LONDON, Uingereza
WIKIENDI hii, Washika Bunduki wa London, Arsenal, na matajiri wa Paris, PSG, watavaana katika mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Vita hiyo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TIMU ya soka ya Taifa ya U-17 ya Tanzania, Serengeti Boys, itashuka dimbani wikiendi hii, Juni 2, 2026, kumenyana na Senegal...
PRETORIA, Afrika Kusini
ZIKIWA ni siku chache tu zimepita tangu kocha wa zamani wa Yanga, Cedric Kaze, afukuzwe Kaizer Chiefs, ameanza mazungumzo na Sekhukhune United...
CATALUNYA, Hispania
WINGA wa kimataifa wa England, Anthony Gordon, amejiunga na Barcelona na mshahara wake ni euro milioni saba (zaidi ya Sh bil. 21.4 za...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
TUME ya Taifa ya Mipango imeongoza mjadala wa wanazuoni na wadau mbalimbali kuhusu mustakabali wa maendeleo na kujitegemea kiuchumi kwa nchi...
MADRID, Hispania
NI rasmi Real Madrid imemrejesha Jose Mourinho kuwa kocha wao mpya na Mreno huyo amesaini mkataba wa miaka mitatu
Hata hivyo, 'Special One' mwenye...
Na Christopher Msekena, Gazetini
MSANII wa muziki wa Injili anayeishi Ireland, Sela Mulonda, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa wimbo wake mpya ya Búlamu.
Sela Mulonda mwenye...
Na Malima Lubasha, Serengeti
WAUMINI wa dini ya Kiislamu wilayani Serengeti mkoani Mara wametakiwa kuendeleza ibada, kudumisha umoja, upendo na mshikamano ili kuendelea kulinda amani...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Mwanza
Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais-TAMISEMI imezindua rasmi programu ya mafunzo ya uongozi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
SERIKALI kupitia Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetunuku Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) tuzo...
LOS ANGELES, Marekani
NI miaka 17 imepita tangu staa wa muziki wa Pop, Michael Jackson, alipofariki Juni 25, 2009, lakini sasa ni kama amezaliwa upya...
CAIRO, Misri
MKONGWE wa soka la Brazil, Pele, aliwahi kutabiri kuwa siku moja Kombe la Dunia litatua Afrika. Alisema hilo lingetokea mwaka 2000. Isivyo habari,...