Ads: info@gazetini.co.tz |
31.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Walioingia, waliotoka usajili kiangazi England – ASTON VILLA

LONDON, Uingereza DIRISHA kubwa la usajili wa kiangazi lilifungwa usiku wa juzi, Septemba 1, 2026 baada ya miezi zaidi ya mitatu tangu klabu mbalimbali za...

Walioingia, waliotoka usajili kiangazi England – ARSENAL

LONDON, Uingereza DIRISHA kubwa la usajili wa kiangazi lilifungwa usiku wa juzi, Septemba 1, 2026 baada ya miezi zaidi ya mitatu tangu klabu mbalimbali za...

Davido: Nitaacha muziki nitafute pesa

LAGOS, Nigeria SUPASTAA wa muziki wa Afrobeats, Davido, amefichua kuwa atastaafu hivi karibuni ili apate muda mwingi wa kutengeneza mabilioni. Davido amekuja na kauli hiyo kupitia...

Crouch atabiri Chelsea ‘kuiua’ Arsenal

LONDON, Uingereza STRAIKA wa Chelsea, Peter Crouch, ameitabiri ushindi timu hiyo katika mchezo wao wa wikiendi hii dhidi ya Washika Bunduki wa London, Arsenal. Timu hizo...

Arsenal, Chelsea vita nzito wikiendi hii

LONDON, Uingereza JUMAPILI ya wiki hii, Septemba 5, 2026, Arsenal watakuwa katika Uwanja wao wa Emirates kumenyana na Chelsea kwenye 'derby' ya Jiji la London. Ifahamike...

City yampa Enzo jezi ya De Bruyne

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester City imethibitisha jezi namba 17 kuwa itavaliwa na nyota wao mpya kutoka Chelsea, Enzo Fernandes. Jezi namba 17 katika klabu ya...

Ferdinand ataja usajili bora England

LONDON, Uingereza NAHODHA wa zamani wa Manchester United, Rio Ferdinand, amesema usajili bora wa kipindi hiki cha kiangazi ni ule wa winga mpya wa Arsenal,...

Waliouawa Gaza wafikia 900, watoto 301

JERUSALEM, Palestina WATU zaidi ya 900, wakiwamo watoto 301, wameuawa katika Ukanda wa Gaza na idadi hiyo ni kwa mwaka 2026 pekee. Takwimu hizo zimetolewa na...

Straika aondoka United, atua Uholanzi

MANCHESTER, Uingereza STRAIKA Chido Obi ameondoka rasmi katika klabu ya Manchester United na kujiunga na Willem II ya Uholanzi kwa mkataba wa mkopo wa msimu...

Tiger Woods apigwa marufuku kuendesha gari

LOS ANGELES, Marekani STAA wa mchezo wa gofu nchini Marekani, Tiger Woods, amefungiwa miaka mitano kuendesha gari baada ya ajali aliyopata Machi, 2026. Adhabu hiyo imekuja...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (4)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya tatu ya makala haya, tuliona kilichotokea Aprili 8, 1994, ambapo Spika wa Bunge, Theodore Sindikubwabo, alitangazwa kuwa Rais...

Nani kumaliza vita vya Putin, Ukraine?

MOSCOW, Urusi WAZIRI Mkuu wa India, Narendra Modi, amemshauri mshirika wake mkubwa, Vladimir Putin, kumaliza vita vinavyoendelea kati ya nchi yake ya Urusi na majirani...