Ads: info@gazetini.co.tz |
22.4 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Saudia ilivyobaki njiapanda vita vya Iran

RIYADH, Saudi Arabia SAUDI Arabia imebaki njiapanda. Tangu Marekani na Israel zilipoungana kuishambulia Iran, Saudia ilijiweka mbali na mgogoro huo. Haikutaka kujihusisha wala kuhusishwa. Hata hivyo,...

Wageni watakaza au watarudi ‘mchangani’ EPL 2026-27?

LONDON, Uingereza KAMA ilivyo kawaida, katika kila msimu mpya wa Ligi Kuu ya England (EPL), huwa kuna timu tatu zilizopanda daraja. Safari hii (2026-27), ni...

Vita ya makocha wapya EPL 2026-27

LONDON, Uingereza MSIMU mpya wa Ligi Kuu ya England (EPL) utaanza Agosti 21, 2026, ukitarajiwa kumalizika Mei 30, 2027. Ni msimu wa 35 tangu michuano...

Mjukuu wa Idi Amin na ndoto za ‘kuiteka’ dunia

KAMPALA, Uganda NDOTO kubwa aliyonayo Aziz Abdul, ambaye ni mjukuu wa Rais wa zamani wa Uganda, Idi Amin, ni kuiteka dunia kupitia mchezo wa ngumi....

Mahakama ya Rufani yakataa maombi ya DPP kesi ya Lissu

Na mwandishi wetu, Gazetini MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameibuka mshindi tena dhidi ya Jamhuri katika hatua nyingine ya kesi...

IRGC: Hormuz haitafunguliwa vitisho dhidi ya Iran vikiendelea

TEHRAN, Iran Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limetangaza kuwa Mlango Bahari wa Hormuz hautafunguliwa kikamilifu ikiwa vitisho vya kijeshi na...

Besigye alazwa ICU baada ya kuanguka mahakamani

KAMPALA, Uganda KIONGOZI mkongwe wa upinzani nchini Uganda, Dk. Kizza Besigye, amelazwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU) mjini Kampala baada ya kuanguka na kupoteza...

Ajali ya pikipiki yaua staa wa muziki

DUBLIN, Ireland SUPASTAA wa muziki nchini Ireland, Glen Hansard, amepoteza Maisha katika ajali ya pikipiki mjini Dublin. Hansard (56), ambaye ni mshindi wa tuzo za Oscar,...

Kesi kifo cha Tupac bado ya moto

LOS ANGELES, Marekani MAHAKAMA mjini Nevada, Marekani, imetaka mahojiano ya mtuhumiwa wa mauaji ya rapa Tupac Shakur, Duane Davis 'Keffe D' yawasilishwe kama ushahidi wakati...

Klabu 5 zinazomsubiri Ferran Torres

LONDON, Uingereza KATIKA fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zilizomalizika hivi karibuni, Ferran Torres ndiye aliyefunga bao pekee lililoipa ubingwa timu ya...

Vita vinavyozitajirisha kampuni za AI

Na mwandishi wetu, Gazetini MSEMO wa 'vita ni akili' umedhihirishwa na namna mataifa mengi, hasa makubwa kiuchumi, yanavyotumia akili-unde (Artificial Intelligence - AI) kuwadhibiti wapinzani...

Italia ya ‘mababu’ Mancini, Ranieri itavuna nini?

MILAN, Italia ROBERTO Mancini ameajiriwa na kuikuta timu ya soka ya Taifa ya Italia ikiwa kwenye hali mbaya. Haijafuzu Kombe la Dunia kwa misimu yote...