbali na mgogoro huo. Haikutaka kujihusisha wala kuhusishwa.
Hata hivyo,...
LONDON, Uingereza
KAMA ilivyo kawaida, katika kila msimu mpya wa Ligi Kuu ya England (EPL), huwa kuna timu tatu zilizopanda daraja. Safari hii (2026-27), ni...
LONDON, Uingereza
MSIMU mpya wa Ligi Kuu ya England (EPL) utaanza Agosti 21, 2026, ukitarajiwa kumalizika Mei 30, 2027. Ni msimu wa 35 tangu michuano...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameibuka mshindi tena dhidi ya Jamhuri katika hatua nyingine ya kesi...
TEHRAN, Iran
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limetangaza kuwa Mlango Bahari wa Hormuz hautafunguliwa kikamilifu ikiwa vitisho vya kijeshi na...
KAMPALA, Uganda
KIONGOZI mkongwe wa upinzani nchini Uganda, Dk. Kizza Besigye, amelazwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU) mjini Kampala baada ya kuanguka na kupoteza...
DUBLIN, Ireland
SUPASTAA wa muziki nchini Ireland, Glen Hansard, amepoteza Maisha katika ajali ya pikipiki mjini Dublin.
Hansard (56), ambaye ni mshindi wa tuzo za Oscar,...
LOS ANGELES, Marekani
MAHAKAMA mjini Nevada, Marekani, imetaka mahojiano ya mtuhumiwa wa mauaji ya rapa Tupac Shakur, Duane Davis 'Keffe D' yawasilishwe kama ushahidi wakati...
LONDON, Uingereza
KATIKA fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zilizomalizika hivi karibuni, Ferran Torres ndiye aliyefunga bao pekee lililoipa ubingwa timu ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MSEMO wa 'vita ni akili' umedhihirishwa na namna mataifa mengi, hasa makubwa kiuchumi, yanavyotumia akili-unde (Artificial Intelligence - AI) kuwadhibiti wapinzani...
MILAN, Italia
ROBERTO Mancini ameajiriwa na kuikuta timu ya soka ya Taifa ya Italia ikiwa kwenye hali mbaya. Haijafuzu Kombe la Dunia kwa misimu yote...