Ads: info@gazetini.co.tz |
22.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Kane, Alvarez nani kuziba pengo la Lewandowski?

CATALUNYA, Barcelona BADO mabosi wa Barcelona wanaumiza vichwa kujua ni straika yupi sahihi kati ya Julian Alvarez wa Atletico Madrid na Harry Kane wa Bayern...

Mahrez saini yake dili Serie A

MILAN, Italia JINA la winga wa kimataifa wa Algeria, Riyad Mahrez, limeingia kwenye rada za mabosi wa klabu kubwa za Ligi Kuu ya Italia (Serie...

Maajabu ya uwanja huu wa Kombe la Dunia 2026

MEXICO CITY, Mexico UWANJA wa Azteca unaopatikana Kusini mwa Mji Mkuu wa Mexico, Mexico City. Ni moja ya viwanja vya soka vyenye historia ya aina...

Nani haogopi kuchukua fomu ya urais Yanga?

Na Hassan Mwasha, Gazetini YANGA wanaelekea katika Uchaguzi Mkuu, ambapo mchakato huo wa kidemokrasia unatarajiwa kufanyika Agosti 2, 2026. Ukiwa ni mwezi mmoja kabla ya Uchaguzi,...

PPAA yashughulikia rufaa 58 kati ya 60 mwaka wa fedha 2025/26

-Yaiwezesha Serikali kupata thamani halisi ya fedha-Wadau ununuzi wa umma 2,600 wafikiwa mafunzo matumizi ya moduli Na Mwandishi wetu, Gazetini Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za...

Samatta astaafu kuichezea Taifa Stars

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Mbwana Samatta ametangaza kustaafu kuichezea timu hiyo aliyoitumikia kwa zaidi ya miaka...

Kane, Haaland kutunishia misuli robo fainali

LONDON, Uingereza NI rasmi sasa timu ya soka ya Taifa ya England itavaana na Norway katika hatua inayofuata ya robo fainali. Ni michuano ya Kombe la...

Mastaa wa soka wenye elimu kubwa duniani

LONDON, Uingereza KIUNGO wa zamani wa klabu za Valencia, Manchester United na Chelsea, Juan Mara, yumo kwenye orodha hii, akiwa na Shahada (Digrii) mbili. Digrii yake...

Pato: Baada ya kustaafu, siku hizi anakula maisha ukweni

RIO, Brazil UNAMKUMBUKA Alexandre Pato, kiungo wa zamani wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil 'Selecao'? Alianza safari yake ya soka la kulipwa akiwa Internacional...

Beckham na mitego yake ya pesa inayompa maisha ya kibosi

LONDON, Uingereza MEI, 2026, Gazeti la Sunday Times lilimtaja David Beckham kuwa ndiye mwanamichezo pekee wa Uingereza aliyefikia hadhi ya kuitwa bilionea. Kwa mujibu wa chanzo...

Neymar astaafu Brazil ikitolewa

MIAMI, Marekani NEYMAR ametangaza rasmi kustaafu kuitumikia timu ya soka ya Taifa ya Brazil, uamuzi uliokuja baada ya kikosi hicho kutolewa kwenye fainali za Kombe...

Waasi washambulia kambi ya jeshi

BAMAKO, Mali KIKUNDI cha waasi nchini Mali kimeishambulia kambi ya jeshi, pamoja na gereza, katika maeneo ya Kaskazini, Kati na Kusini, jirani na Mji Mkuu...