Ads: info@gazetini.co.tz |
23.5 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Rais Trump afichua Waziri Mkuu wa Uingereza kujiuzulu

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amedai kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, anajiandaa kujiuzulu. “Keir Starmer atajiuzulu katika nafasi yake ya Waziri...

Simba: Azam siyo mbaya ila tulimtaka ‘my’ wetu

Na mwandishi wetu, Gazetini BAADA ya kuitazama Azam ikiifunga Yanga na kutinga fainali ya Kombe la FA, mashabiki wa Simba wameonesha kutoridhishwa na matokeo hayo. Yanga...

Mabeberu, majirani wanavyopishana ‘kuchota utajiri’ wa DRC

Na mwandishi wetu, Gazetini WAKATI wengine wakiamini DRC imefeli katika diplomasia na ulinzi, vita vinavyoendelea nchini humo vinahusishwa pia na hila za mataifa makubwa duniani. Kwamba...

Muller aitaka United kumchukua Manzambi

MUNICH, Ujerumani LEJENDARI wa Bayern Munich, Thomas Muller, ameishauri klabu ya Manchester United kumsajili kiungo wa Freiburg, Johan Manzambi. Ushauri wa Muller umetokana na kiwango kizuri...

Ujerumani nayo yatinga 32 Bora

NEW YORK, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Ujerumani imeungana na zingine mbili kutinga hatua ya 32 Bora ya fainali za Kombe la Dunia...

Huyu ndiye Dk. Suzanne wa Kombe la Dunia 2026

CALIFORNIA, Marekani FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zimeshuhudia historia nyingi zikiandikwa lakini moja ya hizo ni uwepo wa Dk. Suzanne Huurman. Katika...

Neymar mzigoni kuivaa Scotland

MEXICO CITY, Mexico KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti, amethibitisha kuwa mshambuliaji wake, Neymar, anaweza kuwa fiti kuivaa Scotland katika...

Marekani yajitoa mapambano dhidi ya Ukimwi Afrika Kusini

WASHINGTON DC, Marekani SERIKALI ya Marekani imetangaza kusitisha ufadhili wa programu zote za mapambano dhidi ya Ukimwi nchini Afrika Kusini. Afrika Kusini inaongoza duniani kwa kuwa...

Tunawataka! Simba yatangulia ikiisubiri Yanga fainali FA

Na mwandishi wetu, Gazetini SIMBA SC imekuwa ya kwanza kutanguliza mguu fainali ya Kombe la FA na sasa inasubiri mshindi kati ya Yanga na Azam...

Iran yafunga tena Hormuz, yaitaja Israel

TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza hatua yake ya kuufunga kwa mara nyingine Mlango-Bahari wa Hormuz, huku ikilaani mashambulizi ya Israel nchini Lebabon. Hatua hiyo ya...

Ronaldinho arudi uwanjani, asajiliwa Daraja la Tatu

MILAN, Italia IKIWA ni miaka 11 imepita tangu alipotangaza kustaafu, kiungo wa zamani wa Barcelona, Ronaldinho, amerejea dimbani. Ronaldinho (46), amesajiliwa na klabu ya Ravenna inayoshiriki...

Mke wa Waziri Mkuu azuiwa kusafiri nje ya nchi

MADRID, Hispania BEGONA Gomez ambaye ni mke wa Waziri Mkuu wa Hispania, Pedro Sanchez, amewekewa zuio la kusafiri nje ya nchi wakati huu akikabiliwa na...