Ads: info@gazetini.co.tz |
22.6 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Tanzania yaandika historia kwa upasuaji wa moyo kwa watoto wa Burundi

Na Ramadhan Hassan, Dodoma HOSPITALI ya Benjamin Mkapa (BMH), kwa kushirikiana na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), imeandika historia kwa kufanikisha kwa mara ya...

Uhaba wa mafuta wamfikisha pabaya Rais Putin

MOSCOW, Urusi HALI ni mbaya mjini Moscow juu ya upatikanaji wa nishati ya mafuta. Foleni katika vituo vya mafuta (sheli) imeshuhudiwa kwenye maeneo mengi. Mrundikano huo...

Wachambuzi wa soka wanaolipwa zaidi EPL

LONDON, Uingereza SOKA limekuwa likitoa fursa nyingi. Mathalan, ndani ya klabu, limeajiri viongozi, wachezaji, makocha, madaktari, wapishi, na wafanyakazi wengine. Kwa miaka mingi, limekuwapo kundi la...

Samatta na viatu vyake, Mwakinyo na glovu zake

Samatta na viatu vyake, Mwakinyo na glovu zake Na Hassan Mwasha, Gazetini SAFARI ya Mbwana Samatta na timu ya soka ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars'...

Sikia hii kuhusu Fury, Joshua

LONDON, Uingereza MWAKA huu haiushi. Huenda Tyson Fury na Muingereza mwenzake wa ngumi za uzito wa juu, Anthony Joshua, wakazichapa kama si Oktoba, basi Novemba,...

Huyu hapa daktari anayeua wagonjwa

BERLIN, Ujerumani MAHAKAMA nchini Ujerumani imemuhukumu kifo cha maisha gerezani daktari aliyebainika kuua wagonjwa wake 15, wakiwamo wanawake 12. Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Johannes...

Pogba afunguliwa mlango Monaco

MONACO, Ufaransa MTENDAJI Mkuu wa klabu ya soka ya Monaco, Thiago Scuro, amesema wako tayari kumruhusu kiungo Paul Pogba kuondoka klabuni hapo. Kwa mujibu wa Scuro,...

Yamal awaaga Ronaldo, Neymar

MIAMI, Marekani BAADA ya timu za soka za taifa za Ureno na Brazil, staa wa Hispania, Lamine Yamal, amewatumia ujumbe wa pole Cristiano Ronaldo na...

Mbeya City yabaki Ligi Kuu, kocha  afunguka changamoto waliyopitia

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Mbeya City imefanikiwa kusalia Ligi kuu ya soka ya NBC Tanzania bara kufuatia ushindi wa jumla wa 2-0 dhidi ya...

Mkurugenzi Mkuu Halotel atembelea Sabasaba avutiwa na huduma

Na Imani Nathaniel, Gazetini Mkurugenzi Mkuu wa Halotel Tanzania, Bui Van Thang, ametembelea banda la kampuni hiyo katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa...

Trump atishia kuishambulia tena Iran leo usiku

WASHINGRON, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema Marekani inaweza kuanzisha mashambulizi mengine makubwa dhidi ya Iran, akidai kuwa operesheni za kijeshi zilizofanyika usiku uliopita...

Baadhi ya maneno Morogoro na Tanga kukosa umeme

Na mwandishi wetu, Gazetini SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limetangaza kukatika kwa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Morogoro na Tanga...