Ads: info@gazetini.co.tz |
22.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Maajabu ya mfungwa mzee zaidi, aliwahi kutoroka gerezani

NEW YORK, Marekani ANAITWA Francis Clifford Smith. Alipofariki Juni, 2026, alikuwa ndiye mfungwa mwenye umri mkubwa zaidi nchini Marekani. Miaka 101. Smith alihukumiwa kwa makosa ya...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti, na udikteta wake (5)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu iliyopita, aliyekuwa Waziri wa Afya katika uongozi wa Idi Amin, Henry Kyemba, alisimulia kupitia Kitabu chake cha 'State of...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti, na udikteta wake (4)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya tatu ya mfululizo wa makala haya, tuliona namna Idi Amin akiwa Mkuu wa Majeshi alivyopindua Serikali ya Rais...

Yanga mwendo mdundo, yaikaanga Coastal Union

Na mwandishi wetu, Gazetini MABINGWA watetezi msimu huu wa Ligi Kuu Bara, Yanga, wameshinda mechi yao ya pili kwa kuifunga Coastal Union mabao 4-1. Matokeo hayo...

Walcott: Liverpool itaisumbua Arsenal

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI wa zamani wa Arsenal, Theo Walcott, ameitaja Liverpool kama timu anayoona itawapa ushindani mkali katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya...

Lebanon yamkabidhi mshirika wa Al-Assad

BEIRUT, Lebanon MAMLAKA za Lebanon zimemkamata na kumkabidhi nchini Syria aliyekuwa jenerali wa jeshi wakati wa utawala wa Rais Bashar al-Assad. Meja Jenerali huyo, Adel Issa,...

Marekani, ICC bado mambo magumu

NEW YORK, Marekani MAPEMA wiki hii, Katibu Mkuu wa Marekani, Marco Rubio, aliijia juu Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), akiita kuwa ni yenye kuendeshwa...

Mpinzani wa Putin aliyehukumiwa miaka 11 gerezani

MOSCOW, Urusi MWANASIASA mwandamizi wa upinzani kupitia Chama cha Yabloko, Lev Shlosberg, anafahamika kwa matamko yake ya kuikosoa Serikali ya Rais Vladimir Putin. Kati ya mambo...

Nchi zinazoshirikiana na Iran zaonywa

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amezitaka kujiandaa na kibano nchi zitakazoipa ushirikiano Iran. Kauli hiyo ni mwendelezo wa uhusiano mbaya uliopo kati...

Marekani yavunja rekodi ya Deni la Taifa

WASHINGTON DC, Marekani DENI la Taifa la Marekani limefikia Dola trilioni 40, kiasi kikubwa zaidi cha fedha katika historia ya nchi hiyo, huku lawama zikielezwa...

Lewandowski kurudi Barcelona

CATALUNYA, Hispania IMEFICHUKA kuwa uongozi wa klabu ya Barcelona unaangalia uwezekano wa kumrejesha kundini mshambuliaji wake tishio, Robert Lewandowski. Lewandowksi aliyeondoka Barcelona majira haya ya kiangazi,...

Uratibu wa maafa sasa kidijitali zaidi, Serikali yawaita wadau

Na Hassan Mwasha, Gazetini AGOSTI 19 ya kila mwaka, Tanzania, kama zilivyo nchi zingine duniani, huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Misaada ya Kibinadamu. Kwa kuyataja...