Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini, LATRA, imewataka wasafirishaji nchini kuwa watulivu na kuepuka kupandisha nauli kiholela kutokana na ongezeko la bei...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MWIMBAJI maarufu duniani, Céline Dion, ametangaza rasmi kurejea jukwaani, miaka minne baada ya kugundulika kuwa na ugonjwa sugu uliomuathiri sauti yake...
Na Mwandishi Wetu
RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itachukua hatua kama ilivyoelekezwa na sheria na kama ilivyopendekezwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MKURUGENZI wa ufundi Shirikisho la Mpira wa Miguu kwa Watu wenye Ulemavu (TAFF), Shaban Msangi ameitembelea timu mpya ya soka kwa...
Na Mwandishi Wetu
MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Kilwa Kusini, Mkoani Lindi, Selemani Bungara maarufu Bwege amefariki leo mchana Machi 30,2026 wakati akipatiwa matibabu...
Na Mwandishi Wetu
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere imeanika mapungufu katika mchakato wa ununuzi na ujenzi wa...
Na Mwandishi Wetu
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema deni la Serikali limeongezeka na kufikia sh. trilioni 110, hali...
LONDON, Uingereza
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, amesema wazi kuwa nchi yake haitapeleka wanajeshi nchini Iran, akisisitiza kuwa Uingereza haitajiingiza moja kwa moja katika...
Na mwadishi wetu, Gazetini
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imebaini kuwa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limeendelea kupata hasara...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, amesema makaa ya mawe yana nafasi ya kimkakati katika kuharakisha mageuzi ya uchumi wa Tanzania kuelekea...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Crispin Chalamila, amesema uchunguzi wa awali umebaini kuwapo kwa mtandao...