Na mwandishi wetu, Gazetini
MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umeendesha mafunzo maalum kwa waandishi wa habari kuhusu masuala ya hifadhi...
Na Malima Lubasha, Gazetini
WADAU mbalimbali wa maendeleo pamoja na taasisi wilayani Serengeti, mkoani Mara, wametakiwa kuwawezesha wanawake wajasiriamali wanaofanya biashara katika Soko Kuu la...
Na mwandishi wetu, Gazetini
DAI: Tangazo linalosambaa mitandaoni likiwaalika wananchi kuomba ajira TANAPA mwaka 2026 kupitia kiunganishi kinachodaiwa kuwa cha uajiri wa Shirika ni tangazo...
WASHINGTON DC, Marekani
VIGOGO wote 57 walioteuliwa na Rais Donald Trump katika awamu yake ya pili madarakani ni matajiri wa kutupwa. Kila mmoja ana utajiri...
LONDON, Uingereza
MKONGWE wa Manchester United, Wayne Rooney, ameishauri klabu hiyo kumsajili 'fasta' nyota wa Arsenal mwenye umri wa miaka 19, Myles Lewis-Skelly.
Rooney anaamini ujio...
CATALUNYA, Hispania
KIUNGO wa kimataifa wa Hispania aliyejiunga na Barcelona akitokea Manchester City, Rodri, amepewa jezi namba 16 katika kikosi cha Wacatalunya hao.
Aliyefichua hayo si...
LONDON, Uingereza
WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Andy Burnham, amesema Serikali yake inaiunga mkono Ukraine kwa asilimia 100 na itaendelea kufanya hivyo.
Kauli yake hiyo inakuja baada...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NI safari ya miaka takribani saba, ikianza kama ndoto iliyobeba maono makubwa ya kuimarisha hali ya upatikaji wa huduma ya uhakika...
LONDON, Uingereza
BAADA ya kuondoka Liverpool mwishoni mwa msimu uliopita (2025-26), Mohamed Salah amesaini mkataba wa miaka miwili na Trabzonspor ya Ligi Kuu ya Uturuki.
Uamuzi...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameionya Oman akisema hatosita kutuma jeshi lake kuishambulia kwa mabomu endapo itaendelea kujihisha na mgogoro wa Iran.
Wakati...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SEKTA hii itachukua nafasi muhimu katika kuendesha maendeleo ya Tanzania, hususan katika maeneo ya biashara, huduma za ukarimu, na huduma zingine...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KAMA zilivyo zingine, sekta hii nayo itakuwa kichocheo muhimu cha mageuzi ya kiuchumi ifikapo mwaka 2050. Kwanini?
Mahitaji ya huduma za kifedha,...