Na Ramadhan Hassan, Dodoma
HOSPITALI ya Benjamin Mkapa (BMH), kwa kushirikiana na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), imeandika historia kwa kufanikisha kwa mara ya...
MOSCOW, Urusi
HALI ni mbaya mjini Moscow juu ya upatikanaji wa nishati ya mafuta. Foleni katika vituo vya mafuta (sheli) imeshuhudiwa kwenye maeneo mengi.
Mrundikano huo...
LONDON, Uingereza
SOKA limekuwa likitoa fursa nyingi. Mathalan, ndani ya klabu, limeajiri viongozi, wachezaji, makocha, madaktari, wapishi, na wafanyakazi wengine.
Kwa miaka mingi, limekuwapo kundi la...
Samatta na viatu vyake, Mwakinyo na glovu zake
Na Hassan Mwasha, Gazetini
SAFARI ya Mbwana Samatta na timu ya soka ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars'...
LONDON, Uingereza
MWAKA huu haiushi. Huenda Tyson Fury na Muingereza mwenzake wa ngumi za uzito wa juu, Anthony Joshua, wakazichapa kama si Oktoba, basi Novemba,...
BERLIN, Ujerumani
MAHAKAMA nchini Ujerumani imemuhukumu kifo cha maisha gerezani daktari aliyebainika kuua wagonjwa wake 15, wakiwamo wanawake 12.
Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Johannes...
MONACO, Ufaransa
MTENDAJI Mkuu wa klabu ya soka ya Monaco, Thiago Scuro, amesema wako tayari kumruhusu kiungo Paul Pogba kuondoka klabuni hapo.
Kwa mujibu wa Scuro,...
Na Imani Nathaniel, Gazetini
Mkurugenzi Mkuu wa Halotel Tanzania, Bui Van Thang, ametembelea banda la kampuni hiyo katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa...
WASHINGRON, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema Marekani inaweza kuanzisha mashambulizi mengine makubwa dhidi ya Iran, akidai kuwa operesheni za kijeshi zilizofanyika usiku uliopita...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limetangaza kukatika kwa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Morogoro na Tanga...