TEHRAN, Iran
WIZARA ya Afya ya Iran imeeleza kuwa watu zaidi ya 1,300 wamefariki na wengine zaidi ya 9,000 kujeruhiwa tangu nchi hiyo ilipoingia kwenye...
Na mwandishi wetu, Gazetini
DUNIA inaendelea kushuhudia mageuzi makubwa ya teknolojia yanayobadilisha namna shughuli mbalimbali zinavyotekelezwa kila siku, huku sehemu kubwa ya maendeleo hayo ikilenga...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TANZANIA imepiga hatua kubwa katika kupunguza athari za malaria, huku takwimu za hivi karibuni zikionyesha kupungua kwa vifo, maambukizi na wagonjwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SERIKALI imesema jumla ya watu 3,557 wamepata ajali wakiwa kazini katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2023 hadi 2025, huku watu...
Na mwandishi wetu, Gazetini
JUMLA ya watoto na vijana wapatao 75,500 wanatarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa ugonjwa wa selimundu (sikoseli) ili kubaini mapema hali zao za...
Mantra Tanzania Limited has proudly welcomed ten newly trained equipment operators to support the next phase of development at the Mkuju River Project in...
BERLIN, Ujerumani
TIMU ya soka ya wanawake ya Arsenal ndiyo mabingwa watetezi na sasa wataivaa Lyon katika hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa...
WASHINGTON DC, Marekani
KIPENZI cha Rais Donald Trump, Nicki Minaj ni miongoni mwa mastaa wa muziki watakaohudhuria halfa ya chakula cha jioni itakayofanyika kesho Aprili...
LONDON, Uingereza
BEKI wa kati wa zamani wa Chelsea, William Gallas, anaamini Diego Simeone ndiye kocha sahihi wa kupewa mikoba ya kuinoa timu hiyo.
Chelsea wanahitaji...
EDINBURGH, Scotland
SARATANI ya kizazi ni moja ya saratani nne zinazotesa wanawake duniani, ikihusishwa pia na vifo vingi kwa jinsia hiyo.
Hata hivyo, hadithi ni tofauti...
CAIRO, Misri
WIKI sita za vita kati ya Marekani na Israel zinazoishambulia Iran imesababisha mtikisiko mkubwa katika sekta ya usafiri wa anga barani Afrika. Makala...