Na mwandishi wetu, Gazetini
TANZANIA imebaki katika nafasi yake ya 112 kwenye viwango vipya vya ubora wa soka duniani vya Shirikisho la Soka la Kimataifa...
WASHINGTON DC, Marekani
SERIKALI ya Marekani imeitaka Iran kuacha mara moja kuendeleza udhibiti wake katika Mlango-Bahari wa Hormuz.
Katika agizo hilo, Marekani imezitaka mamlaka za Iran...
NASSAU, Bahamas
AJALI ya ndege ndogo nchini Bahamas imesababisha vifo vya abiria tisa, pamoja na rubani wao, mamlaka za nchi hiyo zimeeleza.
Ndege hiyo ilikuwa ikifanya...
LONDON, Uingereza
KWA miaka mingi, wachezaji wa kandanda wamekuwa na ukaribu mkubwa na mchezo wa mashindano ya mbio za magari.
Mbali na mambo mengine, mara kadhaa...
MANCHESTER, Uingereza
KOCHA mpya wa Manchester City, Enzo Maresca, atatua na watu wapya saba kwenye benchi la ufundi la timu hiyo.
Maresca ameajiriwa Etihad na kusaini...
NEW YORK, Marekani
SARATANI ni ugonjwa unaosababisha vifo 26,000 kila mwaka lakini idadi hiyo inatarajiwa kuongezeka mara mbili ifikapo mwaka 2050.
Hiyo ni kwa mujibu wa...
na mwandishi wetu, Gazetini
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limepokea malori 214 kutoka kampuni ya Isuzu East Africa kupitia Al Mansour Auto EA Tanzania kwa...
LOS ANGELES, Marekani
ZIMEIBUKA ripoti zinazodai kuwa kipa wa kimataifa wa Nigeria, Maduka Okoye, 'anatoka' na bibiye mwenye jina kubwa katika muziki wa Hip hop...
BOSTON, Marekani
KATIKA mchezo wa robo fainali uliozikutanisha Ufaransa na Morocco, Facundo Tello raia wa Argentina ndiye aliyekuwa mwamuzi wa kati.
Sasa, weka kando 'ishu' ya...
MIAMI, Marekani
WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, baadhi ya wanasoka wenye majina makubwa wametangaza kustaafu muda mfupi tu baada ya timu zao...
LONDON, Uingereza
WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL 2026-27) nao uko njiani.
Kama ilivyo kawaida, msimu...
LAGOS, Nigeria
POLISI nchini Nigeria wanamshikilia Dj maarufu, Chicken, akitajwa kumtishia maisha mtoto wa Rais Bola Tinubu, Seyi.
Kabla ya kukamatwa kwake, Dj Chicken alitumia siku...