Ads: info@gazetini.co.tz |
24.4 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

50 Cent, Diddy uadui wao tangu kitambo!

LOS ANGELES, Marekani SIO jambo geni kwamba mastaa wa Hip hop nchini Marekani, Curtis Jackson '50 Cent' na Sean Combs 'Diddy', wamekuwa kwenye uhusiano mbaya...

Uholanzi na ndoto isiyotimia Kombe la Dunia

AMSTERDAM, Uholanzi KWA Taifa kama Uholanzi, ambalo historia yake ya kuzalisha vipaji vikubwa vya soka inafahamika, inaweza kushangaza kuona haijwahi kutwaa ubingwa wa Kombe la...

Max Dowman: Kinda wa Arsenal aliyevunja rekodi kibao EPL

LONDON, Uingereza MSIMU wa 2025-26 haukuwa mzuri tu kwa Arsenal, bali pia umeacha alama kubwa katika safari ya soka la kulipwa ya kinda wao raia...

Israel yatangaza kumuua kamanda wa Hamas

JERUSALEM, Palestina JESHI la Israel limetangaza kufanya shambulizi katika Ukanda wa Gaza na kumuua kiongozi wa wapiganaji wa Kundi linalohusishwa na ugaidi la Hamas. Taarifa ya...

Lil Wayne anasa kwa ‘kitoto cha 2000’

LOS ANGELES, Marekani BAADA ya Lil Wayne kuachana na mpenzi wake wa muda mrefu, Denise Bidot, staa huyo wa muziki wa Hip hop ameripotiwa kuangukia...

Pochettino atangaza ‘jeshi’ lake Kombe la Dunia

LOS ANGELES, Marekani KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Marekani, Mauricio Pochettino, ameita kikosi cha wachezaji 26 kwa ajili ya fainali za Kombe...

Zifahamu sheria, kanuni mpya Kombe la Dunia 206

NYON, Uswis NI siku chache tu zimebaki kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia, ambazo kwa mara ya kwanza zitafanyika katika nchi tatu...

Staa Nigeria afunguka kuvuta bangi za Mil. 630/-

LAGOS, Nigeria MWANAMUZIKI wa Afrobeats nchini Nigeria, Ice Prince Zamani, amedai kuwa alitumia Naira milioni 340 (zaidi ya Sh mil. 630 za Tanzania) kununua bangi. Akihojiwa...

Gomez wa Liverpool aibukia Aston Villa

MERSEYSIDE, Uingereza KLABU ya Aston Villa imejitosa katika mbio za kuiwania huduma ya kiungo wa Liverpool raia wa England, Joe Gomez. Baada ya kutwaa ubingwa wa...

Barcelona mbioni kumchukua Gordon

CATALUNYA, Hispania KLABU ya Barcelona imeripotiwa kuingia kwenye hatua za mwisho za kumsajili winga wa Newcastle United, Anthony Gordon, ambaye pia anazitoa udenda Arsenal na...

Arteta: PSG hawasumbui, tumejipanga

LONDON, Uingereza KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, ana imani kubwa na kikosi chake, akisema wamejipanga kuikabili PSG na kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya...

Uganda, Kenya macho yote Yanga, Simba vita ya ubingwa Ligi Kuu Bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini WAKATI Uganda na Kenya zikiwa zimeshapata mabingwa wa msimu huu katika Ligi Kuu zao, hapa nchini bado 'ugali moto, mboga moto'...