MUNICH, Ujerumani
MLINDA mlango wa Bayern Munich, Manuel Neuer, amefikisha mechi 136 akiwa kikosi cha kwanza cha timu hiyo.
Idadi hiyo ni sawa na aliyokuwa nayo...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Chelsea imeonesha kuvutiwa na mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Darwin Nunez.
Nunez raia wa Uruguay aliondoka Anfield mwaka jana na kutua Al-Hila...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameionya Iran kuwa inaweza “kuangamizwa ndani ya usiku mmoja” endapo haitafikia makubaliano kabla ya muda wa mwisho...
LYON, Ufaransa
MAMEYA na wawakilishi waandamizi wa Serikali za mitaa kutoka sehemu mbalimbali duniani Aprili6, 2026 wamekutana jijini Lyon nchini Ufaransa na kuzindua muungano wa...
LONDON, Uingereza
ARSENAL wanaangalia uwezekano wa kuanza na mshambuliaji wa Barcelona, Dani Olmo, pindi tu dirisha kubwa la usajili la kiangazi litakapofunguliwa.
Ripoti zinaeleza kuwa Arsenal...
LONDON, Uingereza
WAANDAAJI wa Tamasha la Wireless wametangaza kufutwa kwa tamasha la mwaka huu kufuatia uamuzi wa serikali ya Uingereza kumzuia msanii maarufu YE, anayejulikana...
KAMPALA, Uganda
SERIKALI ya Marekani imewahamishia nchini Uganda wahamiaji haramu nane, ukiwa ni utekelezaji wa mkataba uliosaniwa mwaka jana kati ya mataifa hayo.
Wizara ya Mambo...
LONDON, Uingereza
WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wanapewa nafasi kubwa ya kumsajili mshambuliaji wa RB Leipzig ya Bundesliga, licha ya Liverpool nao kumtolea macho.
Nyota huyo...
MANCHESTER, Uingereza
MANCHESTER United imetenga kitita cha Pauni milioni 39 ili kufanikisha usajili wa kiungo wa Villarreal, Pape Gueye.
Gueye amekuwa na msimu mzuri, ambapo amefunga...
MERSEYSIDE, Uingereza
KLABU ya Liverpool iko katika hatua nzuri ya kumsainisha mkataba mpya beki wake wa kati raia wa Ufaransa, Ibrahima Konate.
Konate alijiunga na Liverpool...
MANCHESTER, Uingereza
PEP Guardiola na vijana wake wa Manchester City wameandika historia ya aina yake baada ya ushindi wa mabao 4-0 walioupata dhidi ya Liverpool.
Erling...
MADRID, Hispania
NEWCASTLE United imeingia kwenye harakati za kumsajili straika wa Real Madrid, Gonzalo Garcia.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22, amecheza mechi 32 za...