LOS ANGELES, Marekani
SIO jambo geni kwamba mastaa wa Hip hop nchini Marekani, Curtis Jackson '50 Cent' na Sean Combs 'Diddy', wamekuwa kwenye uhusiano mbaya...
AMSTERDAM, Uholanzi
KWA Taifa kama Uholanzi, ambalo historia yake ya kuzalisha vipaji vikubwa vya soka inafahamika, inaweza kushangaza kuona haijwahi kutwaa ubingwa wa Kombe la...
JERUSALEM, Palestina
JESHI la Israel limetangaza kufanya shambulizi katika Ukanda wa Gaza na kumuua kiongozi wa wapiganaji wa Kundi linalohusishwa na ugaidi la Hamas.
Taarifa ya...
LAGOS, Nigeria
MWANAMUZIKI wa Afrobeats nchini Nigeria, Ice Prince Zamani, amedai kuwa alitumia Naira milioni 340 (zaidi ya Sh mil. 630 za Tanzania) kununua bangi.
Akihojiwa...
MERSEYSIDE, Uingereza
KLABU ya Aston Villa imejitosa katika mbio za kuiwania huduma ya kiungo wa Liverpool raia wa England, Joe Gomez.
Baada ya kutwaa ubingwa wa...
CATALUNYA, Hispania
KLABU ya Barcelona imeripotiwa kuingia kwenye hatua za mwisho za kumsajili winga wa Newcastle United, Anthony Gordon, ambaye pia anazitoa udenda Arsenal na...
LONDON, Uingereza
KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, ana imani kubwa na kikosi chake, akisema wamejipanga kuikabili PSG na kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
WAKATI Uganda na Kenya zikiwa zimeshapata mabingwa wa msimu huu katika Ligi Kuu zao, hapa nchini bado 'ugali moto, mboga moto'...