Ads: info@gazetini.co.tz |
24.4 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Refa aliyetoswa Kombe la Dunia kuamua fainali ya Arsenal, PSG

LONDON, Uingereza WIKIENDI hii, Washika Bunduki wa London, Arsenal, na matajiri wa Paris, PSG, watavaana katika mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Vita hiyo...

Serengeti Boys v Senegal: Ni fainali ya aina gani AFCON?

Na mwandishi wetu, Gazetini TIMU ya soka ya Taifa ya U-17 ya Tanzania, Serengeti Boys, itashuka dimbani wikiendi hii, Juni 2, 2026, kumenyana na Senegal...

Baada ya kufukuzwa Kaizer, kocha Yanga aibukia huku

PRETORIA, Afrika Kusini ZIKIWA ni siku chache tu zimepita tangu kocha wa zamani wa Yanga, Cedric Kaze, afukuzwe Kaizer Chiefs, ameanza mazungumzo na Sekhukhune United...

Barca kumlipa Gordon mshahara wa bil. 21.4/-

CATALUNYA, Hispania WINGA wa kimataifa wa England, Anthony Gordon, amejiunga na Barcelona na mshahara wake ni euro milioni saba (zaidi ya Sh bil. 21.4 za...

Tume ya Taifa ya Mipango yaongoza mjadala wa Afrika kujitegemea kiuchumi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TUME ya Taifa ya Mipango imeongoza mjadala wa wanazuoni na wadau mbalimbali kuhusu mustakabali wa maendeleo na kujitegemea kiuchumi kwa nchi...

Yametimia! Mourinho asaini miaka mitatu Madrid

MADRID, Hispania NI rasmi Real Madrid imemrejesha Jose Mourinho kuwa kocha wao mpya na Mreno huyo amesaini mkataba wa miaka mitatu Hata hivyo, 'Special One' mwenye...

Búlamu ya Sela Mulonda yazidi kupeta

Na Christopher Msekena, Gazetini MSANII wa muziki wa Injili anayeishi Ireland, Sela Mulonda, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa wimbo wake mpya ya Búlamu. Sela Mulonda mwenye...

Waislamu Serengeti watakiwa kudumisha umoja

Na Malima Lubasha, Serengeti WAUMINI wa dini ya Kiislamu wilayani Serengeti mkoani Mara wametakiwa kuendeleza ibada, kudumisha umoja, upendo na mshikamano ili kuendelea kulinda amani...

Viongozi 16,000 wa elimu kunufaika na mafunzo ya uongozi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Mwanza Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais-TAMISEMI imezindua rasmi programu ya mafunzo ya uongozi...

Serikali yatambua mchango wa JET katika uhifadhi wa mazingira

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI kupitia Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetunuku Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) tuzo...

Miaka 17 baada ya kifo, filamu ‘yamrudisha’ Michael Jackson

LOS ANGELES, Marekani NI miaka 17 imepita tangu staa wa muziki wa Pop, Michael Jackson, alipofariki Juni 25, 2009, lakini sasa ni kama amezaliwa upya...

Afrika na ndoto ya Pele fainali za Kombe la Dunia 2026

CAIRO, Misri MKONGWE wa soka la Brazil, Pele, aliwahi kutabiri kuwa siku moja Kombe la Dunia litatua Afrika. Alisema hilo lingetokea mwaka 2000. Isivyo habari,...