29.2 C
Dar es Salaam

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Latest news

Mambo 10 usiyoyajua kuhusu kocha mpya Chelsea

LONDON, Uingereza UONGOZI wa Chelsea umemtangaza kocha mpya atakayechukua nafasi ya Enzo Maresca. Anaitwa Liam Rosenior. Je, ni yapi usiyoyajua kuhusu kocha huyo mwenye umri wa...

Mbappe aachwa kikosini Madrid

MADRID, Hispania MSHAMBULIAJI Kylian Mbappe amebaki nyumbani wakati kikosi cha Real Madrid kiliposafiri kwenda Saudi Arabia kwa mchezo wao wa Spanish Super Cup. Madrid watakuwa nchini...

Wapinzani wagomea matokeo Uchaguzi Mkuu CAR

Na mwandishi wetu, Gazetini WAGOMBEA wa vyama vya upinzani katika Uchaguzi Mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) uliofanyika hivi karibuni wameyakataa matokeo yaliyotangazwa...

Rosenior atangazwa kocha mpya Chelsea

LONDON, Uingereza KLABU ya Chelsea imemtangaza, Liam Rosenior kuwa kocha mpya atakayechukua mikoba ya Enzo Maresca. Rosenior amejiunga na Chelsea akitokea Strasbourg, ambayo pia inamilikiwa na...

Sangu: Wenye viwanda imarisheni afya na usalama wa wafanyakazi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, amewataka wamiliki wa viwanda na maeneo mengine ya kazi...

Arsenal, City zamgombea beki Newcastle

LONDON, Uingereza KLABU ya Arsenal imejitosa kuiwania saini ya beki wa Newcastle United, Tino Livramento, ambaye pia anaitoa udenda Manchester City. Livramento aliibuliwa na 'academy' ya...

Baada ya Venezuela, mataifa haya hatarini kuvamiwa na Marekani

Na mwandishi wetu, Gazetini TANGU aliporejea madarakani kwa awamu yake ya pili, Rais Donald Trump amekuwa na sera zake ngumu dhidi ya mataifa ya kigeni....

Delcy Rodríguez aapishwa rais wa mpito, aitaka Marekani imwachilie Maduro

CARACAS, Venezuela DELCY Rodríguez ameapishwa kuwa rais wa mpito wa Venezuela katika kikao cha Bunge kilichoanza kwa wito wa kumwachilia huru rais aliyeondolewa madarakani na...

Ferdinand ataja kocha mpya United

MANCHESTER, Uingereza NAHODHA wa zamani wa Manchester United, Rio Ferdinand, anaamini Darren Fletcher anatosha kuibeba timu hiyo baada ya Ruben Amorim kutimuliwa. Amorim amefutwa kazi baada...

Osimhen, Salah watinga robo fainali AFCON 2025

RABAT, Morocco MABAO mawili ya Victor Osimhen yameiwezesha timu ya taifa ya Nigeria 'Super Eagles' kupata ushindi wa 4-0 dhidi ya Msumbiji katika mchezo wa...

Viatu vya Ferguson havivaliki Man United

MANCHESTER, Uingereza HATIMAYE Manchester United wamemfuta kazi Ruben Amorim. Mreno huyo ameondoka akiwa amehudumu kwenye benchi la ufundi kwa miezi 14 pekee tangu alipoajiriwa akitokea...

Ndoa za mastaa zilizobamba 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini MWAKA 2025 tayari umemalizika, huku ukiacha kumbukumhu nzuri katika tasnia ya burudani duniani kote. Kwa upande mwingine, kumbukumhu hizo ni pamoja na...