30.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Bosi EWURA atumbuliwa

Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) wa Dk. James...

Kounde kutua City, Liverpool au Chelsea?

LONDON, Uingereza KLABU za Manchester City, Liverpool na Chelsea zinapigana vikumbo kuiwania huduma ya beki wa Barcelona raia wa Ufaransa, Jules Kounde. Kounde alitua Barcelona mwaka...

Wapenzi wa jinsia moja sasa jela miaka 10

DAKAR, Senegal RAIA wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, ametia saini kupitisha sheria mpya inayohukumu kifungo cha hadi miaka 10 gerezani kwa wanaojihusisha na mapenzi ya...

Folden ajipange, apewa onyo kali

LONDON, Uingereza KOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel, amemuonya staa wake, Phil Foden, akimwambia hana uhakika wa kuitwa kwenye kikosi kitakachokwenda Kombe...

Arsenal sasa macho kwa Kofane

LONDON, Uingereza WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wameanza kuifukuzia saini ya mashambuliaji wa Bayer Leverkusen ya Bundesliga, Christian Kofane. Arsenal wako kileleni mwa msimamo wa Ligi...

Eritrea wana historia yao AFCON 2027

CAIRO, Misri BAADA ya miaka 19 kupita, timu ya soka ya taifa ya Eritrea imerejea katika hatua ya makundi ya kufuzu fainali zijazo za AFCON...

Italia ina nini? Yashindwa tena kufuzu Kombe la Dunia

MILAN, Italia MABINGWA mara nne wa Kombe la Dunia, timu ya taifa ya Italia, imeshindwa kufuzu fainali za mwaka huu zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico. Hii...

Ndege ya jeshi yapata ajali, 29 wafariki

MOSCOW, Urusi WIZARA ya Ulinzi ya Urusi imethibitisha kifo cha watu 29 walilokuwamo kwenye ndege ya kijeshi iliyopata ajali mjini Crimea. Ndege hiyo ya masafa ya...

Beki huyu kuziba pengo la Maguire

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United imeanza kujipanga na maisha mapya bila mlinzi wake wa kati, Harry Maguire. Ripoti zinaeleza kuwa Man United imejitosa kuiwania saini...

England ya Tuchel yachafua rekodi

LONDON, Uingereza KWA mara ya kwanza katika historia, timu ya soka ya taifa ya England imepoteza mchezo mbele ya wapinzani kutoka Bara la Asia. Ni baada...

Ripoti: Trump anaweza kusitisha mashambulizi dhidi ya Iran

WASHINGTON, Marekani JARIDA la Wall Street Journal linaripoti kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, amewaambia wasaidizi wake kuwa yuko tayari kusitisha operesheni ya kijeshi dhidi...

Serikali yakusanya trilioni 26, Ofisi ya Waziri Mkuu yaomba trilioni 12.5 kwa mwaka 2026/2027

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imekusanya Sh.trilioni 26.63 katika kipindi cha July 2025 hadi February, 2026 kati ya lengo...