TEHRAN, Iran
MAMLAKA za Iran zimetangaza hatua yake ya kuufunga kwa mara nyingine Mlango-Bahari wa Hormuz, huku ikilaani mashambulizi ya Israel nchini Lebabon.
Hatua hiyo ya...
MILAN, Italia
IKIWA ni miaka 11 imepita tangu alipotangaza kustaafu, kiungo wa zamani wa Barcelona, Ronaldinho, amerejea dimbani.
Ronaldinho (46), amesajiliwa na klabu ya Ravenna inayoshiriki...
MADRID, Hispania
BEGONA Gomez ambaye ni mke wa Waziri Mkuu wa Hispania, Pedro Sanchez, amewekewa zuio la kusafiri nje ya nchi wakati huu akikabiliwa na...
LOS ANGELES, Marekani
PRODYUZA aliyewahi kuwania tuzo za Grammy, Tay Keith, ameripotiwa kufariki akiwa na umri wa miaka 29.
Tay mkazi wa Nashville alijijengea jina kubwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 akiwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KOCHA wa Azam FC, Florent Ibenge, amegoma kuanika mbinu za kiufundi atakazozitumia katika mchezo wao dhidi ya Yanga.
Timu hizo zitakutana kesho...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MFUKO wa Barabara (RFB) umesema tozo zinazotozwa kwenye mafuta ya petroli na dizeli ndizo chanzo kikuu cha fedha zinazowezesha matengenezo ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Lazaro Twange, amewaondoa hofu wananchi kuhusu matumizi ya nishati ya umeme katika vyombo...